Akili za wafuasi wa tembo wanazijua wenyewe they are so desperateHua anajibu sana. Ebu tafuta diamondreplies ndo ujue. Binadamu hamkosagi la kuongea
Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
OkHua anajibu sana. Ebu tafuta diamondreplies ndo ujue. Binadamu hamkosagi la kuongea
Aisee wamepata maneno ya kuongea kwakweliAkili za wafuasi wa tembo wanazijua wenyewe they are so desperate
mi nakwambia hivii,huu awamu sio ya kuchekeana kama awamu zilizopita,heshima ya serikali itabaki palepale,endeleeni kumpa kichwa cz anapenda sifakaeni kimya na nyie mnamchokonoa wa nini, yeye akifunga nyie mnamuandama, akiwaandama nyie maneno hayooo, kweli kunya anye kuku lakini akinya bata kaharisha
kaeni kimya, maisha yaende hata kama mimi unichokonoe nikae tu nitulie nikutizame kama sanamu, wakati madhambi yako ninayajua, hell no my friend, lazima na mie niback firemi nakwambia hivii,huu awamu sio ya kuchekeana kama awamu zilizopita,heshima ya serikali itabaki palepale,endeleeni kumpa kichwa cz anapenda sifa
results slip ya bashite nayo mlisema hivyo hivyo na akaitoa
Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
Sasa na wewe unafikiria kweli kiki ya nini wakati anaambiwa atoe huo ushaidi kama anaoHuyu diamond anatafuta kiki kupitia gwajima?
Kupata publicity kuuza wimbo wake na kuwa midomoni kwa watu kupitia gwajima.Sasa na wewe unafikiria kweli kiki ya nini wakati anaambiwa atoe huo ushaidi kama anao
Ni kama una introduce movie flan hahahah
Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
Tushamchoka kaona linyimbo limebuma kaona amchokoze gwajimaHuyu diamond anatafuta kiki kupitia gwajima?
Si ndo hapoKwanini aliomba msamahaaa kabla