Bifu la Shigongo na Irene Uwoya

siwezi kupita muache
kudiscuss na nuchunguza mambo ya watu mwanaume mzima cha kuongea huna
ukisutwa unakimbilia mahakamani wanaume wenzio wakusaidie

Wewe una matatizo gani? Hebu toka uendelee na yako Bwana!
 
siwezi kupita muache
kudiscuss na nuchunguza mambo ya watu mwanaume mzima cha kuongea huna
ukisutwa unakimbilia mahakamani wanaume wenzio wakusaidie

This Moth.. f...ker is full of Shit, kauli za kishenzi kaa nazo, umeitwa huku? Au huyu mpuuzi tunaemjadili ni Mumeo?
Kama ni mumeo, kamwambie tumemchoka na Tunakuja!
 
Wewe hmu uliingia
kufanya nni? , yaan hakuna nitakachoacha kufanya humu hadi nipende mm
mwenyew sio kwa ajil ya nyie misukule

Chukua like Mkuu! Huyu mpuuzi tumuexpose watu wamjue! I hate hawa wapumbavu wanaojipendekeza kwake utadhani wamelipwa, mbona yeye ni mwanaume lakini hachagui anaowafuatilia? Mbona anafuatilia hata mambo ya wanaume wenzie?
Hoja nyingine za kipuuzi sana.
 
Sijakupata mdau ila coming soon............?
 

anatumia dini kuficha maovu yake..........

Ngozi ya kondoo roho ya chui
 
dah... Jamaa ingawaje nilikuwa cmuamini amini lakini it didn't cross my mind kwamba mla visamvu vilivyochacha! Afu anapiga mawe wenzake wakati anaishi nyumba za vioo!!??

anatumia ofm vibaya na kujipatia fedha..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…