Hii haikufikiwaSina wasiwasi na CLOUDS,nauhakika hiyo vita watashinda na kumtokomeza kabisa huyo dada.Mfa maji haishi kutapatapa...!!
#Tokea ifail ile movement strong ya wasanii(antivirus) na Sugu kuamua kuweka silaha chini kwa Ruge sitaki tena kusikia hizi harakati coz tunapotezeana mda tu kuwapa sapot then mkipewa mkwanja mnasurrender.
SWALI: Eti dada JIDE ulikuwa wapi sikuzote?
Jaydwe hakua adui alikua napigania hakinna maslahi yake kitu cha kawaida kabisa maishani!! Rude aliwahi kumwomba msamaha JaydeeKwani Lady jay dee pekee ndio adui wa marehemu
Wapo wengi sema tuu hawataki kufungukaKwani Lady jay dee pekee ndio adui wa marehemu