Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi,
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.
Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel
Ikumbukwe kuwa, Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.
==============================
Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.
This payment will be utilized to purchase tents.
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.
Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel
Ikumbukwe kuwa, Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.
==============================
Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.
This payment will be utilized to purchase tents.