Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Unakiri maandiko ya waislamu ni uongo ?

Koran 36:14
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
Nyinyi mmeshakuwa ni watu wa kudanganyana tu

Andiko hili apa Kuna jina Paulo hapo?

Quran 36:14
Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu.

36:15

Wakasema: Nyinyi si chochote ila ni watu kama sisi. Na Mwingi wa Rehema hakuteremsha kitu. Nyinyi mnasema uwongo tu.

36:16

Wakasema: Mola wetu Mlezi anajua kwamba hakika sisi tumetumwa kwenu.

36:17

Wala si juu yetu ila kufikisha ujumbe ulio wazi.

36:20

Na akaja mtu mbio kutokea upande wa mbali wa mjini, akasema: Enyi watu wangu! Wafuateni hawa walio tumwa.

36:22

NA KWA NINI nisimuabudu yule aliye niumba na kwake mtarejeshwa?

36:23

Je! Niishike miungu mingine badala yake? Arrahmani, Mwingi wa Rehema, akinitakia madhara uombezi wa hao hautanifaa kitu, wala hawataniokoa.

36:24

Basi hakika mimi hapo nitakuwa katika upotovu ulio dhaahiri.

36:25

Hakika mimi nimemuamini Mola wenu Mlezi, basi nisikilizeni!

ZINGATIA HAYA ILI USIDANGANYWE TENA

1) Hiyo Aya ya Quran haikutaja jina hivyo anayeweka jina hapo anakuwa ameongeza automatically anakuwa ameshakuwa kafiri

2) Hao Mitume waliotumwa hapo waliwambia hao watu kuwa Mungu wenu ni mmoja mnatakiwa mumuabudu yeye peke yake
Paulo hahakukundisheni hivyo yeye amekufundisheni miungu wapo 3 na Yesu ni Mungu

3) kama hapo katika hao Mitume yupo Paulo basi tuseme Paulo alikuwa muislam kitu ambacho hakiwezekani

4) Watu wa huo mji waliangamizwa Kwa Kelele za malaika Baada ya kukaidi maagizo ya Mungu kupitia hiyo Mitume

Katika historia ya maandiko hakuna mji wowote uliyoangamizwa Kwa Kelele za malaika tokea alipo zaliwa Yesu Hadi Leo Mitume ya zamani sana ndio watu wao walikuwa wanaangamizwa

Nawapeni pole nyinyi wagalatia walianzisha hiyo dini wamejipanga vizuri nyinyi mliobakia kazi yenu ni kudanganywa tu kama mapoyoyo
 
Inashangaza sana watu wa imani nyingine wanashupalia kupindisha maandiko ya imani nyingine.

Agano Jipya lilitabiriwa na Manabii na kutimizwa na Yesu Mwenyewe.

Yeremia 31:31
Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya [emoji117]agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.

Luka 22:20
Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni [emoji117]agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.

Ukristo, na Wakristo, mwanzilishi ni Yesu Kristo
Marko 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu [emoji117]wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.

Na kuahidi kulijenga Kanisa lake.
Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga [emoji117]kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

Ukiwauliza hayo mafundisho yao ni ya [emoji117]Agano gani, la Mungu na Wanadamu hawana Majibu.

Biblia imekamilika na haihitaji kuthibitishwa na kitabu chochote kile na Yesu alikihitimisha kwa kukikamilisha.

Utakuwa wamekaza shingo
Huyu Isa wa kwetu ndio huyo Yesu wa kwenye kitabu chenu.
Huyu Mariam ndio wa kwenye Biblia
Huyu fulani ndio wa kwenye Biblia.

Kwani Isa akibaki kama Isa wa Qurani kuna shida gani?

Sisi tunasema hakuna mtu mwenye sifa ya Isa wa Qurani kwenye kitabu chetu cha Biblia.
Full stop. hatutaki kulinganisha linganisha Biblia yetu Takatifu na viroja vya ajabu ajabu.
Toshekeni na Kitabu Chenu.
Isa Hawezi Baki Kama Isa Wa Qur'an kwa sababu Mnamchafua Nabii Wetu Kwa madai Yeye Ni Mungu.Hatuwezi Kukubali Mtume Wetu Isa Mumuite Mungu Pia Hatukubali Nabii Issa Kupewa Urafiki Na Akina Marko.

