Biblia inasema fungu la kumi litolewe mara moja tu kwa mwaka, hawa wanaodai fungu la kumi kila wiki ni wezi. Fungu la 10 waweza kulinywea hata pombe

Biblia inasema fungu la kumi litolewe mara moja tu kwa mwaka, hawa wanaodai fungu la kumi kila wiki ni wezi. Fungu la 10 waweza kulinywea hata pombe

Kumbukumbu la Torati 14:22
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
Kumbukumbu la Torati 14:22,24-26
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
[24]Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako;
And if the way be too long for thee, so that thou art not able to carry it; or if the place be too far from thee, which the LORD thy God shall choose to set his name there, when the LORD thy God hath blessed thee:
[25]ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako;
Then shalt thou turn it into money, and bind up the money in thine hand, and shalt go unto the place which the LORD thy God shall choose:
[26]na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng’ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za BWANA, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;
And thou shalt bestow that money for whatsoever thy soul lusteth after, for oxen, or for sheep, or for wine, or for strong drink, or for whatsoever thy soul desireth: and thou shalt eat there before the LORD thy God, and thou shalt rejoice, thou, and thine household,
kumbe kunywa tungi ni halali kabisa aithee
 
ok,
Mkuu sadaka ni hiari ya moyo wako Aina kiwango Wala upangiwi Cha kutoa. Ila sehemu ya kumi ndiyo ina kiwango ambacho kitatokana na ulichokipata kwa mfano umefanya biashara umepata faida ya 20000 na mtaji wako ni 100000. Jumla ni 120, 000. Unachotakiwa kufanya toa mtaji wako wa laki weka pembeni. Katika 20000 ya faida unatoa 2000 ndiyo sehemu ya funguo la kumi unabaki na 18000 yako unaweka kwenye mtaji wako au unatumia. Ukiona unapangiwa sadaka ondoka hapo ni utaperi tu
sasa ukimpa mchungaji si anaenda kulipia watoto wake ada,ananunua mashamba,anakunywa pombe?????,,,,ok au wachungaji ndio MENO ya MUNGU?
 
umemtaja mleta mada kuwa hana akili,kumbe ww ndio chenga kabisa umempinga bila facts zaidi ya kusema Fungu la kumi ni sadaka ya HEKALU wala sio kwa ajili ya KANISA,MSIKITI,SINAGOGI lakini ulivyo kiazi hata hiyo maana ya HEKALU huijui zaidi ya krudia rudia tu HEKALU HEKALU lakini huelezi maana ya hilo HEKALU ndio kitu gani hasa na linafanyaje kazi zake na mambo gani yanafanyika huko ndani ya Hekalu..na ili liitwe HEKALU linatakiwa liweje au liwe na vigezo vipi na liongozwe na nani na kwanini linastahili hilo fungu la kumi.? sio ww unaimba tu kama kasuku HEKALU HEKALU na kupinga wenzio unaona wanapotosha.. kwanza tujibu hayo maswali hapo juu nasi totoke gizani ili tufanye yaliyo sahihi
Tumia akili hayo niliyo ongea yana fafanua vizuri sema akili yako ndogo ....hekalu la jengo ni moja tu au lilikuwa moja tu ulimwenguni na aliwezi kufanyika lingine ...wewe unapinga ila wenzako wakisikia haya maneno yangu wana jificha wasiumbuke maana hakuna mkristo wala myahudi anaye weza kubisha ninacho sema isipokuwa matapeli wa makanisani wana hofu na ninacho fundisha kwa sababu ya ufisadi wao.
 
Kwahiyo povu lote kisa wanatoa zaka au uko na mtindio wa ubongo.

Popote watakapo chagua kupeleka zaka wewe kinachokuuma nini hasa?
NDIYO MAANA YA HAYA MAANDIKO 👉 SHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU....hao wanao peleka zaka makanisani wanampa nguvu shetani kama maandiko yalivyo sema 👉usitupe Lulu zako chini ya Nguruwe wasije wakazikanyaga na kukulalua......LULU NI PAMOJA NA HIZO ZAKA NA SADAKA NA MALI ZENU MNAZOTOA MAKANISANI NA KUWAPA MANABII NA MITUME WA UONGO AMBAO NDIYO NGURUWE....NAO WANAZIDI KUPATA NGUVU NA KUWALALUENI KWA MAFUNDISHO MAOVU NA POTOVU.
 
