Kweli kabisa.Kuna siku pastor kaniambia niuze suit yangu nipate hela ya kutoa michango maana anaona sitoi nikabaki nacheka tu🤣Tunadanganywa sana kwa kutojua maandiko na uwezo wa Mungu na/au kuwasikiliza wanaotumia maandiko vibaya kukidhi tamaa zao binafsi. Soma Mathayo 22:29
Sasa hili fungu la kumi linalohubiriwa Kwa msisitizo imetoka wp? ambalo ktk hili dini zote za kikristo hazipingani? Watapingana na kukosoana kwingine kote lkn si ktk fungu la kumi!Agano jipya hatupaswi kupangiwa au kulazimishwa kiasi cha kutoa, bali tutoe kadri moyo wa kila mmoja upendavyo. Ukitaka kutoa vyote, nusu, robo au kutotoa kabisa ni sawa tu. Soma 2 Wakorintho 9:7 na 1 Timotheo 6:18
Nani alikwambia mchungaji ni mlawi?Haijasema walawi pekee yake mkuu,imesema Kuhani, mlawi na mjane
Sasa Kuhani ni mchungaji
mlawi(mhudumu yeyote wa kanisani, hata mlinzi ni mlawi)
Achana naye, huyo ni mlafi tu. Mungu hahitaji chochote toka kwetu, vyote ni vyake pamoja na sisi wenyewe. Soma 1 Mambo ya Nyakati 29: 14, 16-17Kweli kabisa.Kuna siku pastor kaniambia niuze suit yangu nipate hela ya kutoa michango maana anaona sitoi nikabaki nacheka tu🤣
1 Mambo ya Nyakati 29:14Achana naye, huyo ni mlafi tu. Mungu hahitaji chochote toka kwetu, vyote ni vyake pamoja na sisi wenyewe. Soma 1 Mambo ya Nyakati 29: 14, 16-17
Zaka au fungu la kumi liko agano la kale Malaki 3:10. Mimi pia ni mkristo lakini nawapinga kimaandiko. Na kama zaka ilikuwa kwa vitu vyote apatavyo mtu, kwanini wanataka pesa tu?!Sasa hili fungu la kumi linalohubiriwa Kwa msisitizo imetoka wp? ambalo ktk hili dini zote za kikristo hazipingani? Watapingana na kukosoana kwingine kote lkn si ktk fungu la kumi!
Sawa kabisa: "... kwa hiari..."1 Mambo ya Nyakati 29:14
Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, hata tuweze kutoa kwa hiari hivi? Kwani vitu vyote vyatoka kwako na katika vitu vyako mwenyewe tumekutolea.
1 Mambo ya Nyakati 29:16
Ee BWANA, Mungu wetu, akiba hii yote tuliyoiweka, ili tukujengee nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu, yatoka yote mkononi mwako, na yote ni yako wewe.
1 Mambo ya Nyakati 29:17
Nami najua, Mungu wangu, ya kuwa wewe wajaribu moyo, nawe wapendezwa na unyofu. Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa haya yote kwa hiari yangu mwenyewe; nami sasa nimeona kwa furaha watu wako, waliopo hapa, wakikutolea kwa hiari yao.
Nawasilisha
Tuambie kwanza Fungu la kumi ni nini?
Mkulima anaesubiri mazao yaive baada ya miezi mitano inakuaje atoe fungu la kumi kila Jumapili wakati havuni kila wiki?
Haijasema walawi pekee yake mkuu,imesema Kuhani, mlawi na mjane
Sasa Kuhani ni mchungaji
mlawi(mhudumu yeyote wa kanisani, hata mlinzi ni mlawi)
Haijasema walawi pekee yake mkuu,imesema Kuhani, mlawi na mjane
Sasa Kuhani ni mchungaji
mlawi(mhudumu yeyote wa kanisani, hata mlinzi ni mlawi)
Basi na mambo ya sheria ziwe kilawilawiWalawi ni makuhani
Kwahiyo kuhan yeyote ndo mlawi wa sasa
Ndungu tunaelewa, na tunajua lawi ni kabila, ila unaelewa kwanini hao walawi hawakupewa ardhi?Wapi iliandikwa kuwa MLAWI NI MTU WA KANISANI??? MNAJIAMULIA TU. WALAWI NI KABILA MOJAWAPO LA ISRAEL. WAKATI WANAINGIA ISRAEL HILO KABILA MUNGU HAKULIPA ARDHI
LILIKOSA ARDHI TOFAUTI NA MENGINE 11. NDIO HAYO 11 YAKAAGIZWA KUTOA FUNGU LA 10% LA MAZAO YATOKANAYO NA ARDHI YA ISRAEL TU NA WAWAPE WALAWI MAANA WAO HAWANA
URITHI WA NCHI.
