Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

Màgufool alikuwa baba wa ushirikina na ulozi akishirikiana na mama yake mwiizi wa nyota za watu
duuuuh,ama kweli naamini magufuli kabaka watoto wengi sana.mpaka wewe mkuu!!!!
 
Pole sana!!Jenerali kaandika kiingereza wewe umemjibu Kiswahili.Tuyaache hayo lakini Jenerali ni mojawapo ambaye bila kupepesa macho alionyesha wazi kuhitilafiana na JPM.Rejea mchango katika Kigoda cha Mwalimu tena mbele ya Mkapa!!
JPM amefanya makubwa lakini kuzuia watu wasizungumzie mabaya ya yake ni kumuondoa katika ubinadamu na kumpandisha katika UUngu kwa kisa cha kuwa tu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Ki ukweli ni kuwa yeye ni Marehemu kama walivyo marehemu wengine na mambo yake katika dunia yameisha!!
 
Jpm tutamshambulia kila uchwao atakumbukwa kwa ukandamizaji wa demokrasia mauaji ya wakosoaji wake damu ya ben sanane damu ya tundu kagunye na list ndefu hawez kupumzika kirahis hvyo
nyie mbwa sio wa kuwaamini sana,hamkawii kumtumia majukwaani 2025.
 
Unaongelea upigaji kwani kuna Rais amewahi kutokea akaiba kumzidi Magufuli? Tsh 2.4 Trilion kwa miaka 3
huu ujinga hata mtoto wako hawezi uhifadhi,ni wewe baba yake ndio bado umekomaa nao.
 
Did Magufuli really believe he was immortal?
blaza acha tu.

kwa sasa inaonesha hata wale kwerea kwerea wanahisi kupungukiwa maana hakuna mtu wa kumwongerea wasikike,ni kumfata mpaka huko kaburini.

jpm huyu huyu aliyekuwa akirudia maneno "mniombee"!!!maisha bila unafiki hajasogei mkuu.
 
Dikteta marehemu lazima ashambuliwe kila uchao, aliwasibu watu wengi kwa utawala wake wa mkono wa Chuma,

Alitoa amri lissu auliwe na mwili wake usiagwe ukazikwe haraka kijijini kwao ,
I was to ask a question but I realized the question would be directed to a person sounded imbecile.
 
As usual his infatuation with JPM is naked for all out there to see. JPM never believed he was immortal as religious as he was. Jenerali can't just get enough of his concocted self convictions to satisfy his troubling wounded ego..he gotta let it go..and heal his soul.
 
Ndio inavyokuwaga hivyo kwamba watu wasiuseme ukweli wa mtu aliyetangulia mbele ya haki?
 

Kiongozi yoyote dhalimu anapaswa kupewa ukweli wake bila kujali wanaojinasibu naye ni akina nani.
 
What are you trying to say?

Is it ok to be ruthless and care less just because you aint got nothing to loose?????😳
 
What are you trying to say?

It is ok to be ruthless and care less just because you aint got nothing to loose?????
Mbwembwe nyingiii za kingereza ujumbe umeeleweka vyema.

Hao wanaochukuliwa kama ndio wasio na dhambi ndio wachafu wenyewe.

Tumeongozwa na marais wanne kabla ya JPM ina maana na wao wanne ni wasafi sana?...acheni kuwa wanafiki!!.
 
Mzee Jenelali nae ni kumbafu
 
Mbwembwe nyingiii za kingereza ujumbe umeeleweka vyema.

Hao wanaochukuliwa kama ndio wasio na dhambi ndio wachafu wenyewe.

Tumeongozwa na marais wanne kabla ya JPM ina maana na wao wanne ni wasafi sana?...acheni kuwa wanafiki!!.

Huyo kaamua kuweka uchafu wa JPM, ww weka huo uchafu wa hao viongozi wengine.
 
Thanks Kiranga. When you are curt member you do not see even the obvious. Tatizo sana.
Nimeambiwa kuna tatizo watu wanataka kujadili article ya Kiingereza bila kujua kusoma Kiingereza.
 
JPM never believed he was immortal as religious as he was.


You guys are not serious! Was Magufuli religious?

....mtawajua kwa matendo yao. Matendo ya Magufuli yalikuwa yanadhihirisha pasipo shaka kwamba hakuwa mshika dini. Alipenda tu kujinasibisha na dini na kumtajataja Mungu ili afanikishe kupata aliyohitaji.
 
Macho na masikio yako juu ya yule mtu hakika ni kama Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…