Bifu jipya mujini, Hamisa Mabeto vs Idriss Sultan

Bifu jipya mujini, Hamisa Mabeto vs Idriss Sultan

Kuna huyu na Mange Kimambi.

Nilikuwa nampenda Mange alivyokuwa akikosoa serikali,ila siku hizi kakosa cha kuposti kazi kuwananga Diamond na familia yake.
nadhani huwa inategemea amepuliza bange za mtaa upi !!!!!!!!!!!
sasa hamchangishii lisu tena yupo na kiba na dai
 
Nimekusoma, I wouldn't be on the other side.

Hata hivyo uchekeshaji wa Idriss ni wa kishamba sana, ana capitalize kwenye issues ambazo hata wakati mwingine hazichekeshagi.

Na anajaribu kufanya aina ya uchekeshaji wanaoufanya nje bila kuangalia utofauti wa mazingira.
Mr. Trevor Noah wanna be
 
Haya hayaa dakika chachee tu baada ya mshind wa big brother na pia ni komedian maarufu hapa nchini Tanzania bwana idriss sultan kuandika caption kwa nia ya kumtakia heri ya kuzaliwa mwanamuziki diamond platnumz. Caption hio imemchukiza hamisa mabeto akihisi kasemwa yeye kiasi cha kumtolea mapovu idriss

CAPTION YA IDRISS
View attachment 601054

MAPOVU YA HAMISA NA JIBU LA IDRISS
View attachment 601041
Hapo kwenye comedian maarufu hapa nchini sijaelewa. Huyu jamaa pia ni comedian basi kama huyu ndio comedian hapa Tanzania kila mti comedian
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna kakaangu anatafuta mtoto naona huyu hamisa incubator atafaaa kututotolea walau wawili ngoja nimpange bro
tena bei ya serikali kabisa elf 70 tu, mwambie bro achangamke
 
Comedian ni akina mzee small,majuto na wenzao enzi zile,siku hizi hawa comedian ni makajanja tu.
Hapo kwenye comedian maarufu hapa nchini sijaelewa. Huyu jamaa pia ni comedian basi kama huyu ndio comedian hapa Tanzania kila mti comedian
 
Very smart young lady. With her kind of analytical skills he would have made a brilliant career in Law.
 
tena bei ya serikali kabisa elf 70 tu, mwambie bro achangamke
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
wadada wawili wakiwa wanachambana, muwaache. idris na mdada mwenzie wakiwa katika ubora wao. mwanaume aliyekamilika hawezi kuandika kama alivyoandika huyu jamaa. hata kwa kutafuta kiki tu hawezi kufanya ivi.
 
Back
Top Bottom