Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida yake Jojo huyu c aliiba pia idea ya kushindanisha wadada kusuka times f.m naona pumzi ikaisha akuendeleaHuyu makombo jokate ni mwizi wa ideas coz kwny kumbukumbu zangu cyo mara ya kwanza kulalamikiwa kwny ishu hizi
Nakumbuka kuna kipindi sir nature alimlalamikia sana kidoti kuhusu brand ya kandambili za kidoti ambazo wazo la kwanza kabisa lilitoka kwa nature hazikupita hata Sikh ngp jokate akaingiza sokon kandambili zake za kidoti......na hata huwa sizioni sijui ziliishia wapi......ww makombo kidoti cjui, you have to be creative don't poke other's idea unaboa
Haya ndo mabifu tunayoyataka, yakimaendeleo, sio kuibiana vipara kila siku
Nimekumbka kweli huyu dada anaboa San mbn asiwe mmbunifu tu.....juzi juzi tu katudanyanya kambunia bwana wake vazi la fiesta na kujitapa hajaiga sehem yyt cha ajabu kumbe alikuwa kaiga kutoka kwa msanii mmoja iv wa mtoni farel WilliamsNi kawaida yake Jojo huyu c aliiba pia idea ya kushindanisha wadada kusuka times f.m naona pumzi ikaisha akuendelea
exacltlyHaya ndo mabifu tunayoyataka, yakimaendeleo, sio kuibiana vipara kila siku
ila naona flaviana amepata wivu sababu mwenzie amejitangaza sana ..yeye alidorola mno ..wanafki tu
go jokate
m pia lazma nipate moja..sasa aongeze na bag za kusafiria zenye matairi na vibeg vya watoto anaweza uza sanaAm in Love with Flavian Matata Trump!