Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California

Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California

Wanaukumbi.
BREAKING:

Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.

This payment will be utilized to purchase tents.
===============
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.

Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel.


View: https://x.com/currentreport1/status/1879090007925022803?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.
Vichaa sana hawa pesa za kuwapa wananchi zao hawana wanazo za kuwapa silaha Israel 🤣
 
Swali zuri, ila nchi yetu inafahamika jinsi ilivyo! Huwa haijali raia wake.
US inafursa nyingi za ajira kulinganisha na nchi karibu zote , hiyo ni zaidi ya kujali.
 
Hili janga limeivua nguo Marekani.

Kila kitu kina hasara na faida yake hii ndo hasara ya ubepari.
Uzi hauna wachangiaji wanapita kama kituo cha polisi, kwa sababu wengi humu ni pro US....
 
Wanaukumbi.
BREAKING:

Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.

This payment will be utilized to purchase tents.
===============
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.

Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel.


View: https://x.com/currentreport1/status/1879090007925022803?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.

Hii chuki dhidi ya Israel ni mwiba kwa wale mjukuu wa Ibrahim.
Mohamed ni mjukuu wa mwebrani, na hao Israel ni wajukuu wa huyo mwebrania,kwa nini unaumia?
 
Wayahudi ndio wenye federal reserve mkuu, siku ukija kujua mzayuni ndio anambeba amerika utajua kama ulikua hujui

Hizi propaganda huwa mnazitoa wapi?.
Kwahiyo waukraine ndio wana federal reserve pia?

Hivi unajua ukianzisha vita leo na Japan, USA lazima atakuja na atatumia hela nyingi sana, vipi Japan naye atakuwa anamiliki federal reserve ya USA?
 
Marekani asipoangalia China inaweza kuwa ya kwanza kiuchumi.
 
Ingekuwa china hizo nyumba zingejegwa ndani ya mwezi mmoja tu.
Kabisa, US kabakiza mdomo tu, ni mdomo mwanzo mwisho, vitendo ni '0'... US inatembelea legacy...
China hivi sasa ilipofika si kuifananisha na US, ukweli ni mchungu...
Hadi Trump anaanza kupiga nduru sijui "make america great again" blah! blah! blah! ujue tayari....

Cause hakuna kitu, tech, wala silaha ambayo ipo USA halafu China haina... Sasa hapo utajiita wewe ni mkubwa?

Juzi hapa dunia imeshuhudia Iran inatuma missiles kutoka Iran hadi Tel Aviv, makombora yana shabaha za kutisha yaani ni surgical precision...
Iran ina maelfu ya drones zinafika popote middle East, hizo tech US wakati wake aliitesa sana dunia, hivi sasa Houthis wana hypersonic wanaitandika Israel kila siku...

Dunia ilipofikia kiranja wa dunia atulie tu..
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Duh ipo kazi. Taifa lenye uchumi mkubwa zaidi kuliko yote duniani ndo Hilo linalipa Tsh m 1848000 . Je tungekuwa sisi?
 
Hii hatari!

Sera za Marekani huwa nashindwa kuzielewa kabisa!

Wanajali sana watu wa nje kuliko raia wao!
Wanaita ubepari ila mimi binafsi siilaumu sana serikali yoyote ya marekani ila naanza na kulaumu wananchi amini nakwambia wananchi wa marekani hawapendi kwa namna yoyote serikali inawajali jali sana mara moja wataanza kuita ni ukomunisti huo.

Leo hii serikali ya Marekani yoyote ile iseme sijui elimu bure, afya bure na homeless wajengewe nyumba na serikali watu wa kuanza kuanza kupinga ni wananchi wa marekani tena kwa maandamano makubwa watasema serikali inawaletea ukomunisti.

Moja ya kundi lililo athirika na propaganda za vita baridi kati ya ukomunisti na ubepari basi ni wamarekani ili pigwa propaganda mbaya mpaka leo jambo lolote lile litakalo onesha elements za ukomunisti litapigwa vita vikali.

Wamarekani ni kama hawataki serikali iwazoee na sio kwamba serikali yao haina pesa ila wananchi hawataki mazoea na serikali hata hilo $770 wamarekani wengi wala hawatojali.
 