NIPE FUNGU LISEMALO KUWA MLAWI NI MCHANGAJI AU MTUMISHI WA KANISA WA SASA.
Jamani WALAWI ni KABILA sio WACHUNGAJI!! FULL STOP.
WEWE MCHUNGAJI MKURYA MNYAKYUSA MPOGORO WEWE SIO.MLAWI!!
MSIJIVIKE KABILA AMBALO SIO LENU.
Unaweza ukatupa sababu za Mungu Kuto wapa ardhi hilo kabila?Wapi iliandikwa kuwa MLAWI NI MTU WA KANISANI??? MNAJIAMULIA TU. WALAWI NI KABILA MOJAWAPO LA ISRAEL. WAKATI WANAINGIA ISRAEL HILO KABILA MUNGU HAKULIPA ARDHI
LILIKOSA ARDHI TOFAUTI NA MENGINE 11. NDIO HAYO 11 YAKAAGIZWA KUTOA FUNGU LA 10% LA MAZAO YATOKANAYO NA ARDHI YA ISRAEL TU NA WAWAPE WALAWI MAANA WAO HAWANA
URITHI WA NCHI.
NIPE FUNGU LISEMALO KUWA MLAWI NI MCHANGAJI AU MTUMISHI WA KANISA WA SASA.
Jamani WALAWI ni KABILA sio WACHUNGAJI!! FULL STOP.
WEWE MCHUNGAJI MKURYA MNYAKYUSA MPOGORO WEWE SIO.MLAWI!!
MSIJIVIKE KABILA AMBALO SIO LENU.
Hizi dini ni zaidi ya matatizo ya kiakili kwa waumini wake. Imagine mtu na akili timamu eti anaamini Muddy ni nabii wakati alikuwa msanii tu mwenye nyege za fisi maji. Au mtu na akili zako timamu unachukua hela kumpelekea mchungaji azibariki wakati anakula yeye na machangudoa wake na unafanya hivi kwa kujidanganya kuwa unabarikiwa lakini hakuna maendeleo yeyote uyaonayo.Wakristo wenzangu naombeni majibu.
Fungu la kumi ni sheria ya Musa katika agano la kale.
Leo tunaambiwa tupo kwenye agano jipya alilokuja nalo yesu kristo.
Sheria nyingi za agano za kale hazifatwi. Ila swala la fungu la kumi makanisa yanakusanya kwa kasi kubwa.
Napenda kujua kuhusu fungu la kumi ambalo biblia inasema wapewe walawi. Je hapa Tanzania walawi ni kina nani ?
Shukrani mkuu, hata mm naamini utoaji Kwa Mungu haufungwi na sheria yoyote ktk agano jipya! mtu anaweza toa apendavyo, yaweza kuwa zaidi ya asilimia 10 au chini ya 10 kadri ya moyo wa mtu unavyomtuma kumtolea Bwana.Zaka au fungu la kumi liko agano la kale Malaki 3:10. Mimi pia ni mkristo lakini nawapinga kimaandiko. Na kama zaka ilikuwa kwa vitu vyote apatavyo mtu, kwanini wanataka pesa tu?!
Aidha, si kila mfuasi wa Yesu anakubaliana na fungu la 10, ikiwemo mitume wa kanisa la kwanza. Walikuwa wanatoa asilimia 100, si 10%! Kisha wanagawana wote. Soma Matando 4:32 na kuendelea
Walawi ni makuhani
Kwahiyo kuhan yeyote ndo mlawi wa sasa
Na yeyote anayepokea mafundisho ya Yesu Kristu ndio mwizraeli kwa Sasa😊😊Walawi ni makuhani
Kwahiyo kuhan yeyote ndo mlawi wa sasa