Bifu la Lady jay Dee na clouds media linazidi

Hii haikufikiwa
 
Ila mbona JD nyimbo zake zilikuwa zinapigwa sana clouds hadi kama alikuwa anapendelewa hivi (2000-2008)...wasanii wengine wa kike enzi zake ilikuwa mwendo wa kapuni tu (e.g vumilia)...bifu lake na clouds itakuwa kuna sababu zingine aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah watu noma mmeanza kufufua makaburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…