Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California

Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California

Haijalishi kwenye majanga serikali inatakiwa kuwapa msaada waathirika.
Wao wamarekani ndivyo walivyo zoea serikali yao kutokuwakumbatia kumbatia ndio maana hawaoni hata tatizo kodi zao kutumika kunufaisha watu wa nje.

Marekani ina maelfu ya Homeless na wengine waathirika wakubwa wa madawa je wananchi wa marekani wameandamana mara ngapi kutaka serikali iwajengee Homeless nyumba waache kufa na baridi ?

Haya unayotaka wewe yafanywe na serikali ya Marekani ingekuwa China haiwajali wananchi wake ningekuelewa kutokana na namna nchi ya China ilivyo na serikali yake toka inaingia madarakani kwa mtindo wa kuenda kutetea peasants hivyo wanapaswa kuwajibika vile wawezavyo kwa wananchi wa China kwanza ndio kisha nje wasipofanya hivyo mapinduzi lazima yatokee wakati kwa marekani wamarekani wengi hawajalelewa serika iwa peti peti kwenye kila jambo wao wenywe hawajali hata serikali yao isipo wajengea nyumba.
 
China ni nchi yenye historia ya ukomunisti tofauti na mabepari kwa asilimia kubwa tetemeko tu hili la majuzi huko Tibet misaada ndani ya nusu saa tayari mipango yote ya namna uokozi utafanyika ikawa imepangwa na misaada kupitia dege lao la kijeshi Y20 likawa limekwisha fikisha

Sasa zinafungwa nyumba kama za makontena sio mahema ambayo wana lala sasa kwa muda wanaweka mambo sawa kumaliza uokozi wote na kupima athara kamili ndipo ujenzi wa nyumba za kudumu kwa watu wote utaanza haraka sana na hii sio mara ya kwanza wamekuwa wakifanya hivi kwa waathirika wa majanga yote miaka na miaka kwa kweli wanajitahidi sana kujali wananchi wao


View: https://youtu.be/ymOOW3tA-do?si=rS6UkzT-kK_QnIbv


View: https://youtube.com/shorts/TSsV8eqrd-w?si=rXdZIfzpyWOyO9aT


View: https://youtu.be/9ZNlEs35jsw?si=TlVYH20WwT0N4tvH


View: https://youtu.be/OYjV5LMAtts?si=rTIfMzaDrEdGnEcU


View: https://youtube.com/shorts/-i44wsw43fI?si=m73fb0ZYQhGTxbmj


View: https://youtu.be/Nr98f0WYb3I?si=q1ie0RnfS5lY6CZc


View: https://youtu.be/SGc3hZA8u9k?si=_asA4l5dHFPx2pP3


View: https://youtube.com/shorts/aGq4KrIqZAs?si=70fnWaA0WyFAJodV

China ipo poa sana aisee yaani hadi wananchi wake nawaonea wivu.
 
Marekani asipoangalia China inaweza kuwa ya kwanza kiuchumi.
Marekani kupitwa kiuchumi na China na India wala haitokuwq jambo la kushangaza kama mambo yataenda hivi hivi ni lazima itokee iwe marekani mwenyewe anataka au hataki.
 
Marekani kupitwa kiuchumi na China na India wala haitokuwq jambo la kushangaza kama mambo yataenda hivi hivi ni lazima itokee iwe marekani mwenyewe anataka au hataki.
Yeah,China akiendelea na kasi yake ya sasa anaweza kuwa Super power.
 
Wao wamarekani ndivyo walivyo zoea serikali yao kutokuwakumbatia kumbatia ndio maana hawaoni hata tatizo kodi zao kutumika kunufaisha watu wa nje.

Marekani ina maelfu ya Homeless na wengine waathirika wakubwa wa madawa je wananchi wa marekani wameandamana mara ngapi kutaka serikali iwajengee Homeless nyumba waache kufa na baridi ?

