Kumbuka sio Mimi nimetunga hii Ayaiyo aya haipo hivyo unapotosha kwa maana zakp za uchochoroni na ulivyodanganywa.
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka sio Mimi nimetunga hii Ayaiyo aya haipo hivyo unapotosha kwa maana zakp za uchochoroni na ulivyodanganywa.
Cha zaidi umeongezea mabano , mabano ni maoni ya alietafsiri 😂🤣😂 kuwa makiniView attachment 2630213
Masai lini ukajua kiswahili?😅😅😅Elimu zero unadanganya .
una lingine maana nataka kukufundisha kiarabu 😅😅
Hakuna kukimbia 😂🤣🤣🤣una lingine maana nataka kukufundisha kiarabu 😅😅
Aya huelewi kifupi hujui unatafsiri nn😅😅Kumbuka sio Mimi nimetunga hii Aya
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Ayah nimeweka hapo unakaza kichwa si unanijua lazima ukimbie maana mume wenu nyote namjua😅😅Hakuna kukimbia 😂🤣🤣🤣
Allah ni jina la mungu wa waislamu
Ametamka mwenyewe Allah ni jina au Rahman
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Umeandika Pumba tupu.Umedanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,matapu tapu,acha kunywa matapu mstapu,mpaka unaona wivu mwanamme kuoa,ulitaka aje akuoe wewe.
Allah kasema jina lake ni Allah au Rahman wewe mabano umeongezea ya nini?Ayah nimeweka hapo unakaza kichwa si unanijua lazima ukimbie maana mume wenu nyote namjua😅😅
Ukweli ubaki kuwa Allah kajitaja jina lake mwenye akasema mnaweza mkatumia jina la Allah au RahmanAya huelewi kifupi hujui unatafsiri nn😅😅
Ayah si nimekuwea mbona huelewi au hujui kutafsiri sema upewe darasa😅Allah kasema jina lake ni Allah au Rahman wewe mabano umeongezea ya nini?
Mbishie Allah
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
kwamba hujui maana yake ndo maana unapata tabu kasome kiarabu uelewe kwanza uache kudanganya watu.Ukweli ubaki kuwa Allah kajitaja jina lake mwenye akasema mnaweza mkatumia jina la Allah au Rahman
Kumbuka sio Mimi nimetunga hii Aya
Koran 17: 110. Sema: Mwombeni Allah, au mwombeni Rahman , kwa jina lolote mnalo mwita.
Kasome agano la kale na jipya ambayo kuna vitabu vya paulo .Sasa kama hamuwajui hao miungu wa wakristo kwa nini unamuingiza mungu Alah kwenye Biblia?
Unajichanganya sana.
Sasa Rudi ujibu swali langu.
BIBLIA iliyobadilishwa IKO WAPI? Ilibadilishwa na na nani? Aliyeibadilisha alibadilisha akiwa wapi na lini?
Nikitaka kuiona hiyo Biblia iliyobadilishwa nitaipata wapi?
Duh...Hili nalo ni jipya.Kasome agano la kale na jipya ambayo kuna vitabu vya paulo .
Tuongee kiswahil sasa maana kiarabu hujui kitu..Neno Allah ni kiarabu na huyo jehovah siju jesus ( kizungu)
Kiswahili hujui ? mshamba soma sentensi la kale na jipya lina vitabu vya paulo😅😅😅Duh...Hili nalo ni jipya.
Njooni mumsikie huyu!!![emoji1787]
Agano la kale lina Vitabu vya Paulo?
Vinaitwaje hivyo vitabu vya Paulo kwenye agano la kale?
Vinapatikana ukurasa wa ngapi na mimi nivione?
Kumbe nadiscuss na POPOMA asiyejua hata agano la kale ni nini na lina vitabu vipi!
Ukishasema La kale NA jipya maana yake nitaipata kwenye la kale na jipya... kuna "NA" hapo.Kiswahili hujui ? mshamba soma sentensi la kale na jipya lina vitabu vya paulo[emoji28][emoji28][emoji28]
Nilijua kichwani hamna kitu kafiri.!!
Agano jipya ndo kuna vitabu vya paulo elewa sentensi pia toa ushahidi...Maana sijaona hata hoja yako moja zaidi unarudia tu .Ukishasema La kale NA jipya maana yake nitaipata kwenye la kale na jipya... kuna "NA" hapo.
Kwa hiyo Vitabu vya Paulo vinapatikana kwenye Agano la kale siku hizi.
Wavaa kobazi, hata kama ni kumtetea mudi ila jaribuni kupunguza uzushi kidogo.
Mnatia Aibu... ona huyu hapa sasa!!
Kwa hiyo Paulo ndio alibadilisha Biblia?Agano jipya ndo kuna vitabu vya paulo elewa sentensi pia toa ushahidi...Maana sijaona hata hoja yako moja zaidi unarudia tu .
Swali
[emoji28][emoji28][emoji28]je hivyo vitabu vya paulo ni vya Mung
Nikikuambia ukristo kaanzisha paulo utakataa maana mnasema agano la kale ni kwa wana israel pekee na sio mataofa yote.
Agano mnalosema la mataifa yote ndo hili ambalo vitabu vingi ni vya paulo [emoji28][emoji28].
View attachment 2630363