Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

Mbona wewe hukusema haya kipindi hicho??big shame to you
Umeelewa lakini alichoandika Ulimwengu? Yaani baadhi yenu mkiona jina tu JPM matako hulia mbwaa! Kwa kifupi Ulimwengu anawalaamu wale wanaojitokeza sasa.kuchallenge aliyoyafanya Magu wakati walikuwa na nafasi ya kumwambia akiwa.hai. Kama anawaonya bora wakae kimya tu kwa sasa maana wanaongea kama miaka 5 ya JPM hawakuona mapungufu
 
Ulinzi alijiwekea yeye au system ndio inauweka?

Bavicha inakuwaje hata jambo dogo hili unashindwa kuelewa?
 
Magufuli alikuwa kichaa na katili wa kutisha, asante Mungu kwa kumuwahi kabla hajaangamiza watu wako
 
Defensive mechanism!It won't help much of you if at all you can't munch the bitter piece of yarm!😂😂😂
 
Yaani bora Mungu alituokoa na hilo Jiwe, nchi ilifika pabaya sana. Sifa ziende kwa Corona
 
A big NO to you. Ulimwengu is right. We refer to history in modelling a better future. JPM's covid-19 mismanagement philosophy is a historical benchmark to refer in the bid to combat the pandemic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…