Haya unayotaka wewe yafanywe na serikali ya Marekani ingekuwa China haiwajali wananchi wake ningekuelewa kutokana na namna nchi ya China ilivyo na serikali yake toka inaingia madarakani kwa mtindo wa kuenda kutetea peasants hivyo wanapaswa kuwajibika vile wawezavyo kwa wananchi wa China kwanza ndio kisha nje wasipofanya hivyo mapinduzi lazima yatokee wakati kwa marekani wamarekani wengi hawajalelewa serika iwa peti peti kwenye kila jambo wao wenywe hawajali hata serikali yao isipo wajengea nyumba.
Wangekuwa hawajali wasinge kuwa wanalalamika ,sasa hivi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii imejaa malalamiko kila linapo ongelewa hili janga ,kwenye vyombo vya habari ndo usiseme wanalia na kulalamika jinsi serikali inavyo poteza pesa nyingi kugharamia vita badala ya raia wao.
 
China ipo poa sana aisee yaani hadi wananchi wake nawaonea wivu.
Wachina wanajali sana wananchi wao.

Serikali yao ina mapungufu yaje ila kwenye kujali wananchi wanajitahidi sana tena sana kuna baadhi ya mambo wanafanya serikali za nchi nchi haziwezi kujisumbua kufanya.
 
Wanaukumbi.
BREAKING:

Biden announces $770 one-time payments to victims of the California fires.

This payment will be utilized to purchase tents.
===============
Biden atangaza malipo ya mara moja ya $770 kwa waathiriwa wa moto huko California.

Malipo haya yatatumika kununua mahema. Yaani unaunguliwa nyumba unapewa dola 700 pesa ya iphone. Pesa zote wanapeleka Israel.


View: https://x.com/currentreport1/status/1879090007925022803?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Marekani ilitenga jumla ya dola bilioni 17.9 kwa msaada wa kijeshi kwa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2024, ambayo ina maana ya takriban $1,845 kwa kila mlowezi wa Israel, huku Biden akitangaza kuwa serikali itatoa $770 kwa kila mkazi aliyeathiriwa na moto wa msituni LA.


View attachment 3201530
Imagine mwenye hii nyumba amepoteza vingapi, halafu unampa dola 770..
Kiukweli hili suala kimchezo mchezo linakwenda badili siasa za USA, pesa za walipa kodi zinatumika kumwaga damu za watu, walipa kodi wakipata shida msaada hakuna.....
USA wakati huu imepigwa na kitu kizito aisee, ni aibu

Karma is B!+ch..
Isreal yeye ana enjoy na 3.8B kila mwaka na netanyahu anajisifu
 
Wangekuwa hawajali wasinge kuwa wanalalamika ,sasa hivi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii imejaa malalamiko kila linapo ongelewa hili janga ,kwenye vyombo vya habari ndo usiseme wanalia na kulalamika jinsi serikali inavyo poteza pesa nyingi kugharamia vita badala ya raia wao.
Mkuu iko hivi.
Wananchi wengi wa Marekani hawajishughulishi sana na mambo ya serikali wengi wao wana "mind their own business" . Na ingekuwa wanalalamika kuhusu hayo majanga wangekuwa tayari washaanza kuandamana lakini hizo kelele za mitandaoni ni za kawaida tu.
 
Wangekuwa hawajali wasinge kuwa wanalalamika ,sasa hivi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii imejaa malalamiko kila linapo ongelewa hili janga ,kwenye vyombo vya habari ndo usiseme wanalia na kulalamika jinsi serikali inavyo poteza pesa nyingi kugharamia vita badala ya raia wao.
Haah hiyo ndio demokrasia yao hayo malalamiko madogo madogo hayawezi kosekana ila leo serikali yao iseme haitatuma pesa yoyote ile Israel wala kumsaidia Israel kwa namna yoyote ile ndipo utaona uhovyo wa hawa unaoita walalamikaji namna wanavyo ijali Israel kuliko kujijali wenyewe.

Wamarekani wengi ni wajinga wajinga sana wapo radhi wapinge huduma bure za afya,elimu,makazi kwa maandamano makubwa kwa kusema huo ni ukomunisti unaingilia uhuru wao
 
Bora hata huko wanapewa pesa za tents. Ingetokea huku Chalamila angetokea na kuongea shiti kuwa moto hujaanzishwa na serikali.

