Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Quran pia imesema dunia imeumbwa kwa siku sita lakin limetumika neno sitat-ayaam kumaanisha kipind kirefu sio siku sita kama zetu...lakin pia kwa mujib wa Quran kabla ya wanadamu waliishi majin dunian kwa muda mrefu na wakamwaga damu Mungu akapitisha chukizo lake na dunia ikakaa kipind kirefu ndio akaamua kumuumba kiumbe cha kuja kuingoza dunia...so dunia ina umri mrefu...!

Labda kama hoja ni umri wa binadamu na sio umri wa dunia..! Sababu kuna ushahid dinosor kuish hapa mamilion ya miaka ba mifupa yao ipo
 
Tuliza kichwa,nilicho kiona humu watu wanajadili mambo ya kielimu bila kujua elimu ni nini ?

Naendelea...

1. Kusonga ugali elimu au sio elimu ?

2. Kuendesha gari ni elimu au si elimu ?

3. Kusimama kwenye zebra kwa mwenye kupisha wavukaji wa miguu ni elimu sio elimu ?

4. Kula ni elimu au sio elimu ?

5. Kuruka kamba elimu au sio elimu ?

Nipo....
zetu...lakin pia kwa mujib wa Quran kabla ya wanadamu waliishi majin dunian kwa muda mrefu na wakamwaga damu Mungu akapitisha chukizo lake na dunia ikakaa kipind kirefu ndio akaamua kumuumba kiumbe cha kuj

1. Nani aliiyaona hayo majini?

2. Na kama hakukuwa na wanadamu wakati hayo majini yanamwaga damu, hiyo damu ilitokea wapi?

3. Na damu hiyo ni ya viumbe gani?
 
1. Nani aliiyaona hayo majini?

2. Na kama hakukuwa na wanadamu wakati hayo majini yanamwaga damu, hiyo damu ilitokea wapi?

3. Na damu hiyo ni viumbe gani?

Naona umeni quote kimakosa. Kuna hoja yangu hujaijibu huko juu. Nasubiri majibu.

Kumwaga damu ni kuuana,haijalishi damu kihisia zitoke au zisitoke.

Kaka mbona unafikiri kitoto sana aisee,unaweza kunithibitishia ya kuwa majini hawana damu ki maana ?
 
Naona umeni quote kimakosa. Kuna hoja yangu hujaijibu huko juu. Nasubiri majibu.

Ukiona sijakujibu maana yake nimedharau Maswali uliyoniuliza. Hivi wewe binafsi hujagundua kwamba umeuliza illogical things? Vyote ulivyovitolea mfano ni vitu vinaonekana na practise yake hutoa matokeo Yale Yale sehemu yoyote duniani. Sasa tupatie kanuni za "Uchawi" ambazo watu wakifundishwa watafikia matokeo Yale yale dunia nzima.
 
Kaka Hakuna mtu anayekataa kuwa Mungu hakuumba vitu vyote, unajua Kitabu cha Mwanzo ukikisoma vizuri kina kila kitu unachokiitaji kwenye hii Dunia, Kuna sayansi kubwa sana pale, kuna elimu nzito kabisa
sasa twende polepole
Mwanzo 1:1-2 Mungu alifanya nini?
1. Aliumba mbingu na nchi (Ardhi)
2.Nchi ilikuwa Giza, ukiwa na utupu
3. kulikuwa pia na vilindi vya maji
so hivyo vyote viliumbwa nje ya zile siku sita, je baada ya kuumbwa hivi vilikaa siku ngapi kabla ya zile siku sita ?

umetoa andiko la Kutoka 20:11, ni kweli ndani ya siku SITA mUNGU ALIUMBA BAHARI kwa kutenganisha maji na ardhi, Mwanzo 1:6 Mungu akasema na liwe anga katikati ya maji LIKAYATENGE MAJI NA MAJI, Mwanzo 1:9 naMaji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane.........

Kaka mitale na midimu ,
maandiko yote ya kuanzia Mwanzo 1.3-10 kitu kipya alichokiumba mungu kutoka vile vilivyokuwa awali Mwanzo 1:1-2 ni NURU pekee, lakini vingine kama Maji , Nchi, Giza alishaviumba kabla
Baada ya Mungu kukamilisha kuitransform Dunia iwe na mazingira ya kusupport uhai ndio kuanzia Mwanzo 1:11 na kuendelea anaanza kuweka Mimea na viumbe hai

MIMI NINACHOAMINI MUNGU ALIIUMBA DUNIA MIAMBA NA MAJI NA ILIKUWEPO KWA MUDA MREFU SANA, KISHA AKAPANGA MIPANGO YA KUWEKA VIUMBE HAI, LAKINI ILIBIDI LAZIMA AANDAE MAZINGIRA YA KUWAWEZESHA HAO VIUMBE HAI NA MIMEA IWEZE KUKUA NA KUSTAWI KWA UZURI, NDIO SASA MUNGU NDANI YA SIKU SITA ANAITRANSFORM DUNIA NA KUIPA MAZINGIRA YA KUWEZA KUTUNZA VITU HIVYO VYOTE

