Evari77
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 665
- 674
Zaka ni sehemu ya kumi
1: katika mbegu au matunda hii inawakilisha mazao ya kilimo
Mambo ya Walawi 27:30 Tena zaka yote ya nchi, kama ni mbegu ya nchi, au kama ni matunda ya nchi, ni ya BWANA; ni takatifu kwa BWANA.
2: wanyama wa kufugwa
Mambo ya Walawi 27:32 Tena zaka yote ya ng’ombe, au ya kondoo, kila apitaye chini ya fimbo; sehemu ya kumi watakuwa ni watakatifu kwa BWANA.
Nyakati hizo za kale shughuri kuu ilikuwa kilimo na ufugaji ndio maana hapa tunaona zaka ikitajwa katika maeneo haya mawili
Ya kilimo na ufugaji
Zaka ni takatifu kwa bwana maana yake nini
Ni kitu ambacho kimetengwa mahususinkwa ajili ya bwana yani kitu hicho ni wakfu kitu hichonwana wa israeli hawakutakiwa kukichukua ipo mfano mingi lakini unaweza kusoma habari hii ya yoshua sura ya sita karibu yote
Yoshua 6:18 Na ninyi, msikose kujiepusha na kitu kilichowekwa wakfu; msije mkakitwaa kitu kilichowekwa wakfu, baada ya kukiweka wakfu; nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha.
Zaka inatolewaje
1: mahali alilipo jina lake
Kumbukumbu la Torati 12:11 wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.
Kumbukumbu la Torati 12:13 Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;
2: zaka wamepewa wanq wa lawi
Hesabu 18:21 Na wana wa Lawi, nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao, badala ya huo utumishi wautumikao, maana, ni huo utumishi wa hema ya kukutania.
Wana wa lawi walichagukiwa kufanya kazi moja tu ya utumishi katika nyumba ya Mungu ndipo aliamulunwapewe zake kama posho zao ya kujikimu za maisha yao hawakutakiwa
Kufanya biashara wala kuwa na kazi za aina nyingine yoyote
Kwa leo wana wa lawi ni sawa na watumishi lakini je watumishi hawa wa leo wanazo sifa hizo za wana wa lawi na je ni kweli hao tunaowapa zaka leo wana mwakilisha Mungu wa kweli aliyetoa agizo hilo?
Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote.
Wana hawa wa lawi hawakupewa sehemu yoyote wakati wana wa israeli wana gawana maeneo baada ya kuvuka wao walipewa tu zaka kwa utumishi wao
Sasa tuchambue andiko la mada yetu kumb 14 :22
Kwa kifupi kabla ya kusoma kumb 14 tunatqkiwa kuanza na na sura ya 12
Kumbukumbu la Torati 12:11 wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.
Hapantunaona aina mbali mbalimbali za matoleo na kwa kawaida ilikwa inatolewa mala moja kwa mwaka na ikiwa mtu alikuwa tajiki basi ulikuwa mzigo mkubwa sana na haikuwa zaka pekee kama tunavyozani
Baada ya kuuza na kubadilisha kuwa pesa walifanya nini waligawa mafungu kulingana na sheria yao na pale kulikuwa na sadaka za kuteketezwa ,sadaka za unga nk hivyo walitakiwa kutao walivipqta wapi wakati wameuza walinunua katika mji hule na baadaye watu walipoona imekuwa biashara kubwa walisogea adi hekalunimkuuza vitu mbalimbali ndipo wakati wa yesu alipindua meza
Yohana 2:15 Akafanya kikoto cha kambaa, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng’ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao
Yohana 2:16 akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara.
Ili lilitokana na watu kuwa na mahitaji ya sadaka na kwamba pesa yote walinunua vitu na kula na kufulahi la hasa ila walikwenda huko na ilikuwa sikukuu kubwa walimtolea bwana sadaka na kula na kufulahi
Je kwa nyakati zetu tunapaswa kutoa zaka jibu ni ndio ikiwa aliyetoa agizo ni Mungu wako
Changamoto za utoajinwa zaka nyakati za leo
Kuna changamoto ya hesabu kutokana ma changamoto ya uchumi na mahitaji makubwa watumishi wengi wamewaingiza watu kufata kanuni za ma hesabu mengi yakiwa sio sahihi
Kumbuka mzigi wa uchumi wa leo sio kilimo na mifugo ni pesa so hesabu zake zikoje hapo ndio kwenye mtihani je inapawa kuwa vipi ni sehemu ya kumi ya faida ikiwa ni biashara ikiwa kazi basi sehemu ya kumi ya mshahara sasa watumishi wengine wanataka basic bila makato hapo napo ni changamoto nyingine
Hakuna zaka ya kujipaliza wala ya mshahara mzima zaka ni sehemu ya kumi inatolewa na mtu aliyeamua Mungu wa Israeli kuwa ndiye Mungu wake na kwa mtumishi halisi wa Mungu huyo
Wengi leo wanatoa zaka kama michango tu ya kawaida haina aina hualisia hule ulio kusudiwa kanuni nyingi hazifatwi mlawi nyenyewe anafanya biashara na kazi mbalimbali kinyume na utaratibu hakutakiwa kuwa na urithi wowote ndio akapewa hiyo zaka
Mda hautosh kuchambu mambo mengi sana haya ni kwa ufupi ikiwa unaona bado kuna maswali jua haya ni kwa ufupi
1: katika mbegu au matunda hii inawakilisha mazao ya kilimo
Mambo ya Walawi 27:30 Tena zaka yote ya nchi, kama ni mbegu ya nchi, au kama ni matunda ya nchi, ni ya BWANA; ni takatifu kwa BWANA.
