1. Amri ya kwanza kusimama vita:
Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!
Majibu: Bandari ya Ashdod ikafunguka, na aliyeapa kususa mazungumzo akarejea mezani.
2. Amri ya pili Hii hapa, "Toka Gaza!"
Majibu: tayari anatoka Gaza akidai kurudi si mbali?!
3. Halafu misukule ya Buza inasema pumbaza wajinga?! Basi wajinga hao ni ninyi!