KITABU CHA MWANZO NI KITABU KIZURI SANA, NDIO MWANZO WA DUNIA NA NDIO MWANZO WA SAYANSI
Nashauri tu katika uumbaji wa dunia na sayari kwa ujumla msiweke Biblia kabisa kwa sababu watu wanatoa awkward translations.
Mfano uumbaji kufanyika ndani ya siku sita, hii ni definition ya kimungu na hizo siku za kimungu sio gregory format wala sijui format gani vile. Tuite tu ni format ya Mungu ambayo katika kitabu cha Peter anasema siku moja ni sawa na siku elfu na siku elfu ni sawa na siku moja kwa Mungu. Nachotaka kusema hapa ni hii hakuna mtu duniani anayeweza kutafsiri au ku convert zile siku sita katika siku zetu za leo. siku sita inaweza kuwa sawa na siku zetu bilioni hata 10, najaribu kuwa aloud tu!
Na ndio maana Mtumishi Mwakasege anasema hizo siku za uumbaji kwenye chapter one ni spiritual days na ule uumbaji wote ni spiritual creation. Chapter 2 ndio uumbaji wa mwili ulifanyika. Kuhusu kuumbwa kwa dunia Biblia haikusema chochote hata kwenye zile spiritual days yaani day 1 to 6 hakuna sehemu inasema kuhusu uumbaji wa dunia.

Mwanzo 1: 1-2; Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia. 2 Dunia ilikuwa bila umbo, na ukiwa, na giza lilikuwa juu ya uso wa kilindi cha maji; na nguvu za utendaji za Mungu zilikuwa zikienda huku na huku juu ya uso wa maji.
Ktk verse 2 hii inalandana na tafiti za kisayansi ambazo zinadai dunia ilikuwa na bara moja lililoitwa Pangea ambayo ilikuwa ni mwamba mtupu bila maji. Maji yalikuja baadaye sana.
Huu muda ambao Mungu aliumba Mbingu an Dunia haikusemwa ni muda gani. Uumbaji ambao uko narated kwenye verse 3 ni wa Mwanga ambao ndio wa kwanza kwenye series ya siku sita. Ukitaka kuwa realsitic zaidi nashauri kutumia findings za kisayansi maana hizo zina ushahidi mtu akitaka kuliko hizi za kwenye maandiko ambazo kila mtu huja na tafsiri yake
 
Ukiona sijakujibu maana yake nimedharau Maswali uliyoniuliza. Hivi wewe binafsi hujagundua kwamba umeuliza illogical things? Vyote ulivyovitolea mfano ni vitu vinaonekana na practise yake hutoa matokeo Yale Yale sehemu yoyote duniani. Sasa tupatie kanuni za "Uchawi" ambazo watu wakifundishwa watafikia matokeo Yale yale dunia nzima.

Nacheka sana,hapa ni lile tatizo la mtu kujiona anajua wakati hajui.

Sasa mtu huujui Uchawi ni nini halafu unakataa kwamba Uchawi sio elimu,ajabu mtu huyo huyo anauliza aelezewe au apewe kanuni za uchawi.

Ajabu ilioje ni wewe kushindwa kujibu maswali yangu kwa kisingizio cha kuyaita maswali ya kipuuzi na humo ndipo elimu ilipo mili.


Maswali yangu hayo ni ya kielimu na yamejikitaka katika maan na matokeo ya elimu.

Huwezi kusonga ugali bila kuwa na elimu ya kusonga ugali,matokeo ya ugali yamo katika masharti na mazingira au nguzo na ndivyo ilivyo kwa mtu kupasua nazi njia panda haya ni matokeo ya elimu yaliyofungamana na masharti.

Sasa kama mambo ya elimu na misingi yake hujui bora zaidi kuuliza.
 
Wanaangalia umri wa bodies kongwe zaidi kwenye universe pamoja na rate ya expansion ya universe
Mkuu,
Kwa kuwa umeshindwa kuniambia kifaa au technology ya namna ya kupima umri wa Solar Nebula kama walivyogundua umrii wa Dunia kwa kutumia Radiometric dating na kugundua Dunia ina 4.5B years. Hiyo 13.8Bilion years haina scientific exeperimental fact yoyote zaidi ya kutumia speculation na hypothesis.
Hoja yangu ni kuwa Dunia pamoja na hizo nebula na universes kwa ujumla vimepatikana kutokana na Explosion ya Big Bang ya Mwanzo kama Qur'an Takatifu inavyoonyesha.
Tukichukulia mfano mdogo wa FATAKI: Unapofyatua fataki hupatikana mlipuko mkubwa. Then viji-paticles huendelea kulipuka lipuka mpaka mwisho wa milipuko. Na vyote hutokea Makati mmoja.

Kwa hiyo ni wazi kusema: SI UNIT ya wanasayansi ni Qur'an!.
 
