Bifu la Harmonize na team Wema lachafua hali ya hewa

Bifu la Harmonize na team Wema lachafua hali ya hewa

Kusema kweli asili za hizi timu ni kiba, kabla ya kiba Kutoka kulikuwa hamna timu, baada ya jamaa kumtangazia ubaya diamond, haitoshi akaenda kuunganisha nguvu zake na kidoti na wema ndio tim zilipoanza. Wanapiga kampeni za chini chini we dogo akosa baadhi ya tuzo anazo stahili na kama haitoshi wakahamia mtv bahati nzuri dogo akatusia. Baadae ndio ikaanza timu mondi, na peji za instagram zikafunguliwa na wapo wengine na sikia wanasapotiwa na hawa mastaa uhakika ninao. ILA NIKIRUDI KWA HARMONIZE KAKOSEA ishu ya boss wake na wema awaachie wenyewe, alafu hata maneno aliyotoa yana ukakasi masikioni si mazuri. ILA WEMA NA KIBA ndio walianzisha hizi timu wamemponda anasura mbeya, mwanaye mbaya, hajui kuimba etc lkn dogo anazidi kusogea. CHA MSINGI WEMA, KIBA NA MONDI WAO NDIO WAKUVUNJA HIZI TIMU na MONDI AONGEE NA HARMONIZE aombe msamaha. ILA ASILI ZA HIZI TIMU NI KIBA baada ya kumtangazia ubaya na hasira ya WEMA KUACHWA timu hizi zikazaliwa na zinaua sana mziki wetu. Huko nyuma kabla ya kiba kurudi kulikuwa hamna timu hata rotation ya mziki ilikuwa fair ila sasa hivi KIBA au MONDI hata wakitoa nyimbo mbaya itakuwa nzuri, bahati mbaya hizi timu zimezigawanya baadhi ya media na watangazaji a zinsababisha baadhi ya nyimbo zisionekane. Nyimbo kama subira ya kasim mganga, jafarai ft kasim mganga na nyinginezo za mwaka jana hazijapata air time za kutosha ukizitima ni nyimbo kali sana.


umerudia rudia jambo moja mwanzo mwisho.
 
Waacheni watukanane tu!! Wema mtukanaji na timu yake watukanaji, diamond mtukanaji na timu yake watukanaji, kiba yeye akitakaga kutukana mtu anaituma timu yake hatukani mwenyewe...

Waache watukanane tu, si wenyewe ndio wameamua hiyo iwe staili yao ya kusihi mjini, waacheni watukanane kama mapunguwani..
 
Kusema kweli asili za hizi timu ni kiba, kabla ya kiba Kutoka kulikuwa hamna timu, baada ya jamaa kumtangazia ubaya diamond, haitoshi akaenda kuunganisha nguvu zake na kidoti na wema ndio tim zilipoanza. Wanapiga kampeni za chini chini we dogo akosa baadhi ya tuzo anazo stahili na kama haitoshi wakahamia mtv bahati nzuri dogo akatusia. Baadae ndio ikaanza timu mondi, na peji za instagram zikafunguliwa na wapo wengine na sikia wanasapotiwa na hawa mastaa uhakika ninao. ILA NIKIRUDI KWA HARMONIZE KAKOSEA ishu ya boss wake na wema awaachie wenyewe, alafu hata maneno aliyotoa yana ukakasi masikioni si mazuri. ILA WEMA NA KIBA ndio walianzisha hizi timu wamemponda anasura mbeya, mwanaye mbaya, hajui kuimba etc lkn dogo anazidi kusogea. CHA MSINGI WEMA, KIBA NA MONDI WAO NDIO WAKUVUNJA HIZI TIMU na MONDI AONGEE NA HARMONIZE aombe msamaha. ILA ASILI ZA HIZI TIMU NI KIBA baada ya kumtangazia ubaya na hasira ya WEMA KUACHWA timu hizi zikazaliwa na zinaua sana mziki wetu. Huko nyuma kabla ya kiba kurudi kulikuwa hamna timu hata rotation ya mziki ilikuwa fair ila sasa hivi KIBA au MONDI hata wakitoa nyimbo mbaya itakuwa nzuri, bahati mbaya hizi timu zimezigawanya baadhi ya media na watangazaji a zinsababisha baadhi ya nyimbo zisionekane. Nyimbo kama subira ya kasim mganga, jafarai ft kasim mganga na nyinginezo za mwaka jana hazijapata air time za kutosha ukizitima ni nyimbo kali sana.


unakumbuka EAST COAST TEAM NA TMK? HARD BLASTAZ NA GANGWE MOB?
 
