Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndo mabifu tunayoyataka, yakimaendeleo, sio kuibiana vipara kila sikuNae mbona kaiga tu asimnage mwenziee
Umenena.... Kama ni swala la mabegi yalikuwepo hata kabla ya wao kuanzisha hiyo biashara sasa iweje leo. Na ishu kubwa ni brand kama ulivyosema. Iweje waoneane wivu kama vile kulikuwa hakuna biashara ya mabegi beforeSasa idea yao ni mabegi au jina? Make hapo kinachoongezeka ni jina la brand otherwise ni mabag ya kawaida yaliyopo dukani.
Akili zako umezikalia? Kazi kutengeneza six packs tuKama kiba alivyoiba idea ya kuprint t-shirts kutoka Wasafi?
nature ana kandambili mkuu?Huyu makombo jokate ni mwizi wa ideas coz kwny kumbukumbu zangu cyo mara ya kwanza kulalamikiwa kwny ishu hizi
Nakumbuka kuna kipindi sir nature alimlalamikia sana kidoti kuhusu brand ya kandambili za kidoti ambazo wazo la kwanza kabisa lilitoka kwa nature hazikupita hata Sikh ngp jokate akaingiza sokon kandambili zake za kidoti......na hata huwa sizioni sijui ziliishia wapi......ww makombo kidoti cjui, you have to be creative don't poke other's idea unaboa
Ilimlazimu kuahirisha coz tyari makombo jokate alikuwa ashamuwahinature ana kandambili mkuu?