Bifu kubwa kati ya Diamond na mbunifu mitindo wa Kimataifa toka Marekani

Bifu kubwa kati ya Diamond na mbunifu mitindo wa Kimataifa toka Marekani

Anayemlalamikia aliyemwibia na kuamua kumtaja Diamond akijua fika D ni mvaaji

Why ameogopa kutaja aliyetajwa kwenye caption ya D?

Jinga limeandikiwa likatoa chuki kurusha kachemka, kwani mty labda aninunulie blouse nitamshukuru aliyeni nunulia au jina la duka?

Ndio maoni yangu
 

Attachments

  • 1432487910291.jpg
    1432487910291.jpg
    25.4 KB · Views: 410
Kwani mtu akija akakuvalisha wewe ndio utalaumiwa?

Hii kitu ni labda awe makini na hao wanatoa maujuzi wapi

Ila tunajijua tangu enzi asili hata nchini mwetu watu wanacopy mitindo kwenye mapicha.

Sasa mlalamikaji aende kumsaka aliye staili vazi na sio Diamond. Maana kaweka kwenye caption

Tunafanya hivyo kimazoea na huku ni mbali.... ila mafundi au designers wanafanya makosa bila kuelewa... Ukienda na picha ya suti ya Jay-Z kavaa Gucci, akikushonea fundi ukishtakiwa imekula kwako..
 
Anayemlalamikia aliyemwibia na kuamua kumtaja Diamond akijua fika D ni mvaaji

Why ameogopa kutaja aliyetajwa kwenye caption ya D?

Jinga limeandikiwa likatoa chuki kurusha kachemka, kwani mty labda aninunulie blouse nitamshukuru aliyeni nunulia au jina la duka?

Ndio maoni yangu

Sijajua kwa nini kamlenga D moja kwa moja ila nafikiri ameona ni official designer wake, maybe kiutaratibu D ndio responsible. Sina uhakika.
 
Shule muhimu wanashindwa kutofautisha designer mwingine na stylist ni mwingine ndo kilichomkuta dai angesema stylist wake kusingekuwa na matatizo yote haya

Diamond amesema hilo siku aliyorusha hiyo picha ndio maana mie nashangaa y huyo mtu amrona na jina na hakumtafuta maana amewekwa pale.

Picha ya post ipo humu hapo juu, angetaka angemshambulia stylist na sio Diamond.

Kimya kimya angemtafuta D angeondoa caption au hata kuondoa post kabisa...kimya kimya

Lazima kuna waliomuandikia huyo kaka watanzania ni hatari kusemeana mtu ashuke wanajaribu sana.
 
Diamond amesema hilo siku aliyorusha hiyo picha ndio maana mie nashangaa y huyo mtu amrona na jina na hakumtafuta maana amewekwa pale.

Picha ya post ipo humu hapo juu, angetaka angemshambulia stylist na sio Diamond.

Kimya kimya angemtafuta D angeondoa caption au hata kuondoa post kabisa...kimya kimya

Lazima kuna waliomuandikia huyo kaka watanzania ni hatari kusemeana mtu ashuke wanajaribu sana.
Stylist hana jina kama Dai anatafuta nitoke vipi
 
Mtoto wa Tandale anakumaliza hadi raha. Kumbuka aliuza mitumba huyoooo

Rafiki futa comment yako uloniquote, elewa nilicho mjibu ladykims then uelewe ni nani ninamzungumzia hapo. Namzungumzia chagabibi alivyokomalia hiyo issue wakati yeye kila kilicho chake ni fake!
 
Last edited by a moderator:
Rafiki futa comment yako uloniquote, elewa nilicho mjibu ladykims then uelewe ni nani ninamzungumzia hapo. Namzungumzia chagabibi alivyokomalia hiyo issue wakati yeye kila kilicho chake ni fake!

Sorry mamii, ok tena nilizani jina kama lako limekaribia kufanana
 
Last edited by a moderator:
Kibongo bongo watu wanaona sawa na mapovu yanawatoka....

Lakini kwa wenzetu si sawa....alipaswa ampe credit huyo rope rope sijui topetope

Na ingekuwa kwa wenzetu lawsuit ingemhusu
 
Back
Top Bottom