Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Huyu dada alikuwa anaboa kichizi,anabehave kama vila hana exposure,,,,kuhandle usumbufu wa kawaida wa wanaume tu eti inakuwa tabu anakuwa mbogo mwanaume akimtania mambo ya nanihii,ka Bikira bwana ha!....Hakufaa kabisa,it's fair!..They're supposed to entertain and she wasn't doing that!...Welcome home,next time tupeleke Masela!
Poole muzee
Poole muzee
kwa kufungwa!😀
Ukipanda bange huwezi kuvuna majani ya kunde...
Haya arudi home aje aweke kiuno chini atulie
Kweli jamani dunia hii ina watu wa kila aina! mwaka jana yule dada Latoya alikuwa angawa uroda ,wakamtukana weee mpaka basi.Sasa Eliza naye anatunza maadili naye mnasema anaboa mnataka mgawaji.tuwaweke kundi gani enyi binadamu?mbona hamueleweki!? Aaargh!
Hata hivyo amechelewa sana kutoka, alistahili kutoka mapema zaidi. Amshukuru Kevin kwa kumbeba kipindi wako kama 'comrade in arms'.
Alikuwa ana bore sana, ishu ndogo tu ye anapanic!! Akiambiwa 'I love you' ye ananuna!! Mwache atoke, we need housemates who can entertain us bcoz we are paying!!
Aende zake kwa mabwana zake wa kizungu!!! Aliniudhi sana, one day alisema eti she dont find confortable dating black guys!!
Docebit VOS Omnia......mimi simo humo.......nyati kajeruhiwa.......ha!ha!ha!ha!!
On the other hand poleni sana washabiki na wapenzi wa BBA mkiongozwa na BBA star ...Mbogela pamoja na mwenyekiti wa kamati ya ushindi.....Keil!
Kweli jamani dunia hii ina watu wa kila aina! mwaka jana yule dada Latoya alikuwa angawa uroda ,wakamtukana weee mpaka basi.Sasa Eliza naye anatunza maadili naye mnasema anaboa mnataka mgawaji.tuwaweke kundi gani enyi binadamu?mbona hamueleweki!? Aaargh!
Docebit VOS Omnia......mimi simo humo.......nyati kajeruhiwa.......ha!ha!ha!ha!!
On the other hand poleni sana washabiki na wapenzi wa BBA mkiongozwa na BBA star ...Mbogela pamoja na mwenyekiti wa kamati ya ushindi.....Keil!
Fimbo uliyoitumia kumtandika pacha wa Eddy hatimae imekutandika. Alliance imemponza Eliza alimswap Pacha wa addy sasa naye yamemkuta.
Jamani Eliza sikutegemea kama angetoka wiki hii ingawa upepo ulikuwa unamwueleleza. Mwanzoni alipoingia BBA kwa kweli nilimpa credits nyingi na nadhani hata watu wengine walimkubali but nadhani alivyoendelea kuishi mle ndivyo alivyoonyesha her true colors. Ingawa ametoka but at least amedhihirisha kuwa she was successful in living the real life not artificial one kwa sababu kama angepretend tusingeuona uinsane wake ati!!
hili la kwamba eti hatupendi sisi mablack limeniudhi! sasa hebu arudi atuambie vizuri!
Hana lolote kaishiwa tu, hapendi black na wakati yeye mwenyewe black.