Usiwe na haraka ya kunihukumu hivyo. Mimi nitakuwa nawapeni Maswali ya kujiuliza na ukiona jibu au uelewa ulio nao una-contradict Facts za Kisayansi,Historia, Culture au thinking ya waandishi au audience kwa muda huo basi ujue hicho ulicho nacho ndio matangopori.

Hebu soma Mwa 1:3 na Mwa 1:16 halafu rudi hapa uniambie kama Logically inawezekana. Kama haiwezekani ndio ugutuke kwamba kumbe Kitabu cha Mwanzo hakielezi Uumbaji Chronologically.
Nimekujibu kihoja baada ya kugundua chuki iliyonayo juu ya Uislam, Muhammad, Malaika na Allah. Uliyoyasema hayafanani na intelligent being ambaye anafanya analysis based on facts.

[Ninyi ndio basi wagonjwa mliofukamia uji na mkavimbewa. Biblia waachieni wenye nayo. Ninyi endeleeni tu na matangopori ya Muhammad madhali wanaume wazima mliamua kudanganywa kiasi kile.Ukitaka kufahamu Muhammad alikuwa hajitambui au anaongea nonsense na bado hajui kama ametapika ujinga,fikiria eti kuna wakati Jibrili aliacha kushusha Wahyi kwa wiki kadhaa na baada ya kujiuliza imekuwaje ndio akagundua Mbwa amefia chini ya Kitanda!]

Nikakujibu:
[(Sahih Muslim 5246: Aishah said: Jibril (Gabriel) made a promise with the Messenger of Allah to come at a definite hour; that hour came but he did not visit him. There was a staff in the hand of the Messenger of Allah. He threw it from his hand and said, "Never does Allah back out of His Promise, nor do His messengers." Then he noticed a puppy under his bed and said, "O 'Aishah, when did this dog enter?" She said: "By Allah, I don't know." He then commanded that it should be turned out. No sooner than had they expelled it, Jibril came and the Messenger of Allah said to him, "You promised to visit me. I waited for you but you did not come." Whereupon he said: "The dog kept me from coming. We do not enter a house in which there is a dog or a picture.”

MATANGO PORI:
Khadija au AISHA??
Mbwa Mfu au MBWA HAI??
Wiki Kadhaa au MASAA KADHAA??
Malaika wanaogopa au HAWARUHUSIWI??)]

Hiyo ni Historical facts - true narrations based on best collections of ahadith.
Sasa kwa post yako na chuki uliyomezeshwa vinakukosesha credibility ya kuzungumzia Uislam katika tafakuri iliyo sawia. Unapwaya sana katika tafiti hasa upande huu. Weka chuki pembeni, baki na akili yako halafu ulete mada tuzijadili.
Kuhusu vifungu ulivyotaka nivisome, nimevisoma mara mara tatu. Sina cha ku-comment kwa sababu sioni sana kama yale maandishi ni ufunuo. Na kama ni ufunuo, inaonekana uliwafaa watu wa wakati ule.

Na Amani iwe juu ya wataofuata uongofu!
 
Kaka Hakuna mtu anayekataa kuwa Mungu hakuumba vitu vyote, unajua Kitabu cha Mwanzo ukikisoma vizuri kina kila kitu unachokiitaji kwenye hii Dunia, Kuna sayansi kubwa sana pale, kuna elimu nzito kabisa
sasa twende polepole
Mwanzo 1:1-2 Mungu alifanya nini?
1. Aliumba mbingu na nchi (Ardhi)
2.Nchi ilikuwa Giza, ukiwa na utupu
3. kulikuwa pia na vilindi vya maji
so hivyo vyote viliumbwa nje ya zile siku sita, je baada ya kuumbwa hivi vilikaa siku ngapi kabla ya zile siku sita ?

umetoa andiko la Kutoka 20:11, ni kweli ndani ya siku SITA mUNGU ALIUMBA BAHARI kwa kutenganisha maji na ardhi, Mwanzo 1:6 Mungu akasema na liwe anga katikati ya maji LIKAYATENGE MAJI NA MAJI, Mwanzo 1:9 naMaji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane.........

Kaka mitale na midimu ,
maandiko yote ya kuanzia Mwanzo 1.3-10 kitu kipya alichokiumba mungu kutoka vile vilivyokuwa awali Mwanzo 1:1-2 ni NURU pekee, lakini vingine kama Maji , Nchi, Giza alishaviumba kabla
Baada ya Mungu kukamilisha kuitransform Dunia iwe na mazingira ya kusupport uhai ndio kuanzia Mwanzo 1:11 na kuendelea anaanza kuweka Mimea na viumbe hai

MIMI NINACHOAMINI MUNGU ALIIUMBA DUNIA MIAMBA NA MAJI NA ILIKUWEPO KWA MUDA MREFU SANA, KISHA AKAPANGA MIPANGO YA KUWEKA VIUMBE HAI, LAKINI ILIBIDI LAZIMA AANDAE MAZINGIRA YA KUWAWEZESHA HAO VIUMBE HAI NA MIMEA IWEZE KUKUA NA KUSTAWI KWA UZURI, NDIO SASA MUNGU NDANI YA SIKU SITA ANAITRANSFORM DUNIA NA KUIPA MAZINGIRA YA KUWEZA KUTUNZA VITU HIVYO VYOTE

KITABU CHA MWANZO NI KITABU KIZURI SANA, NDIO MWANZO WA DUNIA NA NDIO MWANZO WA SAYANSI
asante kwa Maelezo mazuri mkuu.
Kwanza nashukuru kwa kutambua kuwa zile zilikuwa ni siku sita za kawaida kama hizi za leo 24Hrs.
Wakosoaji wa Bibilia wanatabia kuu moja ya kutaka kuhitimisha hoja kupitia kifungu kimoja hata kama mahala pengine pameweka usawazisho.

