Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

Bei ya sasa ya soda kampuni ya coca cola ni tsh 11800 wote tunajuwa soda crate moja inachupa 24 kwa kuuza sh500@1 maana yake ni kwamba ni tsh 12000/= kwa kuangalia bei hiyo hapo hamna faida yoyote maana chukulia gharama ya usafiri ziweke pia kwenye fridge umeme n.k. kwa kweli hali ya maisha kwa sasa inazidi kuwa ngumu na serikali imeshatangaza vitu vinapanda bei hali halisi ndoo hiyo ndugu zangu pokeeni bei mpya kabisa kutoka kampuni hyo.
 
Bei ya sasa ya soda kampuni ya coca cola ni tsh 11800 wote tunajuwa soda crate moja inachupa 24 kwa kuuza sh500@1 maana yake ni kwamba ni tsh 12000/= kwa kuangalia bei hiyo hapo hamna faida yoyote maana chukulia gharama ya usafiri ziweke pia kwenye fridge umeme n.k. kwa kweli hali ya maisha kwa sasa inazidi kuwa ngumu na serikali imeshatangaza vitu vinapanda bei hali halisi ndoo hiyo ndugu zangu pokeeni bei mpya kabisa kutoka kampuni hyo.View attachment 2192631
Soda zote 600 saivi

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Subiri kwanza tunapambana na Jpm maana mambo hayo viongozi hayawahusu.....sukuma gang wajinga sana kwa nn waliwaungia umeme kwa 27000 na kwa nn soda ilikua 500 walijenga miundo mbinu kibao na bado leo wanasemwa ni wezi wazandiki ....na bado shule mnasoma bure bado huko nako mtaguswa tu maana watakuja na ngonjera za kua kusomesha mtoto bure ni mjinga pekee anaweza fanya km walivo fanya kwenye umeme...ndo no tutaanza kusisoma taaaratibu
 
Subiri kwanza tunapambana na Jpm maana mambo hayo viongozi hayawahusu.....sukuma gang wajinga sana kwa nn waliwaungia umeme kwa 27000 na kwa nn soda ilikua 500 walijenga miundo mbinu kibao na bado leo wanasemwa ni wezi wazandiki ....na bado shule mnasoma bure bado huko nako mtaguswa tu maana watakuja na ngonjera za kua kusomesha mtoto bure ni mjinga pekee anaweza fanya km walivo fanya kwenye umeme...ndo no tutaanza kusisoma taaaratibu
MAYANGA CONSTRUCTION CO. Inaendeleaje?
 
Soda Tsh 600 badala ya 500

Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500

Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=

Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=

Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.

Ahsante!
Hii vita ya Urusi na Ukrane ita leta mambo mengi sana.
Hata Voda wamepandisha bundles. Nao wata sema ni vita..
 
Soda Tsh 600 badala ya 500

Maji ya Hill/Uhai 600 badala ya 500

Mafuta alizeti lita 5, 39,000/= badala ya 22,000/=

Nondo milimita 10, 20,000/= badala ya 12,500/=

Alizeti ya Singida inaathiriwa vipi na vita ya Ukraine? Mafuta ya Arizeti yapo kwenye magodown ya wahindi wanabana ili wacheze na bei. Tanzania hatuna uhaba wa mafuta.

Ahsante!
Hapa ume nena,
Tatizo kubwa la Tanzania, ni kwamba watawala ndio wamiliki wakuu wa hizi biashara. Hawa Wahindi/ Waarabu wao wana wekwa kama maboya tuu. Wana siasa ndio wamiliki. Yaani kama mafuta ya kula wenye viwanda wengi ni wana siasa.
Mafuta ya magari wenye vituo wengi ni wana siasa.
Ukitaka kujua angalia inapo karibia muda wa bei kubadilika. Kama zita panda vituo vingi hufunga kwa kisingizio mafuta hakuna. Huu ni mchezo wana pewa taarifa kabla ya kutangaza.
 
Nyakati zimeshabadilika! Hivyo na sisi pia tunatakiwa tubadilike. Nchi imerudi mikononi mwa Mabepari! Hakuna tena Ujamaa wa uongo wa akina Magufuli, Bashiru Ali na Polepole!

Ni suala tu la muda ada za shule nazo kurejeshwa! Hivyo katika mazingira kama haya, kulalamika tu haisaidii! Dawa pekee kwa 'Wanyonge' ni kuchukua hatua. Hii ni awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake! Ukizubaa tu, umeachwa.
Tatizo Mangi huwa hamjulikani mnasimamia wapi.... kipindi cha JPm mliponda sera zake za 'kuwatetea' wanyonge mkasema ujamaa hauna nafasi. Sasa hivi tena mnalalamika.
 
Tanzania imeshakuwa shamba la BIBI. Wafanyabiashara watakosaje kupandisha bei za bidhaa?
Ikumbukwe kwamba, wengi waliorudishwa kwenye System ndio wafanyabiashara wakubwa, na hao ndo wanaosikilizwa sana kwenye mamlaka.
Hapo Watanzania tumekwisha!!!
 
Tatizo Mangi huwa hamjulikani mnasimamia wapi.... kipindi cha JPm mliponda sera zake za 'kuwatetea' wanyonge mkasema ujamaa hauna nafasi. Sasa hivi tena mnalalamika.
Mimi Magufuli nilimlalamikia sehemu chache tu! Kwenye uonevu na kwenye double standard. Na katika hili sitokuja kumsahau kamwe.

Miaka 6 bila ya kupanda daraja au nyongeza ya mshahara! Kisa ananunua ndege! Bado nikaongezewa makato ya Bodi mpaka kufikia 15%, hakika nilikuwa na haki kabisa ya kumlalamikia.
 
Wakuu,
Nipo hapa kwenye duka la vinywaji napata soda yangu pendwa ya Pepsi... shemeji/wifi yenu anapata Fanta.

Mkononi na buku... nikiwa naendelea kupata kinywaji, anakuja mteja mwingine hapa anaulizia anaambiwa 600..hii imekaaje?

Kama kuna mwanaJF yyte maeneo ya hapa Tandika mkabala na Tigo shop aje aokoe jahazi sina 200.

Natanguliza shukurani zangu.
 
Wakuu,
Nipo hapa kwenye duka la vinywaji napata soda yangu pendwa ya Pepsi... shemeji/wifi yenu anapata Fanta.

Mkononi na buku... nikiwa naendelea kupata kinywaji, anakuja mteja mwingine hapa anaulizia anaambiwa 600..hii imekaaje?

Kama kuna mwanaJF yyte maeneo ya hapa Tandika mkabala na Tigo shop aje aokoe jahazi sina 200.

Natanguliza shukurani zangu.
Mrejesho?
 
Back
Top Bottom