2: wanyama wa kufugwa
Mambo ya Walawi 27:32 Tena zaka yote ya ng’ombe, au ya kondoo, kila apitaye chini ya fimbo; sehemu ya kumi watakuwa ni watakatifu kwa BWANA.
Nyakati hizo za kale shughuri kuu ilikuwa kilimo na ufugaji ndio maana hapa tunaona zaka ikitajwa katika maeneo haya mawili
Ya kilimo na ufugaji
Zaka ni takatifu kwa bwana maana yake nini
Ni kitu ambacho kimetengwa mahususinkwa ajili ya bwana yani kitu hicho ni wakfu kitu hichonwana wa israeli hawakutakiwa kukichukua ipo mfano mingi lakini unaweza kusoma habari hii ya yoshua sura ya sita karibu yote
Yoshua 6:18 Na ninyi, msikose kujiepusha na kitu kilichowekwa wakfu; msije mkakitwaa kitu kilichowekwa wakfu, baada ya kukiweka wakfu; nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha.
Zaka inatolewaje
1: mahali alilipo jina lake
Kumbukumbu la Torati 12:11 wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.
Kumbukumbu la Torati 12:13 Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;
2: zaka wamepewa wanq wa lawi
Hesabu 18:21 Na wana wa Lawi, nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao, badala ya huo utumishi wautumikao, maana, ni huo utumishi wa hema ya kukutania.
Wana wa lawi walichagukiwa kufanya kazi moja tu ya utumishi katika nyumba ya Mungu ndipo aliamulunwapewe zake kama posho zao ya kujikimu za maisha yao hawakutakiwa
Kufanya biashara wala kuwa na kazi za aina nyingine yoyote
Kwa leo wana wa lawi ni sawa na watumishi lakini je watumishi hawa wa leo wanazo sifa hizo za wana wa lawi na je ni kweli hao tunaowapa zaka leo wana mwakilisha Mungu wa kweli aliyetoa agizo hilo?
Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote.
Wana hawa wa lawi hawakupewa sehemu yoyote wakati wana wa israeli wana gawana maeneo baada ya kuvuka wao walipewa tu zaka kwa utumishi wao
Sasa tuchambue andiko la mada yetu kumb 14 :22
Kwa kifupi kabla ya kusoma kumb 14 tunatqkiwa kuanza na na sura ya 12
Kumbukumbu la Torati 12:11 wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.
Hapantunaona aina mbali mbalimbali za matoleo na kwa kawaida ilikwa inatolewa mala moja kwa mwaka na ikiwa mtu alikuwa tajiki basi ulikuwa mzigo mkubwa sana na haikuwa zaka pekee kama tunavyozani
Baada ya kuuza na kubadilisha kuwa pesa walifanya nini waligawa mafungu kulingana na sheria yao na pale kulikuwa na sadaka za kuteketezwa ,sadaka za unga nk hivyo walitakiwa kutao walivipqta wapi wakati wameuza walinunua katika mji hule na baadaye watu walipoona imekuwa biashara kubwa walisogea adi hekalunimkuuza vitu mbalimbali ndipo wakati wa yesu alipindua meza
Yohana 2:15 Akafanya kikoto cha kambaa, akawatoa wote katika hekalu, na kondoo na ng’ombe; akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akazipindua meza zao
Yohana 2:16 akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara.
Ili lilitokana na watu kuwa na mahitaji ya sadaka na kwamba pesa yote walinunua vitu na kula na kufulahi la hasa ila walikwenda huko na ilikuwa sikukuu kubwa walimtolea bwana sadaka na kula na kufulahi
Je kwa nyakati zetu tunapaswa kutoa zaka jibu ni ndio ikiwa aliyetoa agizo ni Mungu wako
Changamoto za utoajinwa zaka nyakati za leo
Kuna changamoto ya hesabu kutokana ma changamoto ya uchumi na mahitaji makubwa watumishi wengi wamewaingiza watu kufata kanuni za ma hesabu mengi yakiwa sio sahihi
Kumbuka mzigi wa uchumi wa leo sio kilimo na mifugo ni pesa so hesabu zake zikoje hapo ndio kwenye mtihani je inapawa kuwa vipi ni sehemu ya kumi ya faida ikiwa ni biashara ikiwa kazi basi sehemu ya kumi ya mshahara sasa watumishi wengine wanataka basic bila makato hapo napo ni changamoto nyingine
Hakuna zaka ya kujipaliza wala ya mshahara mzima zaka ni sehemu ya kumi inatolewa na mtu aliyeamua Mungu wa Israeli kuwa ndiye Mungu wake na kwa mtumishi halisi wa Mungu huyo
Wengi leo wanatoa zaka kama michango tu ya kawaida haina aina hualisia hule ulio kusudiwa kanuni nyingi hazifatwi mlawi nyenyewe anafanya biashara na kazi mbalimbali kinyume na utaratibu hakutakiwa kuwa na urithi wowote ndio akapewa hiyo zaka
Mda hautosh kuchambu mambo mengi sana haya ni kwa ufupi ikiwa unaona bado kuna maswali jua haya ni kwa ufupi