Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unaweza.Swali ni muhimu kwa sababu ukijibu hilo ndio tutaweza kuelewa unachokiimanisha unaposema hautaki kuamini bali unataka kujua.
Unaweza kuamini kitu ambacho haukijui?
Watu wote wanaomuamini Mungu ambaye nikiwauliza maswali wanashindwa kuyajibu, wanamuamini Mungu ambaye hawamjui.
Wangemjua, wasingepata tabu kujibu maswali yanayomhusu.
Watu wote wanaosema wanamuamini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, wakati akili zao hazina uwezo wa kuujua uwezo wote ukoje, ujuzi wote ukoje wala upendo wote ukoje, wanamuamini Mungu ambaye hawamjui.
Ndiyo maana hawawezi kuthibitisha yupo.
Ndiyo maana hawawezi kuondoa contradiction iliyo katikadhana ya kuwepokwake.
Ndiyo maana kuamini si muhimu, kwa sababu unaweza kuamini usichokijua, ukasema kipo, wakati hakipo.
Ndiyo maana sisisitizi sana habari za kuamini.
Kwa sababu unaweza kuamini mavi yako ni Mungu.
Bila kujua uungu wa mavi yako unakuja vipi.
Wakati mavi yako si Mungu.
Kuaminikwamba mavi yako ni Mungu, wakati si Mungu, hakuyafanyi mavi yako yawe Mungu.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Hujathibitisha.