mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Funguka maradhi Yako Ili Upewe dawa muafaka dogo!mgen , MK254, imeloa ,
Halafu umeniaminisha kwamba wewe kwako Biblia ni Jibu, quran umeitupilia MBALI Asante👏👏👏
Huu ni Ushahidi Kwa koloani Haina msaada kwako!
👇👇
لِّكُلِّ أُمَّةٍ جَعَلْنَا مَنسَكًا هُمْ نَاسِكُوهُ ۖ فَلَا يُنَازِعُنَّكَ فِي الْأَمْرِ ۚ وَادْعُ إِلَىٰ رَبِّكَ ۖ إِنَّكَ لَعَلَىٰ هُدًى مُّسْتَقِيمٍ
[ AL -HAJJ - 67 ]
Kila umma tumewajaalia kawaida Yao ya ibada na sheria zao wanazo zishika. Basi wasizozane nawe katika jambo hili. Na waite watu kwendea kwa Mola wako Mlezi. Hakika wewe uko kwenye Uwongofu Ulio
Nyooka.
Sisi Wafuasi wa Yesu Tunasoma Agano Kongwe Ili kukumbuka Historia ya Wokovu Wetu! Na Si zaidi Wala pungufu ya Hapo!
Ila nakutahadharisha maadamu umo humu una Option Hizi!
1-Uretard!
2-Ukufuru
3-Uvae mkanda na kujilipua
Muda Utasema!