iko hivi,wayahudi walikuwa na maandiko yao katika lugha yao,mfalme aliamuru yale maandiko yatafsiriwe kwa kiingereza akiwatumia akina shakespear,tatizo aliingiza mambo yake na mengine aliyaweka pembeni..mkuu huku hatutaelewana kabisa,for me the whole bible is a fraud,uzushi mtupu...hatutaelewana huku sababu nina maushahidi mengi tuMkuu
Naomba nikushauri jambo..
Naomba uwe makini na maneno unayotumia hapa maana naona unatumia maneno ambayo hayastahili.hapo juu umeandika "ninajua aliyetunga King James version",hii ina maana kwamba unamaanisha mtunzi wa hiyo version,sasa sijui kama unaelewa maana ya mtunzi.....
Labda rekebisha hapo mkuu.....
hapo mkuu kuna mashaka sana,kwa nini uweke tafisri yako wakati andiko linajieleza wazi hapoSawa...
Tatizo ni lipi hapo sasa mkuu?
Wewe hapo unaweza kusema kwamba "Ulitengeneza paa la nyumba na samani za ndani" halafu baadaye ukaja kuelezea kwa kina namna ulivyotengeneza paa la nyumba halafu baadaye ukatengeneza samani za nyumba yako...
Kauli yako ya kwanza haimaanishi ulitengeneza vyote kwa wakati mmoja mkuu bali ulitoa "samari' namna ulivyotenda mambo hayo lakini baadaye ukaja kuelezea kwa upana zaidi....
Nikueleze tu kuwa hiki unachokiandika hapa ninakielewa sana tena kwa kina,siyo kipya kwangu isipokuwa ninachotaka ukifanye kwenye hii thread yako ni kwenda taratibu ili upangilie hoja zako vizuri ili tuzijadili kuliko kuanza kujadili makosa madogo madogo kama hayo ya matumizi ya maneno kqwenye thread yako na post zako vile vile.....iko hivi,wayahudi walikuwa na maandiko yao katika lugha yao,mfalme aliamuru yale maandiko yatafsiriwe kwa kiingereza akiwatumia akina shakespear,tatizo aliingiza mambo yake na mengine aliyaweka pembeni..mkuu huku hatutaelewana kabisa,for me the whole bible is a fraud,uzushi mtupu...hatutaelewana huku sababu nina maushahidi mengi tu
Mkuu sijatafsiri chochote bali nimefafanua tu....hapo mkuu kuna mashaka sana,kwa nini uweke tafisri yako wakati andiko linajieleza wazi hapo
naomba tafuta uzi wangu humu "je biblia na ukristo ni plagiarism:"?..tafadhali utafute,nilijibu majibu mengi sana mle..kurudia ni tire-some aiseeNikueleze tu kuwa hiki unachokiandika hapa ninakielewa sana tena kwa kina,siyo kipya kwangu isipokuwa ninachotaka ukifanye kwenye hii thread yako ni kwenda taratibu ili upangilie hoja zako vizuri ili tuzijadili kuliko kuanza kujadili makosa madogo madogo kama hayo ya matumizi ya maneno kqwenye thread yako na post zako vile vile.....
Lakini kingine ni kwamba naona kama unatumia kasi kubwa sana kuandika na matokeo yake unaandika vitu vingine ambavyo havipo kwenye Biblia kama maneno yako ya kudai kuwa biblia imeandika alianza kuumbwa Eve kisha Adam....
Ndiyo maana kabla sijaanza kujibu dhana yako hii kuhusiana na mfalm James nataka uweke sawa kwanza madai yako....
Baada ya hayo,unaweza kuonesha ni mambo gani mfalme James aliyaongeza kama yake binafsi kwenye maandiko ya Biblia na ushahidi wake?
Ukimaliza hili,baadaye tutakuja hapo kwenye huo uzushi unaodai upo kwenye Biblia.....
Umeshapanga majibu uliyo-crame. Ukiwa tayari kujifunza uliza ueleweshwe.acha mbwembwe,..tuambie kwa nini biblia inajipinga yenyewe
acha kurukaruka,sema kwa nini biblia inajipinga yenyewe
Oteanani aliumbwa kwanza?adam au eva?
Fungua Maada yako kuhusu hili sualanani aliumbwa kwanza?adam au eva?
Sipotezi muda kwenye hili, ila ujue tu siamini majiniushaishiwa hoja
Hivi...hadi sasa ushapajibu jibu la maana kwenye swali lako?BIBLE’S CONTRADICTIONS
1. Genesis chapter 1
God created adam and eve together
Genesis chapter 2
God created adam and then eve later
2. Genesis 2:7 and 2:19
God created a man and then the animals
Genesis 1:24-27
God created the animals first and then a man
3. Genesis 32:30 and numbers 14:14
Men have seen god
John 1:18
No man has seen god
4. Jeremiah 3:12
God does not keep anger forever
Jeremiah 17:4
God does keep anger forever
5. Mathew 1:20
Angel appeared to joseph
Luke 1:28
Angel appeared to mary
6. Mathew 8:5
Centurion came to jesus
Luke 7:3
Centurion sent his elders
7. Mathew 4:5-8
Satan took Jesus to temple and then mountain
Luke 4:5-9
Satan took Jesus to mountain and then temple
8. Mathew 20:29
Two blind men were healed on the road
Mark 10:46-47
One blind man was healed on the road
Wafuasi wa yesu tusaidieni hapa
NOTE:Mimi sio mkristo,budha wala muislam