Nakubaliana na wewe kunauwezekano kukawa na sintofahamu kuhusu sehemu Ya Kwanza, Hujatoa ufafanuzi wa Uelewa ninaoupata kutoka katika Bibilia kuwa Mungu aliyeumBa Baadaye anasisitiza Alifanya Yote Siku sita tu. Kwa Maneno na Maandishi. Hapa sijaona unapazungumzia mkuu wangu.

Pia Unakubaliana na mimi kuwa hata wewe hujui Muda aliotumia kutoka Mwanzo 1:1 hadi link na zilie flow za siku?
Maana anaweza Kufanya kwa Sekunde nne, Au ndani ya masaa ya Siku Moja au Mamilioni Ya Miaka. Kwa Nini Tusiamini Ufafanuzi wake Yeye aliyeumba kuwa Yute yalifanyika kwa Siku Saba?
Kwa nininTuingize hekima za Wapinga Mungu na Uumbaji katikati ya Mahala ambapo Mungu ameshafafanua?

unaweza kumwaga uelewa zaidi mkuu
 
Mkuu mitale na midimu post yako #93 umekataa kuwa hakuna codes labda nikupe case ya Daniel

Daniel 12:4
4 Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho.

Hapa anaambiwa ayafunge mpaka wakati sahihi wa kufunuliwa ukifika!! Upi huo?? Twende pamoja Daniel alipouliza

8 Nami nikasikia, lakini sikuelewa; ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, mwisho wa mambo haya utakuwaje?
9 Akasema, Enenda zako, Danieli; maana maneno haya yamefungwa, na kutiwa muhuri, hata wakati wa mwisho


Sasa kama hata Daniel mwenyewe kuna codes aliandika haelewi maana yake na hata ufafanuzi hakupewa je kwanini usiamini Biblia imejaa codes??

2. Isaya 29:11
11 Na maono yote yamekuwa kwenu kama maneno ya chuo kilichotiwa muhuri, ambacho watu humpa mtu aliye na maarifa, wakisema, Tafadhali ukisome hiki; akasema, Siwezi, kwa kuwa kimetiwa muhuri

Hapa pia twaona kuna maneno ya Biblia yako sealed hivyo watu hawawezi kuyaelewa hata wangekuwa na maarifa kiasi gani sasa kama Isaya alitambua hili linawezekana kwa kuwa Biblia iko sealed sasa kwanini unakataa kuwa Biblia haina codes??

Hapo bado Yesu naye alitumia parables ambayo hakueleweka kabisa hta kwa wanafunzi wake je vipi kwetu sisi huoni hta hayo mafumbo tunaweza kushindwa kudadavua hata??

Karibu
mkuu naona hujasoma kwa umakini nilichomaanisha.

'' 1:anasema bibilia imekuwa coded, lkn katika decoding au kuzisimbua hoja zilizokuwa coded kwenye bibilia anatumia nadharia za kisayansi. Je Bibilia haina uwezo wa kujing'amua yenyewe?
Mfano hizo tunazoita codes za kitabu cha mwanzo na Torati, Yesu aliwalaumu marabbi na mafarisayo kwa kushindwa kuziona zikimuelezea yeye. Alipoquote Mwanzo na matukio yake Yesu alitafsiri literally. Je Yesu alitenda dhambi kwa kuwalaumu wale jamaa kushindwa kuelewa mambo ambayo kumbe yangesubiri sayansi ndio yaeleweke?
Nini nafasi ya Roho mtakatifu katika decoding maana inaonyesha hapo msaada wa sayansi ndio wenye nguvu. ''

:::::::::
Nimejaribu kuwa specific Kuhusu MWANZO na VITABU VYA MUSA au TORATI,
Sijamaanisha Bibilia haina mafumbo, Maana naamini Ufunuo, Naamini Daniel na Parable za Yesu.
Nimekuwa specific Nikihitaji hizo Code za Mwanzo na Vitabu Vya Musa speciffically kwa hiki tunachokijadili.
Nimekuwa hivyo makusudi kabisa wala sio bahati mbaya kwa sababu kuu mbili.

1: Binafsi naamini Zile ni historia halisi wala sio mashahiri au tungo vificho.
2: Wengi humu wameendelea kutoa kauli hiyo bila kusema code zenyewe ni zipi kuhusu mwanzo.

