Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Umesoma kweli na kuelewa?Unatia aibu kumbe kiazi hvyo
 
HIlo la kuwa mrundi ni ubaguzi wa watu wa Chadema na wanaharakati wengine.

Kama TISS ingefanya kazi vyema ni Nyerere tu ambaye angekuwa Rais halali.

Hizi siasa za katiba mpya ni visingizio tu vya kwanini bado hatujapiga hatua kubwa kiuchumi. Watu ni wale wale tu katiba mpya haitaondoa upigaji wa miaka yote.

Haitabadili hulka zetu za kufuga uvivu.

JPM alifanya alichoweza na apumzike kwa amani.
Unaongelea upigaji kwani kuna Rais amewahi kutokea akaiba kumzidi Magufuli? Tsh 2.4 Trilion kwa miaka 3
 
1623251503525.jpeg

Niliwahi sema, na nitaendelea kusema.

Wanaotaka kumuua Magufuli hawatafanikiwa.
 
Wengine wengi waliokufa kwa hivyo virusi hawakuwa na matatizo yoyote ya moyo na hawakuwa tayari kwa lolote. Walipenda kuishi muda mrefu zaidi na wengi wao wangeishi muda mrefu zaidi kama sayansi ingezingatiwa na wenye mamlaka wangetimiza wajibu wao.
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
 
Wengine wengi waliokufa kwa hivyo virusi hawakuwa na matatizo yoyote ya moyo na hawakuwa tayari kwa lolote. Walipenda kuishi muda mrefu zaidi na wengi wao wangeishi muda mrefu zaidi kama sayansi ingezingatiwa na wenye mamlaka wangetimiza wajibu wao.
India iliyokuwa ndio tegemeo la matibabu ya mawaziri wetu imezika wagonjwa mpaka kuni zimeisha. Sisi ni Kina nani tujifanye tunaijua sana sayansi!.

Uoga unaua mapema kuliko hizo lockdowns.
 
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Anajulikana kushambulia uongoz unaokua ikulu well.. but c anashambulia kwa hoja? Tatizo liko wap??
 
Kama mtu akifa Basi asisemwe kwa uovu wake, kwanini tunafundishwa na Bible juu ya uovu na usaliti wa Yuda Eskarioti?

Kwanini Biblia imeandika kisa Cha ulaghai Cha Anania na Safira?

Kwanini imeandika mambo mabaya aliyoyafanya Daudi? Si ingeandika mazuri tu?

Nakupa assignment kasome Ufunuo 14: 13 unaweza hata kui Google
Hii ni nyundo nzito kichwani 🤣🤣🤣
 
Dikteta marehemu lazima ashambuliwe kila uchao, aliwasibu watu wengi kwa utawala wake wa mkono wa Chuma,

Alitoa amri lissu auliwe na mwili wake usiagwe ukazikwe haraka kijijini kwao ,
Aisee 🤔🤔🤔
 
Mkuu huyu Jenerali Ulimwengu ni masalia ya kizazi cha Burundi kilichokuwa kinaleta fujo mara kwa mara kwa Serikali. Serikali ya Michombero ikaamua kuwavurumusha na wakakimbilia Kagera, yeye Ulimwengu akiwa mdogo. Sasa, ile damu ya roho mbaya, ukatili na fujo fujo waliyokuwa nayo wazazi wake nae anayo na ndio inamsumbua.

Bahati nzuri, Serikali ya Tanzania inamjua uzuri tu. Rais Mkapa akimjua vizuri alimnyang'anyaga uraia ili arudi kwao. Kwa hofu ya "kushughulikiwa" akirudi kwao, akalialia akasamehewa aendelee kuishi kwetu. Lakini roho yake mbaya haijamtoka tu. Naishauri Serikali i deal naye ipasavyo asije akatuharibia nchi!
Anaiharibu nchi kivipi?! Kwa kusema ukweli?
Wewe huoni baada ya kifo cha Jiwe Corona imeanza kushughulikiwa kitalaam badala ya approach ya kisiasa ya hapo awali kufeli
 
Ulimwengu anaongelea watu walionyamaza na kushindwa kukemea ujinga wa utawala wa Magufuli zaidi ya kumlaumu Magufuli.

Analaumu hata madaktari waliojua ukweli waliogopa kusema kweli kwa kusingizia wanaogopa Magufuli atawapatiliza.

Hivyo, article hii inahusu waliobaki zaidi ya Magufuli.
Thanks Kiranga. When you are curt member you do not see even the obvious. Tatizo sana.
 
Mwendazake lazima tumseme. Kama Hitler na Iddi Amin bado wanasemwa iweje Magufuli asisemwe? Tutamsema sana na wakati huo huo tukimshukuru Mungu kwa wema aliotufanyia March 17, 2021.
 
JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu na alikuwa tayari kwa lolote lile.

Mzee Ulimwengu anajulikana kwa siasa zake za kuushambulia uongozi unaokuwa ikulu.

Kama busara zimejaa kichwani kwake angeachana na hizi mada za kumshambulia aliyekwisha maliza muda wake duniani.
Acha kuwashwa washwa kwenye jicho weye mwache mwenda zake avune alichopanda kwanza
 
Anaiharibu nchi kivipi?! Kwa kusema ukweli?
Wewe huoni baada ya kifo cha Jiwe Corona imeanza kushughulikiwa kitalaam badala ya approach ya kisiasa ya hapo awali kufeli
Inashughulikiwa wapi? Juzi nimeingia ofisi moja ya Serikali Jijini Mwanza, kwenye mlango wameandika "USIINGIE BILA KUVAA BARAKOA" halafu ndani wateja na wafanyakazi hakuna aliyevaa barakoa! Ndio kuishughulikia Corona kitaalamu? Ahahahahahahah!!!
 
Back
Top Bottom