Bifu la Zari bossy lady, Anitha Fabiola lafika pabaya...


Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]
 
Kwa kweli Zari was very disrespectful pale..
Open it
U supposed to be doing the admin work here chaaa[emoji1430][emoji1430][emoji1430]

She was bitching like waah, never seen that before , ako na madharau mengine mabaya sana, Zari ni mtu ambaye hajui kuji humble herself kabisa especially kwa mtu aliyelala na mpenzi wake
 
Hahahaa!kaka tutake radhi wabongoo...hatujafikia ujuhaa uleee
 
Hahahah acha hizo
 
Kuhusu followers naona wote wanafaidika zaidi. Ila huyu mwanamke anaongelewa kupita kiasi yaani huwa nawahurumia wanaomchukia
Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]
 
Nimeangalia ni kweli mara ya kwanza Zari alikuwa anaongea ongea lkn baadae Anita aliomba msamaha yakaisha na akamtangaza mshindi vzr na Zari akiwa anashangilia sidhani kwa upande wangu kama ilikuwa big issue
Umeangalia sehemu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…