Kwa lulu na hamisa. Hamisa asingeweza kufurukuta pia kipindi hicho alikua anatembelea zaidi kiki ya domo,kumtibua lulu ni sawa na kumtibua majizo, angejuta
Anita alijiamini sababu kila akichungulia page zinazomchukia zari aliona atapata kiki na kumharibia zaidi kwa madili ya huko Uganda
Kwa kweli Zari was very disrespectful pale..
Open it
U supposed to be doing the admin work here chaaa[emoji1430][emoji1430][emoji1430]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dadaKwani yeye ni baba?
Lol [emoji23]
Wanaume mnatokwa povu Kama mapunga...khaa!
Hahahaa!kaka tutake radhi wabongoo...hatujafikia ujuhaa uleeeKiukwel huyu zari anatabia zakipuuzi lengo lake ilikuwa kutafauta Kiki kupitia Hilo shindano ndo maana alitoa lugha za kujitapa Mara aseme ana hela nyingi Mara atoe lugha za dharau kwa huyo host kiufup aliaribu Hilo shindano sinzani Kama atapata nafasi kubwa tena Kama ile.Huyu mwanamke hafai kuwa wife material kabisa anaonekana ni mtu mwenye jeuri kujiona hiv kwa mfano angekuwa level ya Beyonce hiv ingekuwaje?Mara ya kwanza nilizani mtu wa maana kumbe ni walewale km dada zetu wa hapa bongo.
Binamu naambiwa waandaji wa hyo event ni couple jina nimewasahau, yani ni marafiki wa karibu sana na Zari ndio maana bibie alikua analeta jeuri na usikute kashalala na huyo mwanaume[emoji23], ila khaa Zari kiboko sio kwa ile open it [emoji23][emoji23]
Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]
Sawa mchumba ila mimi nitachoka kusubiriMchumba nipo sema ratiba kwa sasa inanibana sana.
Mara moja moja huwa naingia huku na tumaini u mzima wa afya tele Mchumba.
OkBabu wee si huende insta au you tube ukajionee mwneyewe mi mnanilipa humu mxieew , kama hujaelewa alichosema pita hivi
Sio mtoto wake??maana Madam Rita ndio age mate wa Zari
Embu fanya kunitafuta upande wa pili mchumba...Sawa mchumba ila mimi nitachoka kusubiri
HayaEmbu fanya kunitafuta upande wa pili mchumba...
Umeangalia sehemu ganiNimeangalia ni kweli mara ya kwanza Zari alikuwa anaongea ongea lkn baadae Anita aliomba msamaha yakaisha na akamtangaza mshindi vzr na Zari akiwa anashangilia sidhani kwa upande wangu kama ilikuwa big issue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YoutubeUmeangalia sehemu gani