Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

Mbona wewe hukusema haya kipindi hicho??big shame to you
Umeelewa lakini alichoandika Ulimwengu? Yaani baadhi yenu mkiona jina tu JPM matako hulia mbwaa! Kwa kifupi Ulimwengu anawalaamu wale wanaojitokeza sasa.kuchallenge aliyoyafanya Magu wakati walikuwa na nafasi ya kumwambia akiwa.hai. Kama anawaonya bora wakae kimya tu kwa sasa maana wanaongea kama miaka 5 ya JPM hawakuona mapungufu
 
..angekuwa tayari kwa lolote asingejiwekea ULINZI wa kutisha namna ile.

..pia haiingii akilini ugonjwa ambao ameu-manage na kuuzoea kwa muda mrefu umchukue ghafla kiasi kile.

..Magu aliondoka kwa tukio lililomchukua kwa ghafla na ambalo lilikuwa juu ya uwezo wake, na most likely ni CORONA.

..wimbi la pili la corona lilipoingia alitakiwa akafichame CHATO, lakini yeye alianza kuzurura Dsm na Dodoma.
Ulinzi alijiwekea yeye au system ndio inauweka?

Bavicha inakuwaje hata jambo dogo hili unashindwa kuelewa?
 
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Magufuli alikuwa kichaa na katili wa kutisha, asante Mungu kwa kumuwahi kabla hajaangamiza watu wako
 
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Defensive mechanism!It won't help much of you if at all you can't munch the bitter piece of yarm!😂😂😂
 
JENERALI kinachomkera ni namna watu walivyomiminika kumlilia JPM, alitegemea watu wasimzike vizuri shujaa wao.

Eti JPM alijiona IMMORTAL yaani mwenye kuweza kuishi milele, matusi mabaya hayo JENERALI. Ungemtendea haki JPM ungetafuta hata hotuba zake uka'quote' kama kweli alijimwamba kiasi hicho. JPM kwa taarifa yako alitamka mara nyingi mno kwamba maisha ni 'temporal' yanapita na ndo maana alijitahidi kutumia kila dakika ya maisha yake kuleta mabadiliko.

Hata hivyo kiuhalisia JPM wa macho ya rohoni ni 'IMMORTAL'. Mawazo yake bado yanaishi, kazi zake nzuri bado zinatunufaisha na misimamo yake bado inalitegemeza taifa hili.

JPM hajaishi kizembe na wala hajafa kizembe. Amekufa akiwa kazini, wewe ndugu yangu JENERALI ni LOOSER ndo maana G55 iliishia hivyo hivyo, huna legacy. Hata kumwandika JPM ili usomwe ni kwasababu ana jambo bado, he is BIG MAN. Kumbe hata akilini mwako hajafa na huenda unaogopa what if he comes back.

Tahadhari, unapoandika baya juu ya JPM kuwa na ubinadamu maana unawatia huzuni mke n.k.
Yaani bora Mungu alituokoa na hilo Jiwe, nchi ilifika pabaya sana. Sifa ziende kwa Corona
 
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
A big NO to you. Ulimwengu is right. We refer to history in modelling a better future. JPM's covid-19 mismanagement philosophy is a historical benchmark to refer in the bid to combat the pandemic.
 
Screenshot_20210609_140054.jpg
 
Back
Top Bottom