Mkuu nadhani hapa tunaweza kuendelea kualika watu au kama wewe pia kusaidia kidecode huo uumbaji ili ukidhi nadharia za milioni 4. ambayo siiamini.
 
Mkuu naamini Wote tunafahamu kwamba kalenda ya kiebrania ilikuwa na siku 354 ama pungufu ilihali calendar ya gregory ina siku 365 hivyo tunapishana takribani wiki mbili na miaka ya sasa hivyo basi ukichomoa wiki 2 kwa kila miaka 6000 je huoni utapata miaka pungufu zaidi kulingana na Gregorian calendar ambayo ndio inahesabu full mzunguko wa dunia kwa jua ? Mpaka hapo huoni hakuna accuracy kwenye hiyo calendar aliyotumia Usshe na YEC???

2. Nimejenga hoja kuhusu Abraham sababu genealogy yake imehesabiwa kwenye kukotoa miaka ili kupata family tree ya kuanzia Adam mpaka Yesu hivyo miscalculation ya umri wake itaaffect general result haijalishi kwa makumi au mamia maana mistakes kwa abraham ikijirudia kwa family tree nzima itabadilisha kabisa number ya jibu la mwisho so tusipuuze.

Hapo Biblia iko wazi kuwa Aliondoka Haran akiwa na 75 ila kitabu cha matendo kinadai by 135 ndio alitoka Haran Sasa huoni hapo kuna errors za calculation?? Kama zipo huoni ussher methodology tayari haina credibility??

Tuanzia hapo
asante kwa maoni mkuu.
1: Kama unafuatilia vizuri maelezo ninayotoa. Sijasema kuwa Kwa sasa inamiaka 6000 kamili. Nimesema na nitaendelea kusisitiza takribani au angalau miaka 6000. Nimesema pia huyo jamaa sikubaliani nae kwa kuweka specific date and month and Year, maana hata katikamzile genealogy za mwanzo kunaweza kuwa na gaps ambazo hazijazungumziwa.

2: Hadi sasa tumeshasema wale wa Milioni hawana accuracy 100% zapo mimi nasema sio tu ni ERROR hiyo ni BRANDER /MISTAKE ila hii ya around 6000 ni ERROR ina+- kadhaa. Ila haiko mbali na ukweli ambao Bibilia imesema. Na ubora wake unathibitishwa na Bibilia sio wanascience na vifaa vile ambavyo hadi sasa sijapata maelezo yanayopinga ufyongo wake.

3: Bibilia haijatoa tarehe na Siku, Wala mfumo wa kalenda hauko compulsory dunia nzima ya wakati wake. Ila Fact ni kwamba Mungu aliwafahamisha watu aliowachagua kumuawakilisha kuhusu matukio yale. Pia Kumbukumbu za Uzao tangu Adamu (Siku chache Baada ya Uumbaji) na Umri wao kwa mtiririko unaoweza kutupa haja ya kuukokotoa umri wa dunia ziliambatanishwa na taarifa zile. Na taarifa zile sio nadharia au mafumbo bali ni Vitu halisi maana Mungu mwenyewe amevirefer kama vitu halisi, Yesu Muumbaji amevirefer kama Vitu halisi, Wanafunzi wa Yesu wamerefer kama Vitu halisi. Pia Kumbuka maandishi yale Yalikusudiwa yasomwe na kukaririwa hadi ma watoto wadogo, malyman sio scholers (Kumbu 6).
Kwa misingi Maoni yangu ni kwambanJuhudi za kuhusianisha Cosmic evolution na Divine creation Bila tahadhari za bibilia ni kUtaka kuuamisha Ukristo ma kuupelekea kuwa atheism.
 
Mkuu naamini Wote tunafahamu kwamba kalenda ya kiebrania ilikuwa na siku 354 ama pungufu ilihali calendar ya gregory ina siku 365 hivyo tunapishana takribani wiki mbili na miaka ya sasa hivyo basi ukichomoa wiki 2 kwa kila miaka 6000 je huoni utapata miaka pungufu zaidi kulingana na Gregorian calendar ambayo ndio inahesabu full mzunguko wa dunia kwa jua ? Mpaka hapo huoni hakuna accuracy kwenye hiyo calendar aliyotumia Usshe na YEC???

2. Nimejenga hoja kuhusu Abraham sababu genealogy yake imehesabiwa kwenye kukotoa miaka ili kupata family tree ya kuanzia Adam mpaka Yesu hivyo miscalculation ya umri wake itaaffect general result haijalishi kwa makumi au mamia maana mistakes kwa abraham ikijirudia kwa family tree nzima itabadilisha kabisa number ya jibu la mwisho so tusipuuze.

Hapo Biblia iko wazi kuwa Aliondoka Haran akiwa na 75 ila kitabu cha matendo kinadai by 135 ndio alitoka Haran Sasa huoni hapo kuna errors za calculation?? Kama zipo huoni ussher methodology tayari haina credibility??

