Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hapa Niko nimekaa pale nasikilizia mashambuliza ya maneno kutoka kwa niga from west and east
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiona umeongea point kumbe trash tu.Wewe umejuaje masaa 24 yupo kwenye social media kama nawewe hushindi huko?
Unamwambia atafute kazi ya kufanya unajuaje kama kazi yake ndo hapa kwenye social media?
We kima ni mpumbavu na mtu wa hovyo sana.
Nitafute ligi na imbecile kama wewe?Unajiona umeongea point kumbe trash tu.
Ungeuliza nimejuaje ningekujibu lkn kwa kuwa ushajitengenezea mahibu basi ishi na hayo majibu.
Ngoja niku-qoute mara ya mwisho af ni-press ignore button sababu naona unatafuta tu ligi na mimi.
Kwanza ningejiuliza navamiwa kwa sababu gani na kuzitafutia ufumbuzi. Maana ubavu wa kupigana na baunsa sinaUlitaka Ukraine wafanye nini?
Kama wewe ungekuwa katika nafasi ya Zelenskyy ungefanya nini nchi yako inapovamiwa?
Em ngoja nikucheke kwanza.
Natrade markets fulltime, SPY(stock index ya makampuni makubwa US) ilianza vzr mwaka huu baada ya kupoteza sana mwaka jana lkn wiki hii ni loss tu zinatembea.
Credit cards balance US zimepaa watu wanatumia credit kupitiliza.
Kampuni zote kubwa za US zinafukuza kuanzia 10% hadi 20% ya wafanyakazi wakiongoza na makampuni makubwa kama Google, Meta(facebook), Stripe, Paypal etc....
US federal reserve chini ya Powell imeongeza Interest rate na inategemewa kuendelea kuongeza so mikopo imekua expensive makampuni hayawezi kurisk kukopa tena so yanapunguza cost of production.
Numbers zinasema US inaenda kudefault kwenye Bonds zake japo officials wanapinga hivo, lkn history na numbers zinaonesha uwezekana mkubwa wa kudefault.
Inafikia hatua hadi wanauchumi wakubwa kama Ray Dalio anakwambja US inakuja kuzidiwa na China in 10 years
Kama huna facts usi-argue na mm khs hio topic nenda MMU.
Mie sishabikii upande wowote na nimesema toka kwenye comment yangu ya mwanzo, so hilo swali umeuliza sehemu isio sahihi.
Kinachonishangaza ni viongozi wakubwa na nchi mbalimbali kuendelea kukoleza moto kwenye hii vita kwa kuwasupport kivita pande zote mbili bila kufikiria namna ya kutafuta suluhisho. Waliogundua hilo ni kosa wameanza kujitoa na ndo maana nikatolea mfano wa elon musk kudisable access ya starlink kwa jeshi la ukraine
Kwanza ningejiuliza navamiwa kwa sababu gani na kuzitafutia ufumbuzi. Maana ubavu wa kupigana na baunsa sina
Unaupiga mwingi saaana mkuuNitafute ligi na imbecile kama wewe?
Huwezi mjua mtu anaekesha online 24hrs unless nawewe uwe huko...
Umeulizwa pale juu we mvaa kobazi vipi ungekua wewe ni Ukraine umevamiwa na Urusi ungechukua hatua gani?
Au chukulia mnavyobong'oaga huko halafu mtu wa nyuma akunuse ninihii kimakusudi utamwambia asante?
Yeye sio zelensky.Na hawezi kuwa zelensky.Sijakuuliza unashabikia upande gani wa vita, nimekuuliza kama wewe ni Zelenskyy unaongoza Ukraine na nchi yako imevamiwa ungefanya nini??
Halafu Elon Musk sio kiongozi wala hana ujuzi wowote wa masuala ya vita, huyo ni mfanyabiashara tajiri tu anayependa kuposti memes huko twitter, inashangaza kumtumia yeye kama rejea ya uongozi.
Wewe umechoka akili, unafikiri hiyo Russia tu ndio ina hiyo nyuklia halafu kwa akili zako fupi unafikiri hiyo nyuklia inaifahamu Russia hivyo haiwezi ikawadhuru.Elon Musk ana maono na akili sana, aliwaondolea Ukraine huduma ya Starlink sababu wanapewa kiburi cha kijinga ambacho kinaweza sababisha vita ya tatu ya dunia. Kwa nini wasitafute solution wakomalie kukoleza moto?
Mrusi akichoka atatumia nyuklia kumaliza kazi mapema, ni mpuuzi tu anaechukua side kwenye hii vita sababu huwezi chagua between 2 evils. Ikitokea ww3 wa kulaumiwa ni mashabiki na supporters wote wa pande zote Russia na Ukraine.
Mwaka mbovu, USD iko juu, stock markets zinayumba yumba lkn bado wanataka kuendeleza upuuzi wao, worthless bastards kabisa.
Duh mbongo Katika ubora wako, unaijua USA kuliko Mmarekani anayeishi ndani ya USA.Em ngoja nikucheke kwanza.
Natrade markets fulltime, SPY(stock index ya makampuni makubwa US) ilianza vzr mwaka huu baada ya kupoteza sana mwaka jana lkn wiki hii ni loss tu zinatembea.
Credit cards balance US zimepaa watu wanatumia credit kupitiliza.
Kampuni zote kubwa za US zinafukuza kuanzia 10% hadi 20% ya wafanyakazi wakiongoza na makampuni makubwa kama Google, Meta(facebook), Stripe, Paypal etc....
US federal reserve chini ya Powell imeongeza Interest rate na inategemewa kuendelea kuongeza so mikopo imekua expensive makampuni hayawezi kurisk kukopa tena so yanapunguza cost of production.
Numbers zinasema US inaenda kudefault kwenye Bonds zake japo officials wanapinga hivo, lkn history na numbers zinaonesha uwezekana mkubwa wa kudefault.
Inafikia hatua hadi wanauchumi wakubwa kama Ray Dalio anakwambja US inakuja kuzidiwa na China in 10 years
Kama huna facts usi-argue na mm khs hio topic nenda MMU.
Hii ya Scorpion kumtoboa jamaa macho aliikana inasemekana yupo muhuni aliyefanya hilo tukio na sio Scorpion,na bahati mbaya alishafariki.Vipi kama ungejua unavamiwa kwa sababu za uonevu tu kama baunsa Scorpion aliyekuwa anatoboa macho watu? Ungefanyaje??
Wagina hawanaga tabia ya kujisalimisha.Kila mtu ana uhuru wa maoni. Hakuna tatizo wacha Wagner waendelee kula vichwa.
Bangi sio tumbakuNimesema sana kwamba super power wa mchongo nimeingia club Yao moja kubwa wanapiga music za USA why
Video chini [emoji1484]
Kawadanganye washamba wenzioNimesema sana kwamba super power wa mchongo nimeingia club Yao moja kubwa wanapiga music za USA why
Video chini [emoji1484]