Amina
NDIYO MAANA YA HAYA MAANDIKO 👉 SHUKIZO LA UHALIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFU....hao wanao peleka zaka makanisani wanampa nguvu shetani kama maandiko yalivyo sema 👉usitupe Lulu zako chini ya Nguruwe wasije wakazikanyaga na kukulalua......LULU NI PAMOJA NA HIZO ZAKA NA SADAKA NA MALI ZENU MNAZOTOA MAKANISANI NA KUWAPA MANABII NA MITUME WA UONGO NAO WANAZIDI KUPATA NGUVU NA KUWALALUENI NA MAFUNDISHO MAOVU NA POYOVU.
 
Hao unaowasema wanatumia na kutafsiri hio Katiba (kama nyote mnatumia) sawa na wewe ? Huenda Katiba yao inaruhusu...

To each their own.., kwangu mimi mtu anayetoa bila shuruti wala hajaibiwa tofauti na hawa wengine ndio ungewafungulia UZI


 
Tajiri kama tajiri hongera kwa kuamka na hii meditation.

Ukisoma soma mbele huko utaona vile zaka sio kwa ajili ya Makuhani peke yao unaweza toa kwa Wageni wa nyumba yako, Yatima na Wajane.
Wazo zuri huwa nafikiria. Hivi nikiwapa zaka yangu kwa wahitaji wa kweli wanaoteseka mitaani, si ni Bora kuliko kuipeleka kanisani? Naomba fungu la biblia linalosema hivyo.
 
Kumbukumbu la Torati 14:22
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
Kumbukumbu la Torati 14:22,24-26
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
[24]Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako;
And if the way be too long for thee, so that thou art not able to carry it; or if the place be too far from thee, which the LORD thy God shall choose to set his name there, when the LORD thy God hath blessed thee:
[25]ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako;
Then shalt thou turn it into money, and bind up the money in thine hand, and shalt go unto the place which the LORD thy God shall choose:
[26]na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng’ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za BWANA, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;
And thou shalt bestow that money for whatsoever thy soul lusteth after, for oxen, or for sheep, or for wine, or for strong drink, or for whatsoever thy soul desireth: and thou shalt eat there before the LORD thy God, and thou shalt rejoice, thou, and thine household,
Haya yana thibitisha kwamba HEKALU NI MOJA TU ....na watu wa kale walifunga safari mwaka kwa mwaka kupeleka zaka ...kama wanabisha wakasome baada ya Mfalme selemani kufa ufalme uligawanyika yule mfalme mwingine alihofia waisrael waliokuwa upande wake wata geuka moyo kwa sababu ya kwenda kwa ufalme wa pili kuliko kuwa na hekalu ...basi ndipo akajenga hekalu lingine haramu ...kasomeni WAFALME 1 SURA KUANZIA 20 nini kilitokea na mungu alisema nini kuhusu hilo hekalu na zaka yake na alivifanya nini ...watu wakasome baada ya kufa kwa selemani
 

Attachments

  • Screenshot_20250121-101016_Swahili Bible.jpg
    Screenshot_20250121-101016_Swahili Bible.jpg
    152 KB · Views: 1
Wazo zuri huwa nafikiria. Hivi nikiwapa zaka yangu kwa wahitaji wa kweli wanaoteseka mitaani, si ni Bora kuliko kuipeleka kanisani? Naomba fungu la biblia linalosema hivyo.
Kumbukumbu la Torati 14:29
[29]na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba BWANA, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.
 
Kila mtu na atoe Kwa kadiri alivyobarikiwa !!

Utoaji Kwa agano jipya hauna kanuni maalum coz kristo alijitoa msalabani na sisi twapaswa kujitoa kwake bila kipimo!!
 
