- Thread starter
- #61
Acha povu wewe utopwinyoUshabiki wa kipumbavu sana, ugonjwa aliok
utwa nao 2015 unaleta habari zake leo? Nani alikudanganya kwamba hauponi?
Baada ya hiyo 2015 kacheza Coventry City, Motherwell, Herbinian, Solihull Moors, Glentoran. Hizo zote za ulaya, nao hawana utaratibu wa kupima?
Huo ugonjwa ukigundulika hatua za mwanzo unapona kirabisi tu, lkn ukichelewa hauchukui muda unakufa, angechelewa mpaka sasa asingekuwa hai