Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

Mlishawahi kutangaza kuwa Lowasa atakufa ofisini ni mgonjwa sana lakini ikawa mazing-zong mpaka sasa hamjaamini.
Usilete siasa kwenye kila kitu bloo hakuna anayemtakia mwenzake ugonjwa au kifo,jikite kwenye hoja,wazungu huwapima wachezaji wao kabla ya kuwasajili,sisi tunafeli wapi achana na ishu za usimba na uyanga
 
Utopolo kuliko kukataa ukweli ulio wazi mitandaoni na kumtukana mleta mada kwa kusema huo ukweli, naona bora huo muda wa ubishi wenu tuuelekeze kumuombea mgonjwa aendelee kuwa na nguvu za kucheza mpira kwa sababu huko ndiko kwenye rizki yake.

Wote tuseme - Amen.
 
Utopolo kuliko kukataa ukweli ulio wazi mitandaoni na kumtukana mleta mada kwa kusema huo ukweli, naona bora huo muda wa ubishi wenu tuuelekeze kumuombea mgonjwa aendelee kuwa na nguvu za kucheza mpira kwa sababu huko ndiko kwenye rizki yake.

Wote tuseme - Amen.
Amen and Thread closed
 
Hakuna cha [emoji706]huyo jamaa anaumwa, hii habari iliandikwa na jarida maarufu la michezo la Mirror tokea mwaka 2015, kasome zaidi hapa!

View attachment 2288869
View attachment 2288870
Wewe tukija kukupima hapo ulipo tutakukuta na magonjwa mangapi mwilini mwako? Ni wakati sasa wa kuachana na hii mijadala yenu isyo na kichwa wala miguu.
 
Usilete siasa kwenye kila kitu bloo hakuna anayemtakia mwenzake ugonjwa au kifo,jikite kwenye hoja,wazungu huwapima wachezaji wao kabla ya kuwasajili,sisi tunafeli wapi achana na ishu za usimba na uyanga
Kwani tangu 2015 mpk sasa kacheza timu ngapi? Na timu zote alizopita alikuwa hapimwi Afya yake?

Wachezaji wanaugua coz na wao ni binadamu,Christian Eriksen alipata matatizo makubwa na watu hawakutegemea kama atarudi tena ila Leo mpk anahusishwa na kujiunga Manchester United
 
Wewe tukija kukupima hapo ulipo tutakukta na magonjwa mangapi? Ni wakati sasa wa kuachana na hii mijadala yenu isyo na kichwa wala miguu.
Kila mtu anaumwa ishu kwa nini tanzania hatupimi wachezaji,dont take it personal
 
Utopolo kuliko kukataa ukweli ulio wazi mitandaoni na kumtukana mleta mada kwa kusema huo ukweli, naona bora huo muda wa ubishi wenu tuuelekeze kumuombea mgonjwa aendelee kuwa na nguvu za kucheza mpira kwa sababu huko ndiko kwenye rizki yake.

Wote tuseme - Amen.
Umuombee mgonjwa, kwani wewe hapo ulipo umzima kwa asilimia ngapi?

Usikute wewe ni maiti tu inayotembea, halafu unapata kabisa ujasiri wa kunyooshea watu wengine kidole.
 
Kutwaa Makombe akuhuaiani na ini. Sisi tumemleta aendeleze mchakato wa ku twaa makombe ayo mambo ya ini endeleeni nayo.
 
Kila mtu anaumwa ishu kwa nini tanzania hatupimi wachezaji,dont take it personal
Una hakika hawapimwi? Na kama huyu mchezaji ni mgonjwa kama unavyotaka kupotosha hapa, ilikuwaje acheze kwa dk zote 90 kwenye mechi ya Taifa lake dhidi ya Cameroun mwezi uliopita?

Na kama hufahamu, hiyo mechi ilichezwa uwanja wa Mkapa! Mimi nadhani ifikie wakati mpunguze sasa haya mambo yenu ya kipuuzi dhidi ya watu wasio wahusu kwa lolote.
 
Tangu mwaka 2015 amecheza timu zifuatazo
1.Coventry City
2.Motherwell
3.Herbinian
4.Solihull Moors
5.Glentoran

Na hizo timu zipo ulaya wana utaratibu Wa kumpima kabisa wachezaji wao

Au huo ugonjwa kaupata 2021
 
Una hakika hawapimwi? Na kama huyu mchezaji ni mgonjwa kama unavyotaka kupotosha hapa, ilikuwaje acheze kwa dk zote 90 kwenye mechi ya Taifa lake dhidi ya Cameroun mwezi uliopita?

Na kama hufahamu, hiyo mechi ilichezwa uwanja wa Mkapa! Mimi nadhani ifikie wakati mpunguze sasa haya mambo yenu ya kipuuzi dhidi ya watu wasio wahusu kwa lolote.
Wanapimwa?wapi wanapimwa,sio mikia wala utopolo wanaopima
 
Tangu mwaka 2015 amecheza timu zifuatazo
1.Coventry City
2.Motherwell
3.Herbinian
4.Solihull Moors
5.Glentoran

Na hizo timu zipo ulaya wana utaratibu Wa kumpima kabisa wachezaji wao

Au huo ugonjwa kaupata 2021
hiyo namba 4 itoe ni team ya ndondo, non league club alicheza wakati anafanya kazi kiwandani kujikimu...hepatisis c inatibika ila inaweza jirudia pia..muwe mnamcheki mara kwa mara kiungo wenu mrundi
 
Kapombe alipimwa damu iliganda ktk.mapafu ,Mohamed hidden ana ngwengwe mbona wanacheza
anzishia uzi wake mkuu, hapa tuna report yaliyokea kwa Rangers ya scotland kutapeliwa na newcastle utd..hilo jibu ulitakiwa uayajibu magazeti ya UK yaliyo report habari hii 2015
 
Back
Top Bottom