Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Ongeeni yoooote, lawama, nk lakini ukweli Ni kuwa Ray alitengeneza kiki ili kumzima konde, matokeo yake kiki imegeuka kuwa kisanga.Hakuna Cha utetezi hapa kila mtu apambane na Hali yake.
 
Mshaurini huyo Domondi kwenye shughuli za kiofisi avae kiheshima ,hiyo minywele kama juma lokole haifai....hiyo minywele ni kwenye usanii wake ndio inafaha.
Wewe kweli nyumbu!

Unaelewa maana ya mtu kuwa msanii?
 
😀😀😀 Suti si imavaliwa na muhuni mkuu. Kiukweli angekuwa hana hizo nywele angetoka chicha zaidi

Ukweli lazima usemwe ,hauwezi kwenda kukutana na waziri au kiongozi mkubwa wa kiserikalini tena kwa shughuli za kutangaza ofisi yako ukavaa kuhuni huni.

Kama hataki kukata minywele basi kwenye shughuli za kiofisi aende mtu decent akamuwakilishe.
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Umenifanya nicheke kwa sauti..... Unaonekana wewe ni team CHui.....Kuhusu Harmo nadhani yuko sahihi,..sema wasanii wetu bado wana ufinyu wa mawazo,..wanawaza leo tu hichi ndo kinachomponza role model wako
 
Fija ujinga wako wewe mbweha kwani huyo waziri/kiongozi ameenda kuzindua album hapo wasafi? Master j si msanii/producer? Mbona likata nywele alivyoenda kwenye usahili wa wajumbe?
Sasa kwa upumbavu wako, diamond anagombea ubunge hapo?

Hizo nywele ndio sehemu ya kazi yake pia kama hujui na hata huyo waziri anaenda hapo ofisini kwa diamond akijua anaenda kukutana na msanii na hata hiyo ofisi imetokana na usanii unaojumlisha hizo nywele!

Usiwe jinga.
 
Umenifanya nicheke kwa sauti..... Unaonekana wewe ni team CHui.....Kuhusu Harmo nadhani yuko sahihi,..sema wasanii wetu bado wana ufinyu wa mawazo,..wanawaza leo tu hichi ndo kinachomponza role model wako
Harmo yupo sahihi Kwa lipi we kilaza ,ngoja movie iishe bas tuone Nani ndezi ,... Mwenye shahawa yake katulia ,nyie wamakonde ndo mnadandia dandia
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Wasafi team mnawashwa sana
 
Slowly 🐆🐆🐆.. kawakilishwa na Salam_ Sk na Babu Tale. Wazee wa fitina
Salam sk mtu mbaya katupia wimbo wa chui wa valentine na ndo namba moja trending 😀😀 katuuliza Wana tunapenda mstari upi kama kawa Aiiiii , nitatoa mahari Kwa Mzee masanjaaaaaaaaa.....tushashinda tayari Ila Mmakonde tunalala naye Perpendicular 😋
 
Tamko la muhusika (paula) hili hapa.
FB_IMG_16134775140305334.jpg
 
Sasa kwa upumbavu wako, diamond anagombea ubunge hapo?

Hizo nywele ndio sehemu ya kazi yake pia kama hujui na hata huyo waziri anaenda hapo ofisini kwa diamond akijua anaenda kukutana na msanii na hata hiyo ofisi imetokana na usanii unaojumlisha hizo nywele!

Usiwe jinga.

Elimu Elimu Elimu ,kumuelimisha Mpumbavu ni kazi sana!! Kaa na Ujinga wako wewe MBWEHA WAHED.
 
Back
Top Bottom