Msiba mkubwa unakuja leo kwenye radio zako. Raymond ni konyo sana shehe. Wcb baby!
Nataka niandikwe kwenye gazeti, niuze sura
Niseme ninatoka Na joketi,
Kitandani Picha Na feza kesi au Snura,Nilete matata
mpaka kwa grace
kwenye radio zote Mpaka runinga ,nitangaze kwa
kuvimba kwamba Lulu Ana yangu mimba, Au niwatukane wote wanaoimba kwa dharau Na
kuvimba hadi anayejiita simba
.........................ENDELEA
 
Hebu mwenye hiyo clip haiweke hapa ili tuhukumu vizuri,kama kweli alisema/kuimba hivo hakufanya fair,LAKINI TUSIWE KAMA WALIVYO HAO WANAOITWA "timu wema" WANATUKANA HATA KAMA KITU HAKIPO HIVO. SASA MWENYE HIYO CLIP HAIWEKE TUONDOE MZIZI WA FITINA.
 
NI KOSA KUBWA SANA KUMLAUMU MTU AMBAYE HUJADHIBITISHA KAULI YAKE, HEBU WEKENI HIKO KIPANDE CHA HIYO VIDEO AKISEMA/AKIIMBA HIVO TUSIWE KAMA MAJITU YA OVYO HATA MAHAKAMANI HAIKO HIVO.
 
Dogo melewa sifa. Mziki kauingilia kwa mguu wa kushoto.
Inaonyesha mwenzetu umekiona hiko kijipande cha hiyo video hebu tuwekee hapa ili na sisi tumchambe vizuri,au kama hakusema/kuimba hivo basi na sisi tuonyeshe ufundi wetu wa mitusi kwa hao waliojitoa akili.
 
Waacheni watukanane tu!! Wema mtukanaji na timu yake watukanaji, diamond mtukanaji na timu yake watukanaji, kiba yeye akitakaga kutukana mtu anaituma timu yake hatukani mwenyewe...

Waache watukanane tu, si wenyewe ndio wameamua hiyo iwe staili yao ya kusihi mjini, waacheni watukanane kama mapunguwani..
We umeongea huwa nasikitika tu lakini wakati mwingine wala siwaonei huruma kwa sababu wanayataka wenyewe na uwezo wa kuyazuia haya mambo yako ndani ya uwezo wao.
 
Hawa timu cjui nani nani hawanaga kazi??maana kwa matusi tu hawajambo daaaaaa
 
Waacheni watukanane tu!! Wema mtukanaji na timu yake watukanaji, diamond mtukanaji na timu yake watukanaji, kiba yeye akitakaga kutukana mtu anaituma timu yake hatukani mwenyewe...

Waache watukanane tu, si wenyewe ndio wameamua hiyo iwe staili yao ya kusihi mjini, waacheni watukanane kama mapunguwani..
Hahahahahah huyo Wema ndio malkia wao huko instagram ana followers million + ila akiitisha party wanakuja watu 50.. Lipstick zake alianza kuuza elfu 50 sasa hivi zimefika elfu 5. Sijui anafaidikaje na hii team huyu Wema. At least Diamond anapata watu wa kumpigia kura na kwenda kwenye shows na Ali Kiba ametumia fursa vizuri sasa anapata wapiga kura na views nyingi.. All in all matusi wote wanatukana huyo Wema anamtukana mpaka mtoto wa Diamond. So sioni tatizo lolote kwa huyo kijana kufanya mwendelezo.
 
Kuna bifu kubwa sana limeibuka kati ya msanii wa Wasafi Harmonize na team Wema baada ya Harmonize kutoa freestyle yenye maneno ya kumkashifu Wema Sepetu.

Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga matusi yote ya dunia hii kutoka kwa team Wema.

"sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu " - Harmonize



Harmonize ndo nani??
 
Wala hakumtaja sepetu ni nyie timu Wema mnatafuta kiki tu...

Angalia clip vizuri ni wapi Harmonize kamtaja Wema?!
Kamtaja na mwenyewe ame admit kuwa wamepanga huo WcF kuwa wamseme Wema ili waupe kiki mwimbo wao mpya.

Au na hiyo clip hujaisikia pia, mana mwenzetu una mapenzi na hao Harmonize hadi nyekundu unaiona njano
 
Back
Top Bottom