Emmanuel mgonza
Member
- Feb 26, 2023
- 21
- 24
Soon watu wataanza tembea pekupeku kwa kupaka rangi miguu walisema fashion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa unapata na chakula humohumoVina kiyoyozi ndani?
Nimepita huko fb kwenye magroup yangu ya biashara nikakuta haya madumu yanauzwa,
Yalianzia huko NY na kule yanauzwa 2.3M, wabongo wameiga haya nahisi yanatengenezwa kama yebo kwa 630k..
Wanaita Big Reb Boots,
Fashion zitatuua vijana, kuna jamaa akasema anataka ma 3 ya rangi tofauti tofauti, Sasa ushaambiwa ni Red boots unataka rangi nyingne tena???View attachment 2577063