Zaka siyo sadaka mtumish hivyo huwa haitolewi kiholelaTuambie kwanza Fungu la kumi ni nini?
Mkulima anaesubiri mazao yaive baada ya miezi mitano inakuaje atoe fungu la kumi kila Jumapili wakati havuni kila wiki?
Agano jipya tunatoa vyote, yaani asilimia 100 siyo 10%, kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo na kuvitumia wenyewe vyote. Ndivyo walivyokuwa wanafanya kanisa la kwanza chini ya mitume. Vyote tupatavyo ni vya Bwana na tunasimamia na kuvitumia wenyewe. Soma Matendo 4: 32 na kuendeleaWakristo wenzangu naombeni majibu.
Fungu la kumi ni sheria ya Musa katika agano la kale.
Leo tunaambiwa tupo kwenye agano jipya alilokuja nalo yesu kristo.
Sheria nyingi za agano za kale hazifatwi. Ila swala la fungu la kumi makanisa yanakusanya kwa kasi kubwa.
Napenda kujua kuhusu fungu la kumi ambalo biblia inasema wapewe walawi. Je hapa Tanzania walawi ni kina nani ?
Kwa sasa yeyote aliyempokea Yesu Kristo ni kuhani, hata kama hana cheo chochote kanisani.Walawi ni makuhani
Kwahiyo kuhan yeyote ndo mlawi wa sasa
Akiweka huo mstari niTag mkuu😃Tuwekee na huo mstari unaosema hivyo ili tuje kujitetea kwa hoja😆😆😆
Sasa kusema tutoe asilimia 10 ya mapato yetu sio utekelezaji wa sheria na shinikizo? Kwa nini isiwe kiasi chochote hadi iwe hiyo asilimia 10? Ktk sheria hii ndio unafiki wa hizi dini unadhihirika!Agano jipya tunatoa vyote, yaani asilimia 100 siyo 10%, kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo na kuvitumia wenyewe vyote. Ndivyo walivyokuwa wanafanya kanisa la kwanza chini ya mitume. Vyote tupatavyo ni vya Bwana na tunasimamia na kuvitumia wenyewe.
Hata sisi wenyewe ni wa Bwana baada ya kutununua kwa damu ya thamani. Na kwa sasa kila aliyeokoka ni kuhani kama walivyokuwa Walawi. Aidha, utoaji wa agano jipya ni kadri moyo upendavyo, siyo shinikizo au kama sheria ya agano la kale.
Kwa hiyo watu kupangiwa kiwango cha sadaka au michango ni upagani?Agano jipya tunatoa vyote, yaani asilimia 100 siyo 10%, kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo na kuvitumia wenyewe vyote. Ndivyo walivyokuwa wanafanya kanisa la kwanza chini ya mitume. Vyote tupatavyo ni vya Bwana na tunasimamia na kuvitumia wenyewe.
Hata sisi wenyewe ni wa Bwana baada ya kutununua kwa damu ya thamani. Na kwa sasa kila aliyeokoka ni kuhani kama walivyokuwa Walawi. Aidha, utoaji wa agano jipya ni kadri moyo upendavyo, siyo shinikizo au kama sheria ya agano la kale.
Zaka unayoisema haikuwa lazima pesa, bali chochote upatacho. Soma Mathayo 23:23. Hata uchumapo mchicha, mashina 9 yalikuwa yako, shina la 10 ni zaka. Kwa sasa hakuna zaka ya fungu la 10 au asilimia 10. Utoaji wa sasa ni asilimia 100 na kisha tunatumia wenyewe vyote. Soma Matendo 4: 32-37Zaka siyo sadaka mtumish hivyo huwa haitolewi kiholela
Zaka huwa inatolewa kulingana na kipato chako je unakipata kwa siku au kwa week au kwa mwezi au kwa mwaka?
Bas kama unakipata kwa mwaka toa zaka ya mwaka kama ni kwa mwezi basi toa zaka kwa mwezi kama ni kwa week basi toa kwa week
Asante mtumish
Kabisa!Kwa hiyo watu kupangiwa kiwango cha sadaka au michango ni upagani?
Sawa.Endelea kutoa elimu mkuu maana duhKabisa!
Agano jipya hatupaswi kupangiwa au kulazimishwa kiasi cha kutoa, bali tutoe kadri moyo wa kila mmoja upendavyo. Ukitaka kutoa vyote, nusu, robo au kutotoa kabisa ni sawa tu. Soma 2 Wakorintho 9:7 na 1 Timotheo 6:18Sasa kusema tutoe asilimia 10 ya mapato yetu sio utekelezaji wa sheria na shinikizo? Kwa nini isiwe kiasi chochote hadi iwe hiyo asilimia 10? Ktk sheria hii ndio unafiki wa hizi dini unadhihirika!
Haijasema walawi pekee yake mkuu,imesema Kuhani, mlawi na mjaneWakristo wenzangu naombeni majibu.
Fungu la kumi ni sheria ya Musa katika agano la kale.
Leo tunaambiwa tupo kwenye agano jipya alilokuja nalo yesu kristo.
Sheria nyingi za agano za kale hazifatwi. Ila swala la fungu la kumi makanisa yanakusanya kwa kasi kubwa.
Napenda kujua kuhusu fungu la kumi ambalo biblia inasema wapewe walawi. Je hapa Tanzania walawi ni kina nani ?
Tunadanganywa sana kwa kutojua maandiko na uwezo wa Mungu na/au kuwasikiliza wanaotumia maandiko vibaya kukidhi tamaa zao binafsi. Soma Mathayo 22:29Sawa.Endelea kutoa elimu mkuu maana duh