Mbona umeishia kutoa matusi bila kudadavua vizuri ueleweke
Umewezaje kuwaelewa wapumbavu waliokuambia kuwa kila kanisa ni hekalu na ukashindwa kuelewa fafanuzi yangu iliyo wazi kabisa ...endelea kusoma na kutumia akili HEKALU NI MOJA TU ...kasome hata wafalme 1 sura ya 20 utaona nini kilitokea baada ya mtu mmoja kuanzisha hekalu jingine na kuwaambia wana wa Israeli kuwa hilo nalo ni hekalu watoe zaka na kufanya ibada
 
Kumbukumbu la Torati 14:22
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
Kumbukumbu la Torati 14:22,24-26
[22]Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
Thou shalt truly tithe all the increase of thy seed, that the field bringeth forth year by year.
[24]Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako;
And if the way be too long for thee, so that thou art not able to carry it; or if the place be too far from thee, which the LORD thy God shall choose to set his name there, when the LORD thy God hath blessed thee:
[25]ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako;
Then shalt thou turn it into money, and bind up the money in thine hand, and shalt go unto the place which the LORD thy God shall choose:
[26]na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng’ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za BWANA, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;
And thou shalt bestow that money for whatsoever thy soul lusteth after, for oxen, or for sheep, or for wine, or for strong drink, or for whatsoever thy soul desireth: and thou shalt eat there before the LORD thy God, and thou shalt rejoice, thou, and thine household,
Mwanzo 28:22
Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.
 
Tumia akili hayo niliyo ongea yana fafanua vizuri sema akili yako ndogo ....hekalu la jengo ni moja tu au lilikuwa moja tu ulimwenguni na aliwezi kufanyika lingine ...wewe unapinga ila wenzako wakisikia haya maneno yangu wana jificha wasiumbuke maana hakuna mkristo wala myahudi anaye weza kubisha ninacho sema isipokuwa matapeli wa makanisani wana hofu na ninacho fundisha kwa sababu ya ufisadi wao.
ni sawa mkuu umeongea kitu sahihi lakini sio wote humu tunajua maana ya HEKALU ni nini.?ili litambulike hili ni HEKALU je,likidhi vigezo gani na kina nani wanastahili kuongoza hilo hekalu na mambo yapi yanayotendeka ndani ya HEKALU..ww jibu kwa sifa za HEKALU hilo moja tu lilikuwepo zamani na sifa za watu waliohudumu ndani ya hilo Hekalu unalosema ambayo sisi hatuwezi kuyaona au kuyaishi kwenye hizi zama zetu..na pia sababu ni zipi hakuwezi kuwa na HEKALU kwa dunia ya sasa na kwanini ww useme HEKALU ni moja tu duniani je,bado lipo hadi leo.? maana umesema KANISA,MSIKITI na SINAGOGI hayatakiwi kutolewa fungu la kumi..ila ww umesema fungu la kumi linatolewa HEKALUNI tu..kwa mazingira ya sasa hatuna HEKALU sasa hilo fungu la kumi linastahili kupelekwa wapi.? au halipaswi kabisa kutolewa kwa sababu hamna sehemu sahihi inayostahili.?
 
Aisee,sikujua hili..
Ila ch kushangaza Wakristo wanatawala Dunia katika kila nyanja!
Sasa kama Wapumbavu wasio na akili wanaitawala Dunia..

Sasa hapo wanaotawaliwa wakoje!
Ukusoma nani ni mtawala wa hii dunia ...ni shetani japo mungu ndiye mtawala wa kila kitu dunia kaachiwa shetani ..hivyo usishangae hao wakristo wanao tawala dunia ni wakristo waovu ni watoto wa ibilisi na waislamu ni hivyo hivyo hakuna mkristo mtakatifu anaye tawala dunia
 
Hizo pesa na Mali zilizokua zikitolewa zilikua zinaliwa na nani?

Au watu wa hilo hekalu waalikua na uwezo wakumtumia huyo Mungu!!
Kabila la lawi ..kasome mwanzo wa amri ya zaka ....kabila la lawi kazi yao iliamriwa na mungu kuwa watunza sanduku la agano na hekalu ambalo sanduku lipo awakutakiwa kuangaika na mambo mengine yoyote zaidi na ibada tu hivyo wakapewa zaka kuwa kwa ajili ya familia zao na maisha yao ...sadaka ya zaka ni mali ya walawi na sadaza zisizo kuwa zaka zilikuwa mali ya mungu
 
Back
Top Bottom