Biden awache kumtusi Putin. Hatutaki vita ya tatu ya dunia

Biden awache kumtusi Putin. Hatutaki vita ya tatu ya dunia

You've quoted me out of the context, where did I say that patriot air defence system is a nuclear deterrent, please revisit my comments to understand what I've spoken about but above all you need to understand that there is no winner [emoji471] when it comes to nuclear war.
US asingemchokonoa Russia kiasi hiki, kuna kitu hapa.
 
Kumbe unajua hakuna mshindi kwanini huoni shida mwenzako akitumia kabla yako.Itakuwa umepata hasara na yeye amepata hasara.Na unalosema pia halina mashiko. Fikiria hiyo nyuklia ikitua Newyork au washington mwanzo.Nani atakayeinuka kwenda kubonyeza kitufu cha kufyatua nyuklia yake.Hivyo uwezekano wa anayetumia mwanzo kuwa mshindi au atakayetia hasara kubwa upo.Kumbuka wakati Marekani alipondosha nyuklia Hiroshima na Nagasaki.Wajapani wote waliloa hawakujua nani aseme nini.Ikaonekana hakuna haja wala nguvu tena ya kuendelea na vita.
We mpuuzi Japan alikuwa na nuclear weapons wakati anapigwa ?
 
Wewe nenda ukaswali hakuna unachofahamu kwenye mambo haya kwa sababu hujui kwamba ufyatuaji wa nyuklia kati ya Russia na Marekani ina reciprocal effect ya kwanza ikirushwa nyingine hujibu automatically.
Huyo mpuuz Putin anaropoka ropoka Ka Malaya WA kimboka aliyelewa mataputapu ya ofa ,
Ni kwamba hajui kwamba kuna assured mutual destruction pact Kati ya USA na Russia ? Au ndio kujitoa akili , yaani dunia ya sasa ndio ya kutshia nuclear ,pumbav
Nuclear ambayo failed states kama India ,Pakistan ,North Korea wanazo ?
Kweli bangi anazovuta huyo mwehu ni mbaya Sana
 
Nimesoma bandiko zima na nimegundua Ami huna knowledge hata ndogo yakuhusu nuclear warfares tukiachana hata jinsi inavyoweza kuwa utilised na kuzalisha nitashati inayoweza hata kutumika kwa matumizi ya kawaida kama viwandani.
Hongera ndugu Imeloa kwa kutoa somo la nuclear reciprocal effects na ndugu mwingine jina sijalikalili kwa kugusia ASSURED MUTUAL DESTRUCTION PACT kati ya USA & RUSSIA.
Jamani vitu vingine si ushabiki tu bali inabidi tusome na tuchimbue haswa na si kudandia tu kisa mahaba.
 
Russia hana ubavu wa kupambana na Marekani na hili hata yeye anakiri na ndio maana yeye kila saa akili inawaza nyuklia tu. Hovyo sana.

Hapo ndipo niwashangaapo!!! Wakale walisema vita haina macho - sasa hii dhana ya kusema Urusi inategemea sana nguvu zake za vita kutokana na umiliki wake wa silaha za thermonuclear kwa wingi Duniani, sasa swali: Kwani ni dhambi kumiliki silaha nyingi za maagamizi ya halahiki? Taifa gani Duniani lilo wahi kutumia mabom ya atomic/nuclear bila sababu yoyote ya msingi zaidi ya kujionyesha wao ni zaidi - wakaangamizi karibu nusu million ya innocent Japanese,madhara ya fallout na mionzi bado yanaendelea kutesa vizazi na vizazi, mpaka sasa ni karibu miaka 80 imekwisha pita lakini bado raia wanateseka kwa kuendelea kuzaa watoto mutant na wengine wenye genetic diffects chungu mzima.

Bottom line is:Taifa lolote linalo jitambua lini haki ya kutumia silaha zozote walizo nazo ili kulinda Taifa lao kikamilifu - kwani kuna dhambi gani kujihami - unafikiri Urusi hisingekuwa na formidable thermonuclear missiles and glide vehicles, je, NATO specifically the USA wangefanyaje??
 
Russia hana nguvu ya anga, pale Ukraine Russia ametepeta saana. Sio ndege wala sio radar zilizoleta ubora kwake. Alifanikiwa kwa makombora sababu Ukraine hakuwa na Air Defence Systems nzuri.
Mnasahau kuwa Russia hayupo vitani bali anafanya Operation ya kijeshi nchini Ukraine operation ambayo mm binafsi naona imefanikiwa kwani kajitwalia majimbo manne si haba
 
Hapo ndipo niwashangaapo!!! Wakale walisema vita haina macho - sasa hii dhana ya kusema Urusi inategemea sana nguvu zake za vita kutokana na umiliki wake wa silaha za thermonuclear kwa wingi Duniani, sasa swali: Kwani ni dhambi kumiliki silaha nyingi za maagamizi ya halahiki? Taifa gani Duniani lilo wahi kutumia mabom ya atomic/nuclear bila sababu yoyote ya msingi zaidi ya kujionyesha wao ni zaidi - wakaangamizi karibu nusu million ya innocent Japanese,madhara ya fallout na mionzi bado yanaendelea kutesa vizazi na vizazi, mpaka sasa ni karibu miaka 80 imekwisha pita lakini bado raia wanateseka kwa kuendelea kuzaa watoto mutant na wengine wenye genetic diffects chungu mzima.