Tunapinga Propaganda Wa Paulo kuanzisha Ukristo.
Paulo Tapeli Kabisa Ndo Aliyewapotea kwa kuanzisha Propaganda Ya Ukristo Antokio
 
1) Hiyo Aya ya Quran haikutaja jina hivyo anayeweka jina hapo anakuwa ameongeza automatically anakuwa ameshakuwa kafiri
Kiri Ibn kathir ni Kafiri

Koran 36:14 Kathir - Ibn Al Kathir
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).

Wazolee nakusubiria uje umtaje skola wenu ni kafiri
 
Kama hujui maagano basi hujui chochote kuhusu bible naweza kukupa elimu kidogo..

Yaani unataka kujua kupitia mimi ila unakuwa mbishi[emoji28][emoji28][emoji28]
Kunihamisha kwenye mada utafanya kazi sana.

Niko palepale.

Paulo akiwa hai, Biblia ILIKUWEPO AU HAIKUWEPO?
 
Kunihamisha kwenye mada utafanya kazi sana.

Niko palepale.

Paulo akiwa hai, Biblia ILIKUWEPO AU HAIKUWEPO?
😅😅Imeandikwa zaidi ya miaka 1,500 sasa kadiri paulo alikuwa hai au aliishi miaka yote.

Kwamba hujui nifuatilie zaidi ujifunze 😅😅
 
[emoji28][emoji28]Imeandikwa zaidi ya miaka 1,500 sasa kadiri paulo alikuwa hai au aliishi miaka yote.

Kwamba hujui nifuatilie zaidi ujifunze [emoji28][emoji28]
Kwa hiyo BIBLIA ilikuwepo wakati wa Paulo au haikuwepo?

Kwa nini unakwepa kitanzi?

Kama kweli kidume sema NDIO ILIKUWEPO halafu tuingie kwenye mjadala sasa.
 
Isa Hawezi Baki Kama Isa Wa Qur'an kwa sababu Mnamchafua Nabii Wetu Kwa madai Yeye Ni Mungu.Hatuwezi Kukubali Mtume Wetu Isa Mumuite Mungu Pia Hatukubali Nabii Issa Kupewa Urafiki Na Akina Marko.

Tunapinga Propaganda Wa Paulo kuanzisha Ukristo.
Paulo Tapeli Kabisa Ndo Aliyewapotea kwa kuanzisha Propaganda Ya Ukristo Antokio
Isa hatambuliki kabisa kwenye biblia

tukimleta anakuwa mjomba ake ni Musa ambapo anakuwa hafiti kabisa
 
😅😅Imeandikwa zaidi ya miaka 1,500 sasa kadiri paulo alikuwa hai au aliishi miaka yote.

Kwamba hujui nifuatilie zaidi ujifunze 😅😅
Swali lipo wazi

Paulo akiwa hai, Biblia ILIKUWEPO AU HAIKUWEPO?
 
Kwa hiyo BIBLIA ilikuwepo wakati wa Paulo au haikuwepo?

Kwa nini unakwepa kitanzi?

Kama kweli kidume sema NDIO ILIKUWEPO halafu tuingie kwenye mjadala sasa.
Ilikuwepo na yeye kabadilisha kaleta agano jipy😅
 
Kwa hiyo BIBLIA ilikuwepo wakati wa Paulo au haikuwepo?

Kwa nini unakwepa kitanzi?

Kama kweli kidume sema NDIO ILIKUWEPO halafu tuingie kwenye mjadala sasa.
Hawezi kujibu , apo anatetemeka nini kitafuata akijibu
 
Paulo akiwa hai, Biblia ILIKUWEPO AU HAIKUWEPO?
😅😅Jamani Palikuwa na vitabu kama torat ,zaburi ambavyo ni agano la kale mnavyosema


Paulo akaanzisha ukristo na kuja na bible yake ya agano jipya.😅😅
 
Ilikuwepo na yeye kabadilisha kaleta agano jipy[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muoneni huyu.....Wavaa kobazi huwa ni vichekesho sana.

Kitu kinachoitwa BIBLIA kimeanza kuwepo Karne ya 5. Kabla ya hapo hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA. (Swali linazungumzia Biblia,halizungumzii Vitabu vilivyo ndani ya Biblia)

Paulo amefariki karne ya 1, aliwezaje kuiona BIBLIA ambayo ilikuja karne ya 5?
 
