Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

Biblia inavyosema juu ya kuinuka kwa Uislam

View attachment 2631014



Kama kingereza huji sema utafsiriwe usiwe mjinga[emoji28][emoji28]
Hiyo picha haijibu swali.

Umesema wakati Paulo akiwepo Biblia Ilikuwepo.

BIBLIA imekuwa compiled karne ya 5 wakati ambapo Paulo alikuwa ameshakufa.
Compilation ya vitabu ndio imezaa kitu kinaitwa BIBLIA.

Sasa, Paulo aliwezaje kuikuta BIBLIA wakati yeye akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA?
 
Hiyo picha haijibu swali.

Umesema wakati Paulo akiwepo Biblia Ilikuwepo.

BIBLIA imekuwa compiled karne ya 5 wakati ambapo Paulo alikuwa ameshakufa.
Compilation ya vitabu ndio imezaa kitu kinaitwa BIBLIA.

Sasa, Paulo aliwezaje kuikuta BIBLIA wakati yeye akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA?
Nikimaanisha vitabu vya agano la kale kama torat na zaburi kama mnavyodai .

kwani unajua bible ni nn ? Maana naona unapigaa kelele tu😅😅.

Kama hakuikuta basi torat na zaburi sio vitabu sio miongoni mwa vitabu vya bible.

Yeye kaja na vitabu vyake vya uongo ndo akaita agano jipya .




Ule mjumuisho wa vitabu mbalimbali ndo maana vya nyuma kabla ya paulo viliitwa agano la kale na vya paulo ni agano jipya vyote ukivikusanya ndo unapata bible😅😅


Kama haujaelewa basi uende pale Dodoma kuna hospital ya vichaaa.

Bible sio kitabu kimoja kwa vile torat ya Musa ilikuwepo kabla ya yesu na paulo so ni miongoni kwa vitabu vya bible.


Nikuulize swali?
 
Hiyo picha haijibu swali.

Umesema wakati Paulo akiwepo Biblia Ilikuwepo.

BIBLIA imekuwa compiled karne ya 5 wakati ambapo Paulo alikuwa ameshakufa.
Compilation ya vitabu ndio imezaa kitu kinaitwa BIBLIA.

Sasa, Paulo aliwezaje kuikuta BIBLIA wakati yeye akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA?
Screenshot_20230522-111935.png



Mzee kasome mdogo watu unaonekan mpumbavu kabisa yaani hujui hata maana yake😅😅.

Nikikuambua kuhusu agano la kale na jipya hujui kitu pia.
 
Nikimaanisha vitabu vya agano la kale kama torat na zaburi kama mnavyodai .

kwani unajua bible ni nn ? Maana naona unapigaa kelele tu[emoji28][emoji28].

Kama hakuikuta basi torat na zaburi sio vitabu sio miongoni mwa vitabu vya bible.

Yeye kaja na vitabu vyake vya uongo ndo akaita agano jipya .




Ule mjumuisho wa vitabu mbalimbali ndo maana vya nyuma kabla ya paulo viliitwa agano la kale na vya paulo ni agano jipya vyote ukivikusanya ndo unapata bible[emoji28][emoji28]


Kama haujaelewa basi uende pale Dodoma kuna hospital ya vichaaa.

Bible sio kitabu kimoja kwa vile torat ya Musa ilikuwepo kabla ya yesu na paulo so ni miongoni kwa vitabu vya bible.


Nikuulize swali?
Sijakuuliza kuhusu Torati wala Zaburi wala agano la kale.... Usijitungue swali.

NIMEKUULIZA KUHUSU BIBLIA.

BIBLIA, BIBLIA,BIBLIA.

Nimekuuliza:
Paulo alibadilishaje BIBLIA wakati yeye akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA?
 
Sijakuuliza kuhusu Torati wala Zaburi wala agano la kale.... Usijitungue swali.

NIMEKUULIZA KUHUSU BIBLIA.

BIBLIA, BIBLIA,BIBLIA.

Nimekuuliza:
Paulo alibadilishaje BIBLIA wakati yeye akiwa hai hakukuwa na kitu kinachoitwa BIBLIA?
Bible ndo agano la kale na jipya kumbe hujui😅😅
 
Hizi tafsiri binafsi ni hatari sana. Kitabu cha ufunuo kila fundi mchundo anachambua kama NBC premier league.
 
Kwa hiyo Paulo akiwa hai COMPILATION ya Agano la Kale na Jipya ili kuunda BIBLIA ilikiwa tayari imeshafanyika?
Vimeandikwa au vimekusanywa ?😅😅Na maana torat na zaburi vilikuwepo na paulo ndo akaandika vyake ndo maaana ukifuatilia paulo alifia huko Italy ,Rome.