Bottom line is:Taifa lolote linalo jitambua lini haki ya kutumia silaha zozote walizo nazo ili kulinda Taifa lao kikamilifu - kwani kuna dhambi gani kujihami - unafikiri Urusi hisingekuwa na formidable thermonuclear missiles and glide vehicles, je, NATO specifically the USA wangefanyaje??
Kuna kauli zinatolewa katika vita hivi zinashangaza sana.Na kuna washirika wa NATO wanatia aibu. Mfano wakibanwa na njaa mataifa ya Ulaya wanalaumu kwa kusema muangalie Putin anatumia chakula kama silaha ya vita.Na gesi ikiadimika pia wanamlaumu na kumzomea Putin. ..Huyoo anatumia gesi kama silaha ya vita.Hizi zote ni silaha na asingekuwa Putin ni mtu wa huruma basi hapa iliplofikia angezitumia kikamilifu ili asiingie kwenye historia kama raisi muoga au aliyeshindwa.Wao NATO wana mambo mangapi wanayafanya ili waoneshe kuwa wao ni wababe zaidi.
Kwa maana hiyo silaha za nyuklia ni mbaya lakini siku akizitumia dhidi ya NATO itabidi wajilaumu wenyewe.Siku hiyo hatuiombi ifike ijapokuwa ikifika itashangaza sana kusikia vikao vya UN kutengeneza tamko la kuilani Urusi kwa kutumia silaha zake.
 
Zimemshinda nchi nyingi tu, na hawezi kuleta vita ya dunia, aje kuileta huyo mwenye akili za kizamani za akina Napoleone, kuvamia nchi zingine na kumega ardhi zao! Mambo ya kizamani sana.
Upo kati na kati.Umeuona ukweli wa mambo.Urusi akishindwa haitatangaza ushindi wa Marekani.Sisi dunia ya tatu tutakuwa ndio washindi.Tutakuwa tunajiamini zaidi kuliko sasa.Hatutolazimika kumsikiliza yoyote au kutii amri za yeyote yule.
 
Upo kati na kati.Umeuona ukweli wa mambo.Urusi akishindwa haitatangaza ushindi wa Marekani.Sisi dunia ya tatu tutakuwa ndio washindi.Tutakuwa tunajiamini zaidi kuliko sasa.Hatutolazimika kumsikiliza yoyote au kutii amri za yeyote yule.
Inawezekana una pointi!
 
Kumbe unajua hakuna mshindi kwanini huoni shida mwenzako akitumia kabla yako.Itakuwa umepata hasara na yeye amepata hasara.Na unalosema pia halina mashiko. Fikiria hiyo nyuklia ikitua Newyork au washington mwanzo.Nani atakayeinuka kwenda kubonyeza kitufu cha kufyatua nyuklia yake.Hivyo uwezekano wa anayetumia mwanzo kuwa mshindi au atakayetia hasara kubwa upo.Kumbuka wakati Marekani alipondosha nyuklia Hiroshima na Nagasaki.Wajapani wote waliloa hawakujua nani aseme nini.Ikaonekana hakuna haja wala nguvu tena ya kuendelea na vita.
USA sio Urusi kuwa nguv za kijesh zimeegemea Moscow
 
Wala tusishangae, mara ngapi tumemuona Biden live ikitoa mkono kusalimia watu ambao hawapo (hewa), hakumbuki jana alisema nini!! Leo hii binadamu mwenye mapungufu ya kuchambanua mambo kwa kina, anakabidhiwa briefcase yenye CODE ya kufyatulia ICBM zenye nuclear payloads!!
mchoma mahind wa ikwirir akinzungunzia mchangia bajeti wa nchi yake
 
Usione marekan anatishia tu....urusi ana nguvu kwl upande wa vita ya anga ....kutumia nyuklia hashindwi japo ni ubinadam tu kwasababu nyuklia ni hatare Sana
ubinadamu ndo kuivamia Ukraine?
 
Sijui unamaanisha nini mkuu, hisipokuwa ninacho kijua mimi ni kwamba taifa pekee lenye mfumo wa DEADMAN'S HAND ni Urusi - kazi ya mfumo huo ni kwamba in case taifa la Urusi linapigwa ghafla/shitukizwa na missiles/mabom ya nuclear Warusi wote wakafa/angamia pamoja na infrastructures zao zote mfumo huo umewekewa sensors/transducers za kutambua/baini kwamba taifa la Urusi limeshambuliwa kwa silaha za nuclear hivyo mfumo huo una uwezo mkubwa wa kufyatua missiles zilizo hifadhiwa kwenye silos na submarine kwenda kushambulia Amerika hata kama Warusi wote wamekufa, mfumo huo unajifyatua automatically, hicho ndicho nakijua mimi.
Kuna kitu wanaita Mutual Assured Destruction (MAD) wote Urusi na Marekani wanazo hizo system, yetote atakayeanza itajifyatua na kwenda kuangamiza zilikotoka hizo silaha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom