Bifu la Shigongo, Ruge na Babu Tale

Hapa ndipo ninapoikubali JF kila kitu unakipata humu Leo ndo nimejua Ruge na Zamaradi ni wapenzi hadi wakapeana na mimba kwa hiyo mtoto keshazaliwa tayari au?? Hebu nimalizie huu ubuyu mkuu
 
Hapa ndipo ninapoikubali JF kila kitu unakipata humu Leo ndo nimejua Ruge na Zamaradi ni wapenzi hadi wakapeana na mimba kwa hiyo mtoto keshazaliwa tayari au?? Hebu nimalizie huu ubuyu mkuu
Mbona wote wamekubali kuwa ni wapenzi na wana watoto wawili??tafuta take one aliyohojiwa zamaradi,na papokwapapo na papi aliyohojiwa ruge
 
Wajameni, kuna aliyesoma povu lote atupe summary kidogo? Mi nimeishia hapo watoto zake wakilala yeye huwa anakasirika!
 
Hapa ndipo ninapoikubali JF kila kitu unakipata humu Leo ndo nimejua Ruge na Zamaradi ni wapenzi hadi wakapeana na mimba kwa hiyo mtoto keshazaliwa tayari au?? Hebu nimalizie huu ubuyu mkuu
uko nchi gani swahiba wana watto wawili
 
MI nshaachsns na magazeti miaka mingi MI mtandao tu.
 
Hapa ndipo ninapoikubali JF kila kitu unakipata humu Leo ndo nimejua Ruge na Zamaradi ni wapenzi hadi wakapeana na mimba kwa hiyo mtoto keshazaliwa tayari au?? Hebu nimalizie huu ubuyu mkuu

Naona umeingia mjini na mbio za Mwenge,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…