Bifu la Jokate na Flavian Matata linapamba moto chinichini, kisa?

GadoTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
370
Reaction score
636
Bifu la Jokate na Flavian Matata linazidi kukua siku baada ya siku.

Chanzo ni Jokate kuiba idea ya Flavi ya kutengeneza mabegi ya mgongoni kisha kutangulia sokoni. Sasa imebaki ni vijembe mtindo mmoja kwenye social media.







 
Heeee huu ni ujinga yani mtu usifanye kitu fulani kisa mwingine kafanya. By the way nimependa mabag ya kidoti rangi ya pink.
 
Sasa idea yao ni mabegi au jina? Make hapo kinachoongezeka ni jina la brand otherwise ni mabag ya kawaida yaliyopo dukani.
Umenena.... Kama ni swala la mabegi yalikuwepo hata kabla ya wao kuanzisha hiyo biashara sasa iweje leo. Na ishu kubwa ni brand kama ulivyosema. Iweje waoneane wivu kama vile kulikuwa hakuna biashara ya mabegi before
 
Huyu Jokate ni mwizi wa ideas coz kwny kumbukumbu zangu ciyo mara ya kwanza kulalamikiwa kwny ishu hizi.

Nakumbuka kuna kipindi Sir Nature alimlalamikia sana kidoti kuhusu brand ya kandambili za Kidoti ambazo wazo la kwanza kabisa lilitoka kwa nature hazikupita hata siku ngp Jokate akaingiza sokon kandambili zake za Kidoti, na hata huwa sizioni sijui ziliishia wapi.

Wewe kidoti sijui, you have to be creative don't poke others idea, unaboa.
 
Hawa nao naona wanaanzisha vijembe kutafuta wateja kwa nguvu, mtoa post waambie Dada zako wayalete sokoni hatutaki maneno maneno tuliyoyasikia mpaka sasa yanatosha kutupasua vichwa
 
nature ana kandambili mkuu?
 
Swala la kuprinti chochote chenye Brand yako unaweza, issue ni quality yako na idadi ya mashabiki wako!

Flaviana yeye alikuja na Idea ya kusaidia watoto wa shule kwa michango mbalimbali ya wadau waliokuwa wanajitolea!
Tena shule nyingi ilikuwa ni Msingi,
Jokate ameanzia ktk Nywele na Mitindo Mingine Mingi, Alianza kwa kukarabati uwanja wa Basket Jangwani, Sasa inawezekana amewaona wadogo zake hawana Bags za kueleweka kwa ajili ya shule na vyuo mbalimbali kaamua kuwaletea ili wajivunie, Wote ni watanzania tunapaswa kuwapa support! Msichana mwenye ndoto ni Moto wa kuotea mbali!

Binafsi nimevaa sana Adidas, Nike, Jordan, hawa wote wanatoa kwa sababu wanajua wana mashabiki!

Ni kama Tshirts za Man U, Arsenal, Yanga, Hizi ni Biashara lakini zinategemea Mashabiki!
Kama ambavyo wema sepetu alivyotengeneza Ndala,
Kama walivyotengeneza WCB zile za TIPTOP CONNECTION na za ALIKIBA
Kama alivyotengeneza JUX na Shetta
Wapeni sapoti Vijana wetu
Kesho na kesho kutwa me naibuka na kiwanda cha kutengeneza viatu vya Ngozi na Raba kalii zenye lebo tofauti tofauti na rangi tofauti halafu unaambiwa umeiba wazo, siyo kweli! Tusichukiane watanzania kwa mambo madogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…