Bifu kali kati ya Diamond na Clouds Media

Bifu kali kati ya Diamond na Clouds Media

Hapa kutakuwa na ugomvi kati ya lile kundi linalomzunguka Diamond yaani management yake na Clouds media. Kwa mtizamo wa ndani chanzo cha huu ugomvi unaweza kuwa mgomo baridi wa hii new management ya Diamond kukataa kubeba unga wa Clouds. Kumbuka, Clouds ndiyo inakuza na kuua vipaji vya wasanii hapa bongo. Ukishindwa kubeba sembe unanyimwa "Air Time." Simple as that.

Kwa sasa Diamond ni level kubwa mno hawategemei tena Clouds
 
Mnanikumbusha saana enzi zileee Tunamsifia Lunyamila na kumlinganisha na Roger Miller.
Wakati watu hawa hata kimaisha ni tofauti kabisaaaaa.
Ningependa mfaham kwamba Mashabiki kaibia wote wa Diamond tunamkubali sana Ali kiba,ila Kwa kusema kwamba umlinganishe kimafanikio na Diamond ni mbali saana tena saana.
Tatizo Team kiba wote hawakubali uwezo wa Diamond,wakati huo huo kwenye headphones zao wanasikiliza nyimbo za Diamond.
Mafanikio ya Mwanamuziki yoyote ni pesa tu,kwengine kooote ni Urembo tu
Kuna jamaa yangu Staff mwenzangu wa Kenya,namtajia Ali kiba ananiambia namkumbuka zamaniii,aiseee hahaha
Kenya ukisema Diamond basi hadi mtoto anamjua.
Naheshim sana uwezo wa Ali Kiba,ila ajipange sana kwa Diamond,maana Management yake imejipanga vizuri sana.Naamini hata Wachezaji wa Team za Kibongo hawa Simba,Yanga na wenzao,badi wangekuwa wanakubali kuwa na Managers wanaowasimamia,basi leo hii wengi wangekuwa wanakipiga nje.Ila tatizo wanaishi Kiujanjaujanja na kuona kwamba Kuajiri manager unapoteza pesa wakati ni kwa faida yako mwenyewe.Ronaldo ana Managers itakuwa Redondo wa Cha ndondo.
Kiba nakukubali ndugu yangu,ila jipange kwa Diamond.
 
Ukipendwa na kuhesimia na Citizen Tv na media zake kwa Kenya ni sawa na vyombo vyote vya habari vya kibongo
Kwa hiyo hao jamaa ambao wamezoea kupiga hela kwa Wanamuziki wajue wanamuziki wa leo sio waleee wa Enzi hizo hata Lady Jaydee nae amestuka baada ya kuteleza kipindi hicho.
Diamond anaweza kusimama mwenyewe,na anauwezo wa kuna na Management hata ya Nje ya Nchi Na huko ndio anakoelekea.
 
Mimi nataka kuuliza hivi hio Jembe FM haifiki Dar...
 
Naangalia mtandao wa Milard mpaka sasa haja-post Matukio ya Diamond yoyote aliyoyafanya weekend hii Mwanza, licha ya kuwepo mwanamziki mkubwa duniani.

je kuna Beef?
 
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadharani.

Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu Diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake.

Mfano juzi Alikiba alipokwenda South Africa, Clouds ilipost kupia mitandao na kutuma mwakilishi aende akareport Kiba akisign na Sony

Neyo kaja Tanzania, Clouds kimyaaaa, Millard Ayo pia tofaut na tulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofauti, hajareport lolote kuhusiana na ujio wa Neyo wala shoo ya Diamond.

My take: Millard usipotee njia, hao wapo na wewe sasa hivi, baadaye utaondolewa kama wengime walivyowahi fanyiwa.
Hehe kuna watu akilini mwao bado ni usiku mnene. Mtu sipopostiwa tayari ni bifu [emoji28] .
Duh
"Kweli thamani ya ubongo hupimwa na ulimu"[emoji28]
 
Post zangu unafuta na sijandika matusi hata moja leo mara ya pili majuz nlipost kuhusu mbowe na elim yake ikafutwa leo nimepost kuhusu diamond na clouds siion jaman au kunatatizo
Labda fiction
 
Back
Top Bottom