Bifu ya Fid Q na Joh Makini

Hao wote si Wavuta bangi haoo!!?? au ndo misingi yenyewe
 
bro ni kweli joh makini anafanya vizuri commercially kuliko fid q, lakini msanii kama fid q kumpata ni ngumu sanaa..wakina joh they come and go
Nsaidie kuwaelekeza hao jamaa ndugu yangu.
 
bro ni kweli joh makini anafanya vizuri commercially kuliko fid q, lakini msanii kama fid q kumpata ni ngumu sanaa..wakina joh they come and go
Kwa mwana hiphop yyte umuwekee nyimbo za Joh na za fid muulize who is the ril hiphopian ndo utajua who is fid in hiphop industry.
 
Kwa mwana hiphop yyte umuwekee nyimbo za Joh na za fid muulize who is the ril hiphopian ndo utajua who is fid in hiphop industry.
Alafu huu ni mtazamo wa mleta mada tu.... Inawezekana kweli fid yupo juu lkn saivi yuko wapi!? Mbona asikiki.... Ndo mana mnabishana sana cse wengi kwasasa wanamsikia mwamba wa kaskazini. ....... Basi fid maliza kujipanga uamke ...... Watu wanataka usasa wako.
 

Mkuu ebu fafanua hivyo vipengele Joh amevifikiaje.

Sioni impact yoyote ya joh kitaani labda huko arusha.

Sijawahi kuona endorsement yoyote kwa joh makini.

Sijaona bidhaa yoyote ata album joh aliyowai kuuza au ni zile tshet anazivaa yeye na washikaji zake kwenye videos .

Lyrics ndio ata sijui nisemeje hahah aya aya mashairi ya don't bother hahahaha eti unaandikiwa na niki

Kuhusu style nakubali joh yupo vizuri sana kuchana kama Jay Z.

Mkuu ebu fafanua ulimaanisha nini au ni mapenzi yako binafsi ukatamani iwe hivyo.
 
Nafikiri mngekua mnajua kitu inaitwa 'kilinge' mngepata majibu yenu apa msingebishana..
Mnaipenda hiphop tatizo hamuijuiwala kuifuatilia
 
Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.

Aisee! Kumbe Fid Q nae ndio walewale noma kweli.
 
Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.

duuh nifah ya kweli hayo?
 
Fid q ni bingwa wa kuunganisha quatations za kwenye vitabu na movie while joh makin anaandika fikra ngumu kwa lugha ya kawaida tu.... achen kumshindanisha mwamba na vitu vya mwanza asee
 
Kutokuwepo kwake kwenye game hakuondoi ubora wa muziki wake mzee
 
Haiondoi umahiri wa fid haswa kwa uandishi.
 
Unaweza ku-list hizo album/mixtape na miaka ambayo wame-release hizo album kwa hao wasanii uliowataja?
 
sijui kuhusu beef joh mi nafuga kuku.... said Mwamba
 
What is HIP HOP weweee....!!!??? Saivi tunasikiliza mziki mzuri.
Aahh kumbe wewe unasikiliza muziki wowote tuu ndo maana upo kitaraab taraab hivi. Sasa hapa sisi tunaongelea hip hop mazee. So kama hujui chochote kuhusu hip hop then shut up yah fukn mouth
 
Unaweza ku-list hizo album/mixtape na miaka ambayo wame-release hizo album kwa hao wasanii uliowataja?
Mkuu tafta hizi albam
Njiani by songa-released this year
Mwenge kiwalani (kandamseto)- p the mc n zaiid hii imetoka mwaka jana mwez wa kumi na mbili
Mount uruguru ya stamina hii imetoka mwaka huu.
 
Aahh kumbe wewe unasikiliza muziki wowote tuu ndo maana upo kitaraab taraab hivi. Sasa hapa sisi tunaongelea hip hop mazee. So kama hujui chochote kuhusu hip hop then shut up yah fukn mouth
fak yaaa..... Mwamba atabaki kuwa MWAMBA..
... itafute track yake yaitwa MUDA ....utansomaa.
 
Mkuu tafta hizi albam
Njiani by songa-released this year
Mwenge kiwalani (kandamseto)- p the mc n zaiid hii imetoka mwaka jana mwez wa kumi na mbili
Mount uruguru ya stamina hii imetoka mwaka huu.
Once u r done with Muda... do urself a favor....go for NIAJE NI VIPI.. .and after that u wipe ur ass with HAWAPENDI... damn yaa... yeeahh and it'll be wiser to showlove to ur loved ones with CHOCHOTE POPOTE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…