Biden: Urusi haitashinda Ukraine

Hapa Niko nimekaa pale nasikilizia mashambuliza ya maneno kutoka kwa niga from west and east
 
Wewe umejuaje masaa 24 yupo kwenye social media kama nawewe hushindi huko?

Unamwambia atafute kazi ya kufanya unajuaje kama kazi yake ndo hapa kwenye social media?

We kima ni mpumbavu na mtu wa hovyo sana.
Unajiona umeongea point kumbe trash tu.

Ungeuliza nimejuaje ningekujibu lkn kwa kuwa ushajitengenezea majibu basi ishi na hayo majibu.

Ngoja niku-qoute mara ya mwisho af ni-press ignore button sababu naona unatafuta tu ligi na mimi.
 
Unajiona umeongea point kumbe trash tu.

Ungeuliza nimejuaje ningekujibu lkn kwa kuwa ushajitengenezea mahibu basi ishi na hayo majibu.

Ngoja niku-qoute mara ya mwisho af ni-press ignore button sababu naona unatafuta tu ligi na mimi.
Nitafute ligi na imbecile kama wewe?

Huwezi mjua mtu anaekesha online 24hrs unless nawewe uwe huko...

Umeulizwa pale juu we mvaa kobazi vipi ungekua wewe ni Ukraine umevamiwa na Urusi ungechukua hatua gani?

Au chukulia mnavyobong'oaga huko halafu mtu wa nyuma akunuse ninihii kimakusudi utamwambia asante?
 
Huu upuuzi na zaidi ulikuwa unaandikwa sana March mwaka jana na Pro-Russia wakati huo uvamizi umechachamaa, inashangaza wewe bado umebaki kwenye hiko chungu.
 
Sijakuuliza unashabikia upande gani wa vita, nimekuuliza kama wewe ni Zelenskyy unaongoza Ukraine na nchi yako imevamiwa ungefanya nini??

Halafu Elon Musk sio kiongozi wala hana ujuzi wowote wa masuala ya vita, huyo ni mfanyabiashara tajiri tu anayependa kuposti memes huko twitter, inashangaza kumtumia yeye kama rejea ya uongozi.
 
Unaupiga mwingi saaana mkuu
 
Yeye sio zelensky.Na hawezi kuwa zelensky.
 
Wewe umechoka akili, unafikiri hiyo Russia tu ndio ina hiyo nyuklia halafu kwa akili zako fupi unafikiri hiyo nyuklia inaifahamu Russia hivyo haiwezi ikawadhuru.

Small mind will always remain a small mind.
 
Duh mbongo Katika ubora wako, unaijua USA kuliko Mmarekani anayeishi ndani ya USA.

Kwa uchambuzi wako juu hapo, kana kwamba vita inapigwa ndani ya ardhi ya USA, acha propaganda uchwara kijana.

USA ndo wanaonufaika na hii vita, unaongea kama mtoto mdogo acha mahaba ok
 
Vipi kama ungejua unavamiwa kwa sababu za uonevu tu kama baunsa Scorpion aliyekuwa anatoboa macho watu? Ungefanyaje??
Hii ya Scorpion kumtoboa jamaa macho aliikana inasemekana yupo muhuni aliyefanya hilo tukio na sio Scorpion,na bahati mbaya alishafariki.
 
Nimesema sana kwamba super power wa mchongo nimeingia club Yao moja kubwa wanapiga music za USA why

Video chini 👇🏾
 

Attachments

  • IMG_1117.MOV
    22.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…