EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
mpendwa mitale na midimu ahsante na hongera kwa maelezo yako nimekupata uzuri sana. lakini kadili ya maelezo yako binafsi ninamaswali kama mawili tu ivi:
1: kuna mahali umedai kuwa biblia toka mwanzo mpaka ufunuo ina kila kitu na kila fomula (kwa maana kwamba imejibu kila kitu ikiwemo na sayansi yenyewe kwa jinsi nilivokuelewa mimi). swali langu ni hil: ni nini lengo la biblia kwa mwanadamu, ni nini kusudi la biblia kwa mwanadamu, Mungu alikusudia biblia iwe na kazi gani kwa mwanadamu, au kwa nini biblia ???
mpendwa mitale na midimu kama jibu la swali hilo hapo juu kuhusu lengo la biblia kwa mwanadamu ni tofauti kabisa na sayansi na haikukusudiwa kufundisha sayansi, unafikiri ni sahihi au ni haki tunapongangania kutafuta sayansi/ kujifunza sayansi toka kwenye kitabu ambacho hakikukusudiwa kwa kazi hiyo ?.
sikitai kwamba kuna sayansi mbaya na wanasayansi wapinga Mungu/wakana Mungu uwepo wa hao hauifanyi sayansi yote kuwa ni dhambi au kuwalaumu wapinga Mungu kwa kila jambo kwa Mgongo wa sayansi sidhani kama ni sahihi. ninachojua mimi ni kuwa sayansi ni pato la AKILI na MAARIFA tuliopewa na Mungu kama zawadi itusaidie kumpenda, kujua zaidi nk katika maisha yetu ya kila siku. ndio maana imeandikwa usimwache elimu aende zake na pia mpende bwana Mungu wako kwa AKILI zako zote. sasa sayansi ndio moja ya mapato ya izo AKILI au tunaweza kusema ndo AKILI zenyewe. tulipewa mikono na miguu kwa ajili ya kazi njema ya kumtumikia Mungu na jirani lakini kuna watu wanaitumia iyo mikono na miguu kwa kuvunja amri za Mungu kama kuiba, kuumiza, kupigana nk sasa hapo sidhani kama kosa ni mikono au miguu ndivo ilivo kwenye sayansi pia.
1: kuna mahali umedai kuwa biblia toka mwanzo mpaka ufunuo ina kila kitu na kila fomula (kwa maana kwamba imejibu kila kitu ikiwemo na sayansi yenyewe kwa jinsi nilivokuelewa mimi). swali langu ni hil: ni nini lengo la biblia kwa mwanadamu, ni nini kusudi la biblia kwa mwanadamu, Mungu alikusudia biblia iwe na kazi gani kwa mwanadamu, au kwa nini biblia ???
mpendwa mitale na midimu kama jibu la swali hilo hapo juu kuhusu lengo la biblia kwa mwanadamu ni tofauti kabisa na sayansi na haikukusudiwa kufundisha sayansi, unafikiri ni sahihi au ni haki tunapongangania kutafuta sayansi/ kujifunza sayansi toka kwenye kitabu ambacho hakikukusudiwa kwa kazi hiyo ?.
sikitai kwamba kuna sayansi mbaya na wanasayansi wapinga Mungu/wakana Mungu uwepo wa hao hauifanyi sayansi yote kuwa ni dhambi au kuwalaumu wapinga Mungu kwa kila jambo kwa Mgongo wa sayansi sidhani kama ni sahihi. ninachojua mimi ni kuwa sayansi ni pato la AKILI na MAARIFA tuliopewa na Mungu kama zawadi itusaidie kumpenda, kujua zaidi nk katika maisha yetu ya kila siku. ndio maana imeandikwa usimwache elimu aende zake na pia mpende bwana Mungu wako kwa AKILI zako zote. sasa sayansi ndio moja ya mapato ya izo AKILI au tunaweza kusema ndo AKILI zenyewe. tulipewa mikono na miguu kwa ajili ya kazi njema ya kumtumikia Mungu na jirani lakini kuna watu wanaitumia iyo mikono na miguu kwa kuvunja amri za Mungu kama kuiba, kuumiza, kupigana nk sasa hapo sidhani kama kosa ni mikono au miguu ndivo ilivo kwenye sayansi pia.