Chura kiziwi angetema shiti kuwa kifo ni kifo tu.
 
ni sawa mkuu. Jamaa wana bima za majengo hvyo waliopoteza magari na makazi watalipwa na bima zao. Wenzetu wameweka msingi wao kwa namna nzuri saana
Nyie wabongo ni wajuajj saana hamna bima itakyogharamikia hilo janga kwa pamoja ukilewa msingi wa bima hutacomment hapo .
 
Hizi propaganda huwa mnazitoa wapi?.
Kwahiyo waukraine ndio wana federal reserve pia?

Hivi unajua ukianzisha vita leo na Japan, USA lazima atakuja na atatumia hela nyingi sana, vipi Japan naye atakuwa anamiliki federal reserve ya USA?
Unavyoona ukrain anampelekapeleka marekani? Pale ukraine anapigana vita vya marekani

Marekani ana maslahi gan na hamas?

Siku utapokubali kwamba uchumi wa marekani umeshikiliwa na wayahudi utamuelewa kanye west
 
Bora hata huko wanapewa pesa za tents. Ingetokea huku Chalamila angetokea na kuongea shiti kuwa moto hujaanzishwa na serikali.

Chura kiziwi angetema shiti kuwa kifo ni kifo tu.
Hivi like sakata la Hanang' liliishia wapi?
 
Huna akili, myahudi kila siku anaomba misaada America, au huwa anaigiza!?dini zinawafanya mfikiri kwa kutumia miguu
Mmi mayahudi siwakubali ila lazima ukabali yananguvu kupitiliza kiufupi yameshika systems za dunia ukijua hilo utabadilisha mbinu za kupambana nao usifikili Saudia au UAE au Qatar wanapenda wanachofanyiwa ndugu zao ni vile tu wana elimu dunia wanajua lile ni dubwana kubwa huez kulipiga kwa kukurupuka
 
Mkuu iko hivi.
Wananchi wengi wa Marekani hawajishughulishi sana na mambo ya serikali wengi wao wana "mind their own business" . Na ingekuwa wanalalamika kuhusu hayo majanga wangekuwa tayari washaanza kuandamana lakini hizo kelele za mitandaoni ni za kawaida tu.
Ww ndo unaongea mambo ya mitandaoni lakini kiuhalisia wamarekani wengi wanalalamika juu ya jambo hili.
Hivi unajua kati ya kitu kilicho sababisha Trump kushinda ni pamoja na raia wengi wa Marekani kukasilishwa na serikali ya Democrat kutumia pesa nyingi kwenye vita ya Ukraine?
Alafu kingine wamarekani sio waumini sana wa kuandamana kwaajili ya kushinikiza jambo fulani kwa sababu wana jua hata wakiandamana hakuna kitakacho badilika.
 
Haah hiyo ndio demokrasia yao hayo malalamiko madogo madogo hayawezi kosekana ila leo serikali yao iseme haitatuma pesa yoyote ile Israel wala kumsaidia Israel kwa namna yoyote ile ndipo utaona uhovyo wa hawa unaoita walalamikaji namna wanavyo ijali Israel kuliko kujijali wenyewe.

Wamarekani wengi ni wajinga wajinga sana wapo radhi wapinge huduma bure za afya,elimu,makazi kwa maandamano makubwa kwa kusema huo ni ukomunisti unaingilia uhuru wao
Mkuu kinacho endelea kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari huwezi kukiita eti ni malalamiko madogo.
Ebu tupe mfano mmoja wa hicho unacho kisema mkuu ,ya kwamba serikali ilisha taka kuwajali raia wake masikini watu wakaandamana kupinga , tuambie ni lini kitu kama hicho kilishawahi kutokea huko Marekani.
Alafu tunacho kiongelea hapa sio kutoa huduma za kijamii bure maana hata china unayo sema inawajali raia wake haitoi hizo huduma bure.
Hapa kinacho ongelewa ni udhaifu ulio oneshwa na serikali yao katika kushughulikia majanga na kutoa msaada wa haraka kwa wahusika kwa sababu imewekeza pesa ndogo sana kwenye eneo hilo.

Hata Trump mwenyewe ali lalamika kuwa inakuwaje idara ya zima moto haina mahitaji ya kutosha ya kukabiliana na moto alafu wakati huo serikali inatuma mabilion ya$ kugharamia vita vya nje.
 
Back
Top Bottom