Tuanzia hapo
asante kwa maoni mkuu.
1: Kama unafuatilia vizuri maelezo ninayotoa. Sijasema kuwa Kwa sasa inamiaka 6000 kamili. Nimesema na nitaendelea kusisitiza takribani au angalau miaka 6000. Nimesema pia huyo jamaa sikubaliani nae kwa kuweka specific date and month and Year, maana hata katikamzile genealogy za mwanzo kunaweza kuwa na gaps ambazo hazijazungumziwa.

2: Hadi sasa tumeshasema wale wa Milioni hawana accuracy 100% zapo mimi nasema sio tu ni ERROR hiyo ni BRANDER /MISTAKE ila hii ya around 6000 ni ERROR ina+- kadhaa. Ila haiko mbali na ukweli ambao Bibilia imesema. Na ubora wake unathibitishwa na Bibilia sio wanascience na vifaa vile ambavyo hadi sasa sijapata maelezo yanayopinga ufyongo wake.

3: Bibilia haijatoa tarehe na Siku, Wala mfumo wa kalenda hauko compulsory dunia nzima ya wakati wake. Ila Fact ni kwamba Mungu aliwafahamisha watu aliowachagua kumuawakilisha kuhusu matukio yale. Pia Kumbukumbu za Uzao tangu Adamu (Siku chache Baada ya Uumbaji) na Umri wao kwa mtiririko unaoweza kutupa haja ya kuukokotoa umri wa dunia ziliambatanishwa na taarifa zile. Na taarifa zile sio nadharia au mafumbo bali ni Vitu halisi maana Mungu mwenyewe amevirefer kama vitu halisi, Yesu Muumbaji amevirefer kama Vitu halisi, Wanafunzi wa Yesu wamerefer kama Vitu halisi. Pia Kumbuka maandishi yale Yalikusudiwa yasomwe na kukaririwa hadi ma watoto wadogo, malyman sio scholers (Kumbu 6).
Kwa misingi Maoni yangu ni kwambanJuhudi za kuhusianisha Cosmic evolution na Divine creation Bila tahadhari za bibilia ni kUtaka kuuamisha Ukristo ma kuupelekea kuwa atheism

IBRAHIMU
1: kama umenisoma kuwa sio exactly miaka 6000 na sijawahi kusikia hata anayeamini uumbaji wa siku sita anasema ni exactly miaka 6000. Ila ni around. Ila sio mamilioni maana umri wa Adam na uzao wake uko wazi.

2: Sio Kweli Ibrahimu alizaliwa Tera akiwa na miaka 70. Bibilia inasema ilipofika miaka 70 ndipo Tera akaanza kuzaa na akazaa watoto watatu. Kwanza ni illogical kuzaa watoto watatu wasiolingana kwa mwaka mmoja huku mimba huwa ni miezi tisa. Na uzao wa tera haukuwa wa kimuujiza. Kuanzia hapo ndipo alipoanza kuzaa hivyo inawezekana ibrahimu alizaliwa tera akiwa na miaka 130, Maana hata hivyo huo mpangilio hautupi ushahidi kuwa nani alianza nani alifuata.
Kwa mtazamo wangu wote mwandishi wa Mwanzo na Wa Matendo wako sahihi.
 
kwahiyo dunia iliumbwa kwa siku ngapi,au haikuumbwa,au ilijiumba,au mungu aliikuta
Dunia haikuumbwa kwa siku sita, Dunia ilikuwepo, ila ilikuwa Giza, Utupu na ukiwa, Yaani ilikuwa haina uhai Mwanzo 1:1-2, Mungu kwa muda wa siku sita akaitransform Dunia na kuiwekea mazingira ya kuweza kufanyika maisha kwa viumbe hai
Ukiangalia hakuna hata sehemu moja kwenye Biblia inapoonyesha kuwa Mungu anaumba maji, au Miamba, bali tunaona katika hizo siku sita anaitenga miamba na maji, yaani anavitenga vitu vilivyokuwepo, vitu alivyoviumba katika Mwanzo 1:1-2
 
Hiyo bold siyo ushahidi kwamba kweli Dunia iliumbwa kwa siku Sita. Ulichofanya kuendelea tu kulieza wazo lako la uumbaji kwa muda Wa Siku. Hebu unaweza kurejea kwenye la Kiebrania "Yom" lenye maana ya siku uone lilipotumika muda ule lilimaanisha nini na " Bara" lenye maana ya Create lilikuwa na maana gani? Haya yatakusaidia kuanza kuelewa Ninachokiongelea.
acha siasa mkuu. eleza hizo siri.
Kwani wakati Mungu aliyeumba alipowaambia siku sita (24hrs) wafanye kazi kwa sababu na Yeye alifanya hivyohivyo katika kuumba, wewe ni nani hata ukachimbue maana ya neno YOM uache ile inayomaanisha Siku 24hrs ujichagulie ya day age.

