Biblia imeandika Yakobo alipigana na Mungu usiku kucha na akashinda pambano hilo. Inakuwaje Mungu anapigana na anapigwa na kiumbe chake ?

Tushike lipi enyi wainjilisti

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Kule mapangoni wakati anashurutishwa "soma!" alikuwa anashurutishwa na nani? Alimwona aliyekuwa akimshurutisha? Inasemekana alitoka mule na "homa kali"; kwanini?
 
'MUNGU Anatupenda Sote Waislam kwa Wakristo,
Wahindu,Wabudha,Warasta, Wakalasinga,Wayahudi,Jain,Tao,Conficium,Washinto,
Dini za kienyeji,Wapagani n.k

kwa nini tugombane wakati sote ni Viumbe vyake????
Kama unatenda Matendo Mema,Dini hazina umuhimu wowote Duniani lazima PEPO utaiona tu'
 
🤔🤔🤔💭
 
Kinachosumbua hapa ni lugha... Maelezo yako hayaoneshi kushindwa kwa Mungu. Na kung'ang'ania au kushinda kwa mwanadamu hakumaanishi kushindwa kwa Mungu. Kushindwa kunakomaanishwa hapa ni KUSHINDA MTIHANI... Ili unielewe vema, chukulia unapofaulu mtihani inamaanisha kushindwa kwa mtunga/mtoa mtihani? MSITUMIE TAFSIRI NYEPESI KUPOTOSHA UKUU WA MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…