Eeh, yaani hata wanaoonekana ni wakubwa wa dunia ni vituko tu !Tunaongelea fidia ya mqjanga hata wakazi wa Kinara walichukua pesa ndefu kupisha ujenzi kuliko hawa Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh, yaani hata wanaoonekana ni wakubwa wa dunia ni vituko tu !Tunaongelea fidia ya mqjanga hata wakazi wa Kinara walichukua pesa ndefu kupisha ujenzi kuliko hawa Marekani.
Anapewa package ya silaha ambazo hadi thamani yake inatajwa. Na kumbuka watengeneza hizo silaha ni viwanda ambavyo ni private so zinanunuliwa. Ndiyo maana utasikia congress imepitisha package ya silaha zenye thamani ya kiasi fulani.
Ni kawaida yao kutemea mate makanisa au wakristo... endeleeni kujidanganya wagalatia kutoka Kipumbwiko..
View: https://www.youtube.com/shorts/sUJrXNCfUrk
View: https://www.youtube.com/shorts/7uL555xWQeE
View: https://www.youtube.com/shorts/7TwEQX6zwUI
Bishana na hizo video kumbe huwajui jews...
Umeona wenzako hapo na msalaba wao, nao walijua wakifika Jerusalem watapokelewa kwa shangwe...
Sijaelewa comment na uliponiquote vinahusiana vipi mkuu?Upost na matukio yenu dhidi ya wakristu dunian kote
Ni dola mia saba sabini au umekosea kuandika mkuu?USD 770 kwa kila kichwa.
Mi kuna sehemu nimesema ni muislam, mi naonyesha tamaduni ya jews kutemea mate christians na makanisa...Upost na matukio yenu dhidi ya wakristu dunian kote
Kila mmoja analamba dola 770, ni aibu mkuu..Ni dola mia saba sabini au umekosea kuandika mkuu?
Hii hatari!Kila mmoja analamba dola 770, ni aibu mkuu..
China huwa inajali sana raia wake.Wananchi wanaona Israel inafanya genocide Gaza na US is supporting it with billions of dollars..
Wanasema moto sababu ni climate change, sasa watumie hizo pesa kufanya climate change protection measures..
Mara mia hayo mapesa wanawalipa hao murderous butchers huko middle east wawalipe hao firefighters ambao kiukweli kazi yao ni ngumu...
American tax money is being mismanaged....
Na ninaamini hili suala litaleta mzozo sana tena sana, na ndipo wakome...
Kwaiyo apewi pesa wajeda atawalipa nn kama apewi pesa !!!!Ukraine hapokei pesa, anapewa silaha
Bima ipi?Hao watalipwa na bima hiyo serikali imewafanyia suna tu. Israel wameuziwa silaha na Marekani na hawajapewa bure halafu wewe hiyo inakupa tabu gani wakati nchini mwako kunafanyika ufujaji mkubwa wa fedha za umma lakini wala huongelei. Mnafiki mkubwa.
Ni kawaida yao kutemea mate makanisa au wakristo... endeleeni kujidanganya wagalatia kutoka Kipumbwiko..
View: https://www.youtube.com/shorts/sUJrXNCfUrk
View: https://www.youtube.com/shorts/7uL555xWQeE
View: https://www.youtube.com/shorts/7TwEQX6zwUI
Bishana na hizo video kumbe huwajui jews...
Umeona wenzako hapo na msalaba wao, nao walijua wakifika Jerusalem watapokelewa kwa shangwe...
Wanaukumbi.
BREAKING:
Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.
This payment will be utilized to purchase tents.
===============
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.
Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel.
View: https://x.com/currentreport1/status/1879090007925022803?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.
Imagine China ilivyo na watu wengi...China huwa inajali sana raia wake.
Yakitokea maafa kama haya huwa serikali wanajenga nyumba zote kisha kila mwezi wanawakata asilimia fulani mpaka mtu ana maliza deni lake.
Na kama miundombinu ya kazi imeharibika wanaijenga upya kisha mwananchi atalipia taratibu mpaka deni liishe.
Wanadai makampuni mengi ya bima yalijitoa miezi michache iliyopita kabla ya janga kutokea.ni sawa mkuu. Jamaa wana bima za majengo hvyo waliopoteza magari na makazi watalipwa na bima zao. Wenzetu wameweka msingi wao kwa namna nzuri saana
Mmmh. Noma hiyo mara wanasema kuna dhihaka kafanyiwa mwenyezi Mungu kwenye huo mji.Wanadai makampuni mengi ya bima yalijitoa miezi michache iliyopita kabla ya janga kutokea.
Za tz unazielewa? Kabla ya kwenda mbali kwanza.Hii hatari!
Sera za Marekani huwa nashindwa kuzielewa kabisa!
Wanajali sana watu wa nje kuliko raia wao!
Ukweli ni kwamba watu wengi waliounguliwa na nyumba zao hawatakuja kuweza kujenga tena maeneo hayo na wengi ama wataishia kuwa homeless au watahamia sehemu nyingine kwasababu;Mmmh. Noma hiyo mara wanasema kuna dhihaka kafanyiwa mwenyezi Mungu kwenye huo mji.
Kazi kweli kweli kama wamefutiwa bima zao basi hapo shughuli kweli. Na kama ni eneo la risk bora kuhama ukaanzie kwengineUkweli ni kwamba watu wengi waliounguliwa na nyumba zao hawatakuja kuweza kujenga tena maeneo hayo na wengi ama wataishia kuwa homeless au watahamia sehemu nyingine kwasababu;
1. Wengi hawana insurance baada ya makampuni ya insurance kufuta mikataba katika hilo eneo kutokana na risk kubwa.
2. Wengi wanaoishi hayo maeneo sio mabilionea kama watu wanavyodai. Kuna watu wengi ambao walinunua hayo maeneo zamani wakati yakiwa bei rahisi na wameendelea kuishi hapo mpaka sasa na kurithisha watoto wao. Kwahiyo uwezo wa kujenga upya hawana.
Kwa izo dola 770 hapo naona wengi wataishia chini ya madaraja tu hakuna namna 🤔Kazi kweli kweli kama wamefutiwa bima zao basi hapo shughuli kweli. Na kama ni eneo la risk bora kuhama ukaanzie kwengine