Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,714
- 1,642
Sasa ndo kutumia Kaka/dada au Babu/Bibi men huo mwandiko ni mchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka/dada nimeuliza tu kwa sababu kweli siwajui hao jamaa.
Ukinijuza kwa usahihi nitawajua nami nitakuwa kurasa moja na ninyi mnao wajua.
Nikukanye kaka/dada, usipende kujaribu kujilinganisha na usiowafahamu!! Tuheshimiane, tusonge mbele babu/bibi.
Nb: samahani nimetumia jinsia zote mbili kwasababu nimeshindwa kukutambua pia. Kwa hiyo unaweza kunielewesha pia. AMANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app