Mkuu usijitaabishe na mambo ambayo maandiko yako wazi.
Pia tusiamini kila sayansi. Sayansi Inapaswa kuipigia magoti Bibilia ili ipate kibali cha kushadidiwa na wafuasi wa Mungu Muumbaji wa dunia kwa siku sita.
ukiona jambo sayansi inakinzana na Kauli za Mungu, kauli ya Mungu inapaswa kubaki kuwa na Ultimate authority.
 
universe inawezekana ikawa na umri mrefu zaidi na dunia pia yaweza kuwa na muda mrefu labda swali ni muda gani viumbe hai vilianza kuishi duniani, kwa mfano bibilia inasema dunia ilikuwa utupu tena ukiwa na roho wa mungu ikatulia juu ya vilindi vya maji,kwa hyo dunia ilikuwepo.
 
Hapana nachomaanisha je Dunia hii ina umri gani na sio VIUMBE vina umri gani maana obvious Dunia lazima iliumbwa kwanza kabla ya mwanadamu hivyo natamani nifahamu upi ni umri sahihi wa Dunia ni ipi maana Ussher alichosema ni kwamba Dunia iliumbwa siku sita kabla ya Adam kuletwa duniani na ndio maana nikaona nilete hii mada humu tusaidiane kujua nani mkweli kuhusu suala hili.
mkuu sio ussher ni Mungu ndie anasema aliumba dunia kwa siku sita.
Labda hapo ipaweke sawa kuwa Mungu alimaanisha nini? siku sita lateral days au mamilioni ya miaka kwa mujibu wa wanasayansi wasioamini uwepo wake na uumbaji wake huu tunaoujadili.
 
mkuu mitale na midimu binafsi nimejaribu kusoma post zako kwa umakini. kuna baadhi ya maelezo yako nilitaka kukukanusha na pia nimefikiria kukuuliza maswali kadhaa kuhusu hoja na misimamo yako hasa juu matumizi ya sayansi, roho mtakatifu na biblia. lakini nimeona haina haja kwa sasa sababu post zako nyingi zinaonesha ni namna gani unavochanganya TAFITI ZA KISAYANSI NA BIBLIA. zinaonesha ni namna gani unavolazimisha TAFITI ZA KISAYANSI, ziwe poved na BIBLIA ilihali sayansi ina principle zake na bihlia ina principle zake kama kitabu cha KIIMANI na sio kitabu cha sayansi au philosophy. ndio maana kuna msemo unaosema kuwa "inapoishia sayansi ndipo imani inapoanzia"

kiujumla unalazimisha BIBLIA ithibitishe mambo ya kisayansi jambo ambalo nisawa na kulazimisha SAYANSI ithibishe mambo ya KIIMANI, imani na sayansi wapi na wapi mkuu.

kwenye sayansi na falsafa.hakuna neno IMANI/KUAMINI huko wanaongozwa na REASONING AND PRINCIPLES TU. hivyo mkuu kudai uthibitishoa wa masuala ya sayansi kwa kutumia biblia huko ni kuionea sayansi kwani sio kazi yake.

hivyo kwa muktadha huo niliokuonesha hapo juu binafsi ninaona huu mjadala unakuwa mgumu na haufiki mwisho zaidi ya kuzungukana tu. ndio maana kuna mchangiaji mmoja hapo juu unamdai uthibitisho wa mistari ya biblia katika hoja za kisayansi kitu ambacho kiukweli huwezi kikupata popote pale yaani kuprove hoja za kisayansi kwa mistari ya biblia hii haiwezani mkuu. uthibitisho wa kisayansi una formula na principle zake mkuu na sio mistari ya biblia.

mpendwa mitale na midimu binafsi ninafikiri kama Mungu angekusudia biblia kutufundisha sayansi/kutueleza kweli za kisayansi kinagaubaga kusingekuwa na haja ya wanasayansi, tafiti za kisayansi na sidhani kama Mungu angetuagiza tumpende kwa AKILI yetu yote nk kwani kila kitu, kila fomula na kila aina ya sayansi angetuwekea kwenye biblia na pia tusingekuwa tuna haja ya kusoma sayansi mashuleni nk cha msingi tunapaswa kumwomba roho mtakatifu atuongoze na kutusaidia kutambua pande POSITIVE na NEGATIVE za sayansi ilikulinda Imani yetu na mwisho kuufikia uzima wa milele.

wapendwa @zito junior SANCTUS ANACLETUS na mitale na midimu mtizamo wangu ni huu masuala mazima ya sayansi naamini katika tafiti za kisayansi na majibu ya kisayansi iwapo hayapingani na imani. na masuala mazima ya kiimani kuhusu Mungu na ulimwengu wa roho naamini katika biblia neno la Mungu. mapokeo matakatifu na mamlaka rasmi ya ufundishaji ya kanisa

vinginevyo kuendelea kuchanganya sayansi na biblia kitabu kielezeacho kweli za kiimani sidhani kama tunaweza kufika mwisho wa mjadala zaidi kulumbana.

hayo ni maoni yangu wapendwa.
mkuu nimesoma maelezo yako kuna mahala yananitaka nitoe maoni.

