Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Baada ya raisi Putin wa Urusi kutangaza rasmi kuyameza majimbo 4 ya Ukraine hapo jana,rais Joe Biden amesema Marekani haitishwi na maneno ovyo ya Urusi.
Maneno hayo anayokusudia Biden yanaweza kuwa siku mbili kabla ya tangazo la matokeo ya kura za maoni aliyosema Putin kuwa Urusi ina silaha za aina zote za maangamizi na inaweza ikazitumia.
Akaongeza kwa kusema kuwa hatanii kwa hilo. Na zaidi ya hayo Putina akakumbusha kuwa Marekani ndio ya mwanzo kutumiza silaha za nyuklia kumaliza vita ya pila ya dunia ilipoipiganazo Japan.
Kama kwamba na yeye anataka kuzitumia kumaliza vita ya Ukraine.
Mtu (Putin) anayesema hayo na kweli vitu hivyo anavyo si wa kumchezea wala kumkasirisha zaidi.
Vitisho vyake kama hivyo na dharau raisi Biden afanye kwa mataifa ya dunia ya tatu sio kwa mbabe mwenzake.
Maneno hayo anayokusudia Biden yanaweza kuwa siku mbili kabla ya tangazo la matokeo ya kura za maoni aliyosema Putin kuwa Urusi ina silaha za aina zote za maangamizi na inaweza ikazitumia.
Akaongeza kwa kusema kuwa hatanii kwa hilo. Na zaidi ya hayo Putina akakumbusha kuwa Marekani ndio ya mwanzo kutumiza silaha za nyuklia kumaliza vita ya pila ya dunia ilipoipiganazo Japan.
Kama kwamba na yeye anataka kuzitumia kumaliza vita ya Ukraine.
Mtu (Putin) anayesema hayo na kweli vitu hivyo anavyo si wa kumchezea wala kumkasirisha zaidi.
Vitisho vyake kama hivyo na dharau raisi Biden afanye kwa mataifa ya dunia ya tatu sio kwa mbabe mwenzake.