Agano la kale lilikuwepo na yeye kaleta agano jipya.
Hahaha... Wewe hata Agano hujui ni nini.

Nikikuuliza Agano Jipya ni nini utaniambia ni Vitabu.

Agano Jipya unajua ni nini kwanza? Au ndio utasema Agano jipya ni vitabu vya Mathayo-Ufunuo?

Jamani... Mambo ya dini nyingine jitahidini muyajue kwanza kabla ya kujiletea Aibu ndogondogo kama hizi.

AGANO JIPYA NI NINI?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muoneni huyu.....Wavaa kobazi huwa ni vichekesho sana.

Kitu kinachoitwa BIBLIA kimeanza kuwepo Karne ya 5. Kabla ya hapo hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA. (Swali linazungumzia Biblia,halizungumzii Vitabu vilivyo ndani ya Biblia)

Paulo amefariki karne ya 1, aliwezaje kuiona BIBLIA ambayo ilikuja karne ya 5?
Oneni mjinga huyu😅😅😅.

Elimu tatizo ebu angalia unachekwa na wenzio
Mfumo wa karne unajua miaka inahesabiwa vipi?


kwa hiyo torati na zaburi hazikuwepo kabla ya kabla ya yesu na hii ni bible agano la kale
 
[emoji28][emoji28]Jamani Palikuwa na vitabu kama torat ,zaburi ambavyo ni agano la kale mnavyosema


Paulo akaanzisha ukristo na kuja na bible yake ya agano jipya.[emoji28][emoji28]
Kwa hiyo hivyo Vitabu vya Torati na Zaburi ndio Bibilia?

Jamani, hivi kwenye huu uzi hakuna wavaa kobazi waje wamsaidie huyu jamaa aepukane na hizi aibu?
 
Isa Hawezi Baki Kama Isa Wa Qur'an kwa sababu Mnamchafua Nabii Wetu Kwa madai Yeye Ni Mungu.Hatuwezi Kukubali Mtume Wetu Isa Mumuite Mungu Pia Hatukubali Nabii Issa Kupewa Urafiki Na Akina Marko.

Tunapinga Propaganda Wa Paulo kuanzisha Ukristo.
Paulo Tapeli Kabisa Ndo Aliyewapotea kwa kuanzisha Propaganda Ya Ukristo Antokio
Lini Wakristo wamemwita Isa wa Qurani Mungu?

Huyo Allah, Mungu wa Qurani, hatambuliki kama ni Mungu kwa Wakristo. Sembuse huyo Isa


Kwa taarifa yako Wakristo hatutambui chochote cha kwenye Qurani.
Tunaona mafundisho ya Qurani yanawafaa Waislamu wenyewe.

Umechekesha sana kijana.
Wakristo wamwite Isa Mungu...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kumbuka kijana Nabii wa Waislamu ni Muhammadi peke yake na Allah ni Mungu wake.
Rejea Shahada yenu.

Ukristo umejitoshereza kijana hatuhitaji kujihusisha na maandiko au watu wa vitabu vingine.
 
Oneni mjinga huyu[emoji28][emoji28][emoji28].

Elimu tatizo ebu angalia unachekwa na wenzio
Mfumo wa karne unajua miaka inahesabiwa vipi?


kwa hiyo torati na zaburi hazikuwepo kabla ya kabla ya yesu na hii ni bible agano la kale
Swali linahusu BIBLIA... Wewe unazungumza kuhusi Torati na Zaburi.[emoji1787][emoji1787]

Torati na Zaburi ndio Biblia? Unajua hata BIBLIA ni nini kwanza?

Wakati Paulo akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA... Vilikuwepo vitabu, ila hakukuwa na kitu kilichokuwa compiled kinachoitwa BIBLIA.

Hiyo Biblia Paulo aliyobadilisha aliitoa wapi?
 
Swali linahusu BIBLIA... Wewe unazungumza kuhusi Torati na Zaburi.[emoji1787][emoji1787]

Torati na Zaburi ndio Biblia? Unajua hata BIBLIA ni nini kwanza?

Wakati Paulo akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA... Vilikuwepo vitabu, ila hakukuwa na kitu kilichokuwa compiled kinachoitwa BIBLIA.

Hiyo Biblia Paulo aliyobadilisha aliitoa wapi?
Screenshot_20230522-105709.png




Kama kingereza huji sema utafsiriwe usiwe mjinga😅😅
 
Back
Top Bottom