1:Sichanganyi bibilia na Tafiti na sayansi carelessly. Ila niko specific Sayansi kwa sababu inaexplore kazi nzuri aliyoifanya Mungu bila kujali kama Yupo au hayupo. Naunga mkono mavumbuzi yoyote ambayo yatakuwa yanaumana na maelezo na Kauli za Mungu.
Nimetoa Mfano Mwanasayansi akisema Hakuna Tofauti kati ya mwanamke na mwanaume ktk mambo ya ndoa kwa utafiti. Nitamwambia Mungu aliumba Mwanamke na Mwanaume watu wawili wenye jinsi tofauti ili waoane kizazi kiendelee. uvumbuzi wowote nje ya Hapo ni uzushi sio ukweli hata kama umefanywa na NASA.

2:Sitaki Bibilia Ithibitishe Mambo ya Kisayansi, Ila naamini Misingi iliyowekwa na Bibilia ni hai na kanuni zake ni halisi. Wanapoendelea Kuvumbua mambo ya Mungu ambayo wengi hawamuamini wanaweza kutumika pia kupotosha baadhi ya fatcs kwa mgongo wa Sayansi. Mimi wa Bibilia ninapaswa kuendelea kukosoa na kuunga mkono vile ambavy bibilia imeviweka wazi hata kama vikigunduliwa na Jini au Mwanasayansi mwenye Mashetani.

3:Kwa Sababu mimi mtu wa Imani naamini, Wanasaynsi hawaumbi, Bali wanachunguza kile kilichoumbwa, Reasonig na logic zao zikidivert kwenye Biblical evalasting principles tunawapinga, Zikiunga mkono tunawapongeza. Ila pia kwa sababu hakuna uvumbuzi ambao hata wenyewe kwa wenyewe hawapingani kuanzia theory zote hata haya mambo ya Global polution kuna kikundi cha wanasanyansi zaidi ya 30 wamewambia wenzao kuwa ni myth zinazotengenezwa hazina uhalisia. Mimi ambaye nimesimama katika evalasting principles lazima nifanye creative biblical based conclusion sitakiwi kuelewa kama wao. Pia assumptiom ndio uti wa mgongo wa scientific experiments nyingi hivyo assumption sio facts. Mfano kwenye dating. Inabidi uassume constants flani huwa hazibadiliki hata kama hauna ushahidi huko nyuma hazikubadilika. Wakikubaliana hata kwa kura inabidi iwe hivyo mkuu. Na kwa sababu wao wanabadilikabadika wewe wa Bibilia inakupasa Kusimama katika solid foundation ili ikitokea wamekuja kwako unasema amina, iktokea wamedivert watu kutoka kwenye solid biblical principles unaonya umma, atakye amini kwake itakuwa heri.

3: Yule namdai Vifungu kwa Sababu hoja zake anatumia Bibilia, ila akitaka kufanya conclusion anatumia sayansi, mimi nampa biblical verse aitolee uafafnuzi kwa mujibu wa conclusion yake ya kisayansi na imani ya bibilia anayoitumia.

4:Hoja zangu sio watu wa Imani wasome Sayansi, Ila wawe kama wale vijana wa kiebrania kule babeli. Sayansi iwe chini na isiwe authoritative kwenye maisha yao. Sababu ni Kubwa Bibilia Iko mbele ya sayansi hata wewe umesema. Mungu anaweza hata kukupa mafunuo ya Kisayansi bila tafiti ikiwa anaona kuna haja. Ila Darasani tutaingia maana kuna mambo mengi yanafanya tuzidi kuappreciate creative power ya Mungu katika Sayansi. Ila umakini mkubwa unapaswa kuwepo usije kutumia kila scientific conclusion kuwa above biblical facts, Utaishia kuwa atheist. Ndio maana wale vijana walisoma vyuo vikuu vya huko babiloni na sayansi zao za kimesopotamia ila imani kwa Mungu na Kauli yake haikuyumbiswa. Aduni mkuu wa Neno la Mungu katika dunia hii mkuu sio shetani tu bali ni Rationalism. Kutaka Kurationalize kauli za Mungu na kuzweka kwenye mizaninya kisayansi au kuzirahisisha. Conclusive statement inakuwa rational. Wengi wamemuacha Mungu Baada ya kudumbukia kwenye shimo hilo.


maoni haya wenda ukapata changamoto zaidi.
Kuhusu huu mjadala, Hitimisho kila mtu atabaki nalo, maana sio wa JF ni global, wachungaji, wasomi, wanasayansi wanabishana na kila siku nadharia zinaibuka nyingi. Kama mtu hana nanga kwa lolote atapelekwa na kila upepo uvumao na kila uelekeo. Ila kuhusu Imani Kwa Mungu sio mpango wa Mungu watu wake wayumbeyumbe kadili upepo wa sayansi hasa ambazo ziko powered na atheists unavyoyumba.

Watu wa Bibilia hawapaswi kussupport Science Ignorantly. tallying na mambo ya Bibilia ni jambo jema sana katika kupata mwelekeo sahihi. Kwa Sababu Sayansi na Dunia inayochunguzwa Vitakoma, Ila neno la Mungu Litadumu milele.
 
Back
Top Bottom