Na bible ya kwanza ilitokea Ethiopia ikiwa na vitabu vya zamani vingi .

wenzio wanagombana kwamba kuna vitabu vilipunguzwa au kuongezwa na mjdali wenu ...Wewe hata hujui😥
 
Vimeandikwa au vimekusanywa ?[emoji28][emoji28]Na maana torat na zaburi vilikuwepo na paulo ndo akaandika vyake ndo maaana ukifuatilia paulo alifia huko Italy ,Rome.

Na bible ya kwanza ilitokea Ethiopia ikiwa na vitabu vya zamani vingi .

wenzio wanagombana kwamba kuna vitabu vilipunguzwa au kuongezwa na mjdali wenu ...Wewe hata hujui[emoji26]
Jibu nilichokuuliza.

Paulo akiwa hai, COMPILATION ya Agano la Kale na Jipya ili kuunda BIBLIA ilikuwa tayari imeshafanyika?

Ilikuwa TAYARI imeshafanyika au ilikuwa BADO haijafanyika?
 
Agano la Kale ni nini?
Agano Jipya ni nini?
Sema kaka nifundishe surrender kwanza nikupe elimu we kondoo wa bwana😅😅 Maana hujui

Agano la kale vitabu 39
Agano jipya vitabu 27.

Unavijua vimetokea wapi?
 
Sema kaka nifundishe surrender kwanza nikupe elimu we kondoo wa bwana[emoji28][emoji28] Maana hujui

Agano la kale vitabu 39
Agano jipya vitabu 27.

Unavijua vimetokea wapi?
Agano la Kale ni vitabu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo na Agano jipya ni vitabu pia au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unajua hata AGANO ni nini ndugu mvaa kobazi?

Wakati Mungu anafanya AGANO la kwanza na wana wa Israel na aliposema atafanya AGANO JIPYA alikuwa anazungumzia Vitabu?

Jamani, msiingie kichwakichwa kwenye dini za watu na kujifanya wajuaji.
 
Agano la Kale ni vitabu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo na Agano jipya ni vitabu pia au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unajua hata AGANO ni nini ndugu mvaa kobazi?

Wakati Mungu anafanya AGANO la kwanza na wana wa Israel na aliposema atafanya AGANO JIPYA alikuwa anazungumzia Vitabu?

Jamani, msiingie kichwakichwa kwenye dini za watu na kujifanya wajuaji.
Hujui chochote maana ya maagano agano la kale ni sheria na mafundisho ambazo walipewa manabii kama mnavyodai kweny torat ( Mussa) kwa wana-israel.


Kwanza nataka kujua umekubali biblia ni agano la kale na jipya then nikufundishe.!

Ninapokuambia usome nina maana kwa vile hujui unabisha nn😅😅.

Maana hapo ushakubali agano la kale na jipya means Game ishaisha hujui kitu ,Nakuambia kamleta mchungaji wako wewe nakuonea tu..
 
Hujui chochote maana ya maagano agano la kale ni sheria na mafundisho ambazo walipewa manabii kama mnavyodai kweny torat ( Mussa) kwa wana-israel.


Kwanza nataka kujua umekubali biblia ni agano la kale na jipya then nikufundishe.!

Ninapokuambia usome nina maana kwa vile hujui unabisha nn[emoji28][emoji28].

Maana hapo ushakubali agano la kale na jipya means Game ishaisha hujui kitu ,Nakuambia kamleta mchungaji wako wewe nakuonea tu..
Mbona umebadilishia gia hewani?

Mwanzo umesema Agano la kale ni vitabu 39.
Sasa hivi umebadilisha unasema Agano la kale ni Sheria.

Naona imebidi Google ihusike FASTA ili kujiokoa.

TUSHIKE LIPI HAPA SASA?

Agano la Kale ni Vitabu 39 au ni Sheria?
 
Mbona umebadilishia gia hewani?

Mwanzo umesema Agano la kale ni vitabu 39.
Sasa hivi umebadilisha unasema Agano la kale ni Sheria.

Naona imebidi Google ihusike FASTA ili kujiokoa.

TUSHIKE LIPI HAPA SASA?

Agano la Kale ni Vitabu 39 au ni Sheria?
😅😅Sheria ambayo inajumuisha vitabu hivyo 39 huo ndo mtazamo wenu nyie kama hujui muulzie mchungaji wako.


Narudi tena, Dogo kaa chini usome maana huelewi 😅😅
 
[emoji28][emoji28]Sheria ambayo inajumuisha vitabu hivyo 39 huo ndo mtazamo wenu nyie kama hujui muulzie mchungaji wako.


Narudi tena, Dogo kaa chini usome maana huelewi [emoji28][emoji28]
Tushike JIBU LIPI SASA?

Agano la Kale ni SHERIA au ni VITABU 39?
 
Back
Top Bottom