Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
News: Itai Wins HoH
.....yeah....he is smart but a cunning snake......iam a kevin supporter sasa huyu jamaa hatabiriki so i can't say if King Kev is safe or not 🙁News: Itai Wins HoH
huyu jamaa kila wakitoa task ya kutumia ubongo lazima ashinde.
Mapembelo!
ukija mjini naomba usisahau kuniletea ndosani na mapeazi....!
.....yeah....he is smart but a cunning snake......iam a kevin supporter sasa huyu jamaa hatabiriki so i can't say if King Kev is safe or not 🙁
...hehehehe...i tried the riddles without looking at the answers and got 7 out of 12 ...not bad 🙂...anywaiz...to the Kevin fans lets just wait n c wat happens....hehehehe...Mzamo better get ready to be up nxt week for sure...hehehe..i wonder who will start kissing Itai's ass today??....
Jamani mbona siwaelewi hawa? wanabishana nini? naomba msaada jamani.
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=20848
Na wakinga wote tuna Degree saba ha ha ha ha hakuna kazi tunaweza kufanya hapo bongo ndio maana tunakaa huku huku kwetu ha ha ha
Jamani kuna task zingine zinachekesha, niecheka hawa jamaa wanavyoimba revolution blues sikiliza jamaa anavyopiga ngoma kama hajawahi kuona ngoma zinavyopigwa kabisa, alafu sauti ya Itai yaani kama ya bundi jamani ha ha ha yaani jamaa wamenichekesha maana wamenikumbusha mambo ya kilabu ya Mfaranyaki
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=21023
Kwenye hiyo clip, kajamaa kalikuwa kameanza kumwingia Gerry kwa mara ya pili ndipo Gerry akawa anamwambia kwamba hakumtendea vyema Mzamo na kwamba alimtumia na kum-dump. Leo anajitetea kwamba waliongea na kuubaliana kufikia mwisho na ndipo Mzamo akaingia ku-clarify.
Kwa kifupi Moz Boy (Leo) ni mjinga sana, yaani alitaka kuwachanganya wakiwa ndani ya Jumba na alitarajia Gerry amkubali wakati aliwaona na alisikia kwamba wamefanya kabisa.
Sasa mzamo sasa hivi ananafsi na nani? nimejaribu kufuatilia clips sioni maendeleo?
Leonel ameondoka ... kilichonisikitisha sana ni kwamba hata nchi yake haikumpa kura. Nchi pekee zilizompa kura ni pamoja na Malawi, Zimbabwe, Namibia na Uganda. Hizi nchi zimekuwa consistent katika kupiga kura kila Kelvin anapokuwa up for eviction.
Hata hivyo, huenda Biggie akabadilisha wiki hii kwani umebakia mwezi mmoja tu na housemate wapo 7. Labda mwaka huu wiki ya mwisho wantabakia hm 5.
Leonel ameondoka ... kilichonisikitisha sana ni kwamba hata nchi yake haikumpa kura. Nchi pekee zilizompa kura ni pamoja na Malawi, Zimbabwe, Namibia na Uganda. Hizi nchi zimekuwa consistent katika kupiga kura kila Kelvin anapokuwa up for eviction.