Unaweza ukawa sawa, lakini jaribu kuwaza haya;
1. Fungu la kumi ni asilimia 10 ya pato lako. Hutakiwa kutoa fungu la kumi kama hujapata. Anayesubiri mazao yaive baada ya miezi mitano anatakiwa atoe baada ya miezi mitano.
2. Pamoja na hiyo namba moja hapo juu, wakati anasubiri hiyo miezi mitano mazao yaive, anakuwa hali chakula? anachokula hakitokani na kipato? Kama anachokula kinatokana na kipato, basi atoe 10% ya anachokipata wakati akisubiria mazao yaive.
3. Kipato cha huyo anayesubiri mazao yaive kwa miezi mitano, ni hayo mazao pekee?? Kama hapana, basi basi anasubiria mazao yaive, atoe fungu la kumi kwa hicho kipato kingine.