Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe

Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.

Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.

Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,

Mungu apishilie mbali.

Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Tupe reference
 
Huu ugonjwa Hepatitis C unatibika 100% (cured) na dawa zake zipo, wangeweza kumsaidia akapona kabisa chini ya miezi sita, na ugonjwa wa mtu ni siri yake hata kama unajua hakuna sababu yeyote ya kujadili hilo labda kama yeye mwenyewe ameamua iwe hivyo
 
jikite kwEnye hoja maksiriko yako mPelekee kocha wa rangers aliyegombana na newcastle kwa kuwapelekea mgonjwa wa hepatsis c akamrudisha alipotoka nao kwa hasira wakamuweka newcastle B baadye akaenda zake ligi ya ndondo non league club iitwayo solihul moors na kufanya kazi kiwandani ili kujikimu
Haya maneno sio mazuri, kwenye maisha kuna kitu inaitwa karma
 
Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe

Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.

Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.

Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,

Mungu apishilie mbali.

Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Hahah Hivi Yule Aliyekuwa Mchezaji Wenu Kipenz Emmanuel Okwi Ni Bado Anaishi Kwa Matumaini Huku Akiendelea Kunywa Mbaazi Au Mlifanyaga Namna Mkamtibia [emoji2960]
 
Naomba Mungu huo ugonjwa ukurudie ww ndugu Mwandishi,ugonjwa huo ukusumbue mpaka ufe

Mwenye kumuombea mabaya mwenzake,hana budi mabaya hayo kumrudia yeye
Punguza povu,soma vizuri kilichoandikwa. Hiyo smartphone unajua tu kuingia hapa JF basi,itumie kuthibitisha kinachosemwa ni kweli au uzushi.
JamiiForums-1279373107.jpg
 
Watu wanafigisu, mti wemye matunda hutupiwa mawe

Video chini Mwamba akipata vipimo
 

Attachments

  • VID-20220713-WA0049.mp4
    6.7 MB
Watu wanafigisu, mti wemye matunda hutupiwa mawe

Video chini Mwamba akipata vipimo
vipimo bada ya haya maneno kuanza jana ndugu yangu, kuna video ya kipimo cha kambole? no...sababu hayuko nchini....reference ya magazeti ya Uk mmewekewa bado mnapiga makelele kama vyura
 
Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe

Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.

Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.

Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,

Mungu apishilie mbali.

Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Na unaambukiza hata kwa kugusana kwa jasho.
Wenye mademu Dar ombeni asiwe fuska
 
jikite kwEnye hoja maksiriko yako mPelekee kocha wa rangers aliyegombana na newcastle kwa kuwapelekea mgonjwa wa hepatsis c akamrudisha alipotoka nao kwa hasira wakamuweka newcastle B baadye akaenda zake ligi ya ndondo non league club iitwayo solihul moors na kufanya kazi kiwandani ili kujikimu
Be careful with your mouth" Dunia ni shule

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Umuombee mgonjwa, kwani wewe hapo ulipo umzima kwa asilimia ngapi?

Usikute wewe ni maiti tu inayotembea, halafu unapata kabisa ujasiri wa kunyooshea watu wengine kidole.
Tatizo mna panic bila sababu, hakuna aliyefurahia hapo, tatizo hamtaki kukubali ugonjwa wa mchezaji wenu.
 
Una hakika hawapimwi? Na kama huyu mchezaji ni mgonjwa kama unavyotaka kupotosha hapa, ilikuwaje acheze kwa dk zote 90 kwenye mechi ya Taifa lake dhidi ya Cameroun mwezi uliopita?

Na kama hufahamu, hiyo mechi ilichezwa uwanja wa Mkapa! Mimi nadhani ifikie wakati mpunguze sasa haya mambo yenu ya kipuuzi dhidi ya watu wasio wahusu kwa lolote.
Punguza moto, ushahidi umewekewa pale juu jamaa yenu ni mgonjwa.

Wewe kama unadai ni mzima tupe ushahidi mwingine unaosema hana tatizo alilokutwa nalo.

Lakini sio kutuambia alikuja kwa Mkapa kucheza mechi na Cameroon, huko kucheza mechi na Cameroon sio majibu ya daktari, na wala hakumuondolei tatizo alilowahi kukutwa nalo, open up your mind, think BIG!

Usilete ushabiki kupinga kila kitu hata kilichopo kwa maandishi.
 
Mim kinachonishangaza huyu mpaka kakimbia ilaya kuja huku mchangani analipwa mshahara kiasi gan?

Kimlipa dollar 20000 haiwezekani hamna mchezaji bongo hii anaelipwa pesa hiyo

Na huyo katoka uingereza

Kweli maajabu hayaishagi
 
Jana huu upumbavu wenu umefutwa, Leo umeleta tena. Mkipigwa Ban mnarudi kwa ID mpya wapuuzi wakubwa nyie. Ulipo unaishi kwa vidonge v3 kila siku maisha yako yote halafu unakujeli mwenzio?
amekejeli wapi? Ni aibu timu kusajili wagonjwa.
 
Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe

Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.

Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.

Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,

Mungu apishilie mbali.

Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Ushabiki wa kipumbavu sana, ugonjwa aliok
utwa nao 2015 unaleta habari zake leo? Nani alikudanganya kwamba hauponi?
Baada ya hiyo 2015 kacheza Coventry City, Motherwell, Herbinian, Solihull Moors, Glentoran. Hizo zote za ulaya, nao hawana utaratibu wa kupima?
Huo ugonjwa ukigundulika hatua za mwanzo unapona kirabisi tu, lkn ukichelewa hauchukui muda unakufa, angechelewa mpaka sasa asingekuwa hai
 
Wacha kumnanga mchezaji, hiyo nu biashara yake, vipi kama angesajili Simba, ungemnanga? Kama vipi na wewe nenda ukasajiliwe, hata asipocheza mwaka mzima bado atabaki kuwa mchezaji wa Yanga, Mbona wapo waliolipwa mishahara ya mwaka mzima bila kucheza mechi yoyote
 
Back
Top Bottom