MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Wakristo wenzangu naombeni majibu.
Fungu la kumi ni sheria ya Musa katika agano la kale.
kwenye agano la kale Hesabu 18:21 imeandika Fungu la kumi lilitolewa kwa kabila lililokosa ardhi linaitwa kabila la Walawi kwa ajili ya kazi yao katika hema la kukutania.
Leo tunaambiwa tupo kwenye agano jipya alilokuja nalo yesu kristo. tunaambiwa UKRISTO NI DINI YA WAFUASI WA YESU AMBAO TUNAFATA AGANO JIPYA.
Sheria nyingi za agano za kale hazifatwi. Ila swala la fungu la kumi makanisa yanakusanya kwa kasi kubwa.
Napenda kujua kuhusu fungu la kumi ambalo biblia inasema wapewe walawi. Je hapa Tanzania walawi ni kina nani ?
Fungu la kumi ni sheria ya Musa katika agano la kale.
kwenye agano la kale Hesabu 18:21 imeandika Fungu la kumi lilitolewa kwa kabila lililokosa ardhi linaitwa kabila la Walawi kwa ajili ya kazi yao katika hema la kukutania.
Leo tunaambiwa tupo kwenye agano jipya alilokuja nalo yesu kristo. tunaambiwa UKRISTO NI DINI YA WAFUASI WA YESU AMBAO TUNAFATA AGANO JIPYA.
Sheria nyingi za agano za kale hazifatwi. Ila swala la fungu la kumi makanisa yanakusanya kwa kasi kubwa.
Napenda kujua kuhusu fungu la kumi ambalo biblia inasema wapewe walawi. Je hapa Tanzania walawi ni kina nani ?