Mateseko ni kwa wote, kikubwa ni muda! Tusizihaki ikunbukwe kwamba kila cheko linaguswa na hudhuni
 
China huwa inajali sana raia wake.

Yakitokea maafa kama haya huwa serikali wanajenga nyumba zote kisha kila mwezi wanawakata asilimia fulani mpaka mtu ana maliza deni lake.

Na kama miundombinu ya kazi imeharibika wanaijenga upya kisha mwananchi atalipia taratibu mpaka deni liishe.
China ni nchi yenye historia ya ukomunisti tofauti na mabepari kwa asilimia kubwa tetemeko tu hili la majuzi huko Tibet misaada ndani ya nusu saa tayari mipango yote ya namna uokozi utafanyika ikawa imepangwa na misaada kupitia dege lao la kijeshi Y20 likawa limekwisha fikisha

Sasa zinafungwa nyumba kama za makontena sio mahema ambayo wana lala sasa kwa muda wanaweka mambo sawa kumaliza uokozi wote na kupima athara kamili ndipo ujenzi wa nyumba za kudumu kwa watu wote utaanza haraka sana na hii sio mara ya kwanza wamekuwa wakifanya hivi kwa waathirika wa majanga yote miaka na miaka kwa kweli wanajitahidi sana kujali wananchi wao


View: https://youtu.be/ymOOW3tA-do?si=rS6UkzT-kK_QnIbv


View: https://youtube.com/shorts/TSsV8eqrd-w?si=rXdZIfzpyWOyO9aT


View: https://youtu.be/9ZNlEs35jsw?si=TlVYH20WwT0N4tvH


View: https://youtu.be/OYjV5LMAtts?si=rTIfMzaDrEdGnEcU


View: https://youtube.com/shorts/-i44wsw43fI?si=m73fb0ZYQhGTxbmj


View: https://youtu.be/Nr98f0WYb3I?si=q1ie0RnfS5lY6CZc


View: https://youtu.be/SGc3hZA8u9k?si=_asA4l5dHFPx2pP3


View: https://youtube.com/shorts/aGq4KrIqZAs?si=70fnWaA0WyFAJodV
 
Wanaita ubepari ila mimi binafsi siilaumu sana serikali yoyote ya marekani ila naanza na kulaumu wananchi amini nakwambia wananchi wa marekani hawapendi kwa namna yoyote serikali inawajali jali sana mara moja wataanza kuita ni ukomunisti huo.

Leo hii serikali ya Marekani yoyote ile iseme sijui elimu bure, afya bure na homeless wajengewe nyumba na serikali watu wa kuanza kuanza kupinga ni wananchi wa marekani tena kwa maandamano makubwa watasema serikali inawaletea ukomunisti.

Moja ya kundi lililo athirika na propaganda za vita baridi kati ya ukomunisti na ubepari basi ni wamarekani ili pigwa propaganda mbaya mpaka leo jambo lolote lile litakalo onesha elements za ukomunisti litapigwa vita vikali.

Wamarekani ni kama hawataki serikali iwazoee na sio kwamba serikali yao haina pesa ila wananchi hawataki mazoea na serikali hata hilo $770 wamarekani wengi wala hawatojali.
Haijalishi kwenye majanga serikali inatakiwa kuwapa msaada waathirika.
 
Kabisa, US kabakiza mdomo tu, ni mdomo mwanzo mwisho, vitendo ni '0'... US inatembelea legacy...
China hivi sasa ilipofika si kuifananisha na US, ukweli ni mchungu...
Hadi Trump anaanza kupiga nduru sijui "make america great again" blah! blah! blah! ujue tayari....

Cause hakuna kitu, tech, wala silaha ambayo ipo USA halafu China haina... Sasa hapo utajiita wewe ni mkubwa?

Juzi hapa dunia imeshuhudia Iran inatuma missiles kutoka Iran hadi Tel Aviv, makombora yana shabaha za kutisha yaani ni surgical precision...
Iran ina maelfu ya drones zinafika popote middle East, hizo tech US wakati wake aliitesa sana dunia, hivi sasa Houthis wana hypersonic wanaitandika Israel kila siku...

Dunia ilipofikia kiranja wa dunia atulie tu..
Watu bado wana ishi kwa kukalili siku wanashutuka watu watakuwa